Punchline Dizasta anazo chache sana huwezi kompare na hao niliowataja hata kidogo hawezi kabisa....
Ukipata muda chagua ngoma yake moja tu unayoikubali halafu compare na ngoma yoyote ya Fid kwenye albamu ya "VINA MWANZO KATI NA MWISHO" ilikua na haya Mapini....
1. August 13 ft. Juma nature
2. Kadi na Ua Rose ft. Jay see
3. Chagua moja ft. TID Langa & black rhino
4. Mwanangu ft Banana Zoro
5. Utaua bendi ft magazijuto
6. Vina mwanzo Kati na mwisho
7. Dunia nzima
8. Ni hayo tu ft. Langa & professor Jay
9. Unanijua unanisikia
10. Mwanza mwanza
11. Goodnite ft lady Jay dee
Kama ulikua tayari umeanza kusikiliza muziki hapo hamna ngoma hata moja ambayo haikuwa hit zote zilisumbua Sana top ten na pia ngoma ya "Ni hayo tu" pamoja na "mwanza mwanza" zilishinda Tuzo enzi zile kili music awards zikitamba.
Njoo album ya PROPAGANDA humo Kuna mawe si masikhara na zote zilitamba Sana kila pembe na Zina punchlines za kutisha..
Hebu pitia hii list iliyomo kwenye hiyo album ndo utaelewa nachomaanisha Nini maana ya mistari...
1.Propaganda
2.Wananiita king ft Nylon
3. Juhudi za wasio jiweza ft bi kidude
4. Utaua game ft juma nature
5. Kila siku ft Q Jay
6. Hey Lord ft Mzungu kichaa
7. Temanoleji ( Natamani kwanza wasanii wa hip-hop wangesikiliza hii ngoma kabla ya kwenda studio)
8. Mwanamalundi
9. Shimo limetema ft. AY & Ncha Kali
10. Mama ft Banana Zoro
11. Nyota ya mchezo ft Doreen
12. Usinikubali haraka ft matonya
13. Ripoti za mtaani ft Zahiri Zoro
14. Nilipotoka
15. Danger
Kiukweli Mimi Ni shabiki wa Dizasta Tena nina ngoma zake kwenye simu na hua namsikiliza Ila Kuna vitu vingi sana anamiss sahivi naona anadisiana na kina maarifa...
Kiukweli bado ana safari sana... ukiacha track ya SHAHIDI, Ngoma ya KANISA aliandika akiwa ametuliza Sana akili walau angekua kwenye hiyo class kwenye ngoma zingine Kama tano ningemshindanisha na Nikki mbishi lakini bado ajipange