Mkuu katika maisha huwezi kupendwa na kila mtu hilo linajulikana vizuri kabisa kwahiyo hatuwezi kushangaa unavokuja na cheap reasons ili kushusha uwezo wa Dizasta vina
Katika sanaa yoyote ile kuna kitu kinaitwa ushabiki, mtu anaweza akawa na uwezo mkubwa sana ila tu wewe asikuvutie kuwa shabiki wake na wala sio dhambi ila at least heshimu uwezo wake
Zababu za kusema kuwa Dizasta vina anashindwa kunata na beat ni ujinga wa kiwango cha Lami, umeskliza nature ya hiyo beat? Umeskliza mtindo alioamua kuutumia katika hiyo beat? Au ilimradi tu nawewe umekuja kuandika ili tujue waga unaskilizaga hip-hop
Dizasta vina ndie msanii wa hip hop ambae anatumia beat ngumu kuliko msanii yoyote yule bongo, kaskilize beat zote za Hatia kuanzia 1-5 ndio utajua na hizo beat hakuna msanii wa ajabu ajabu anaweza kupita nazo lazima azitwist
Dizasta vina ndio msanii peke ambae yupo Underground stream mwenye nyimbo nyingi kuliko wasanii wote wa underground stream akiwemo Azma, Dizasta ndio msanii pekee ambae yupo Underground stream lakini ana nyimbo nyingi kuliko almost wasanii wote wa hip hop walio Mainstream
Na hiyo yote kwa sababu jamaa kuandika kwake halijawahi kuwa tatizo ata siku moja kama ilivo kwa MCs wengine wengi, kaskilize Album ya the verteller ndio utajua kwanini Dizasta vina anakuwa high rated kama msanii Bora
With all due respect to Azma, ila Dizasta ni maji marefu sana kwa mshkaji, labda tu nikuulize Umewahi kuona Uzi ambao unamuongelea Azma? Kama hapana unahisi ni kwa sababu gani? Na je umeona nyuzi ngapi humu zinaongelea uwezo wa Dizasta vina kama jibu ni ndio je unahisi kwanini?
Katafute msanii yoyote mkubwa wa hip-hop bongo muulize wasanii wake 5-10 Bora wa hip-hop Kwa sasa Bongo asipomtaja Dizasta vina njoo na uthibitisho nikupe 50k
Kwahiyo hawa wote hapa chini wao hawajui muziki ila wewe ndio fundi au sio?
View attachment 2476038View attachment 2476040View attachment 2476041View attachment 2476042View attachment 2476043