K88K
JF-Expert Member
- Jul 3, 2019
- 313
- 655
Muscular feminist.Naona Mtu anaandika na kujijibu
Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
Muscular feminist.Naona Mtu anaandika na kujijibu
Nimesikiliza Hatia III jamaa anaenda off beat yaan hata Azma anamfunika mnamuover rate sana ndio maana hatoboi, wapi Kontawa? Hadi wamama wa kitaa wanaiimba Champion, mwambieni aendelee kukaza alafu anate na beat sio anatokatoka nje ya beat
Tafuta wimbo wa NF - STORY ingia YouTube ucheck utanielewa nazungumzia nini

Nmekwambia Azma akiwekwa na Disasta mimi nampa Azma, sasa rapper mkali unaendaje off beat?Nmecheki
Namfatilia azma sana lkn dizasta ni street verified legend with No crown on his head sababu ya content
Mpk fid q ameomba collabo+coniboi
Stay tuned
Dizasta he’s far 1000miles away from Azma
Ukitaka mtu wa kunata na beat na story teller mzuri labda uniletee P-mawenge hapo sikupingi
Lkn still Dizasta ni master kazini![]()
Kwenye kibabu na binti kasimama upande wa binti tu hajajijibu mle labda kwenye confessions of a mad man na konda.Au Itakuwa kasikiza kibabu na kibinti
Kumwelewa jamaa ni ngumu saana asee
Kwamba anaandika na kujijibu![]()
Cha nyokaJamaa ni kichwa
The confession of mad philosopher humo ndani ni kinaa.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app



Umeanza upuuzi upuuzi ung'aeng'ae, ngoma zenyewe ni kuchi kuchi nai nai.Shukuru leo kakako nipo so education is free
This song is onuntil further notice
![]()


Umeanza kusikiliza hip-hop ya bongo lini? DahMy all time best Rapper
Mentor
Dizasta vina ni kiumbe tofauti kabisa linapokuja swala la HipHop

Chizi weweKuna uandishi fulani huwa nikishausikia tu kwa msanii najua huyu mwamba ana stress, huo uandishi nauona pia kwa Dizasta he is too philosophical kitu ambacho kina damage sana artistic vibe yake.
Mfano hai ni stress anayokuwa nayo Fid Q kila akiwa jukwaani, huwa haja settle kabisa kwenye show ila utofauti ni kuwa Fid Q yeye anayo rythimical vibe kwenye nyimbo zake japo naye ni philosophical Mcee, ila anakwama kwenye jukwaa sababu ya presure na stress.
Dizasta anahitaji kuji transform asikubali kuwa Mcee wakuwafariji wasela magetoni, bali akubali kuwa msanii maana mwisho wa siku ni pesa kwenye sanaa na watu waburudike pia.
Ukijaribu kumlinganisha Dizasta na watu kama Nikki Mbishi, Nash Mc, One ze Incredible, Songa, P Mawenge na ZaiiD utaona kama mwana mbona ana maandishi konki ila bado utakubali hawezi kusimama na hao watamaduni wenzake akasimama, why? Sababu anakosa ladha ya usanii tu.
Ila pia aachane na dis kwa yule dogo
Hahah, sawa dogo wa Dizasta kula mangoma mkuu
Dogo gani maarifa?Kuna uandishi fulani huwa nikishausikia tu kwa msanii najua huyu mwamba ana stress, huo uandishi nauona pia kwa Dizasta he is too philosophical kitu ambacho kina damage sana artistic vibe yake.
Mfano hai ni stress anayokuwa nayo Fid Q kila akiwa jukwaani, huwa haja settle kabisa kwenye show ila utofauti ni kuwa Fid Q yeye anayo rythimical vibe kwenye nyimbo zake japo naye ni philosophical Mcee, ila anakwama kwenye jukwaa sababu ya presure na stress.
Dizasta anahitaji kuji transform asikubali kuwa Mcee wakuwafariji wasela magetoni, bali akubali kuwa msanii maana mwisho wa siku ni pesa kwenye sanaa na watu waburudike pia.
Ukijaribu kumlinganisha Dizasta na watu kama Nikki Mbishi, Nash Mc, One ze Incredible, Songa, P Mawenge na ZaiiD utaona kama mwana mbona ana maandishi konki ila bado utakubali hawezi kusimama na hao watamaduni wenzake akasimama, why? Sababu anakosa ladha ya usanii tu.
Ila pia aachane na dis kwa yule dogo