Dizasta Vina a.k.a Maradona

Dizasta Vina a.k.a Maradona



Hata hivyo inahitaji ujasiri kuvimba na mke wa mtu na mmewe anajua hata kama alikimbia familia, uishie kuisikiliza tu ngoma sio ufanye wewe.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app

Aaah wake za watu utavunjwa kiuno

Lkn jamaa alikuja na panga kene kikao alipewa madini na black maradona mpk akashindwa kulitumia..hahaaa
 
Aaah wake za watu utavunjwa kiuno

Lkn jamaa alikuja na panga kene kikao alipewa madini na black maradona mpk akashindwa kulitumia..hahaaa
Alipigwa maneno yenye fact, sema kwa uzunguni sawa sio bongo hapa watu wamevutugana kitambo.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
 
Angalia rafiki zangu, kisha linganisha na rafiki zako
Hasa ambao wanaomzunguka binti yangu
Huwa nawaza wanachomfundisha ni nini?
Zaidi ya umbea kunywa pombe na kupiga vimini.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app

Walishasema wanazuoni…ashakum si matusi…
Si matusi mke wangu, walishasema
Nyuma ya mwanaume masikini kuna
Mwanamke mpumbavu

Pesa tulizopoteza sio kinachoniuma
Pesa zipo na zinatafutwa
Sio gari, sio nyumba kinachoniuma
Umenipotezea time na siwezi kuurudisha muda
Umeiweka kweli sababu ya maisha ya ndoto
Umekumbatia uongo unaishi kama mtoto na
Umekua umefungua milango ya kejeli
Elimu ya jando na unyago zimefeli


Rudi nyumbani kapumzike
Rudi nyumbani kapumzike
Rudi nyumbani kapumzike
Ukishabadilika utarudi

Aaah hii ngoma tamu
 
Mpeni huu mstari aatungie verse utoe ngoma auelezee mwanzo mpaka mwisho

VIZAZI HAVIFANANI

Lyrical master yoyote ufukua kilichomo ndani ya mzizi wa neno na kuleta tofauti ya kile watu walidhani anamaanisha kumbe sicho alichomaanisha
 
Walishasema wanazuoni…ashakum si matusi…
Si matusi mke wangu, walishasema
Nyuma ya mwanaume masikini kuna
Mwanamke mpumbavu

Pesa tulizopoteza sio kinachoniuma
Pesa zipo na zinatafutwa
Sio gari, sio nyumba kinachoniuma
Umenipotezea time na siwezi kuurudisha muda
Umeiweka kweli sababu ya maisha ya ndoto
Umekumbatia uongo unaishi kama mtoto na
Umekua umefungua milango ya kejeli
Elimu ya jando na unyago zimefeli


Rudi nyumbani kapumzike
Rudi nyumbani kapumzike
Rudi nyumbani kapumzike
Ukishabadilika utarudi

Aaah hii ngoma tamu
Kuna mstari anamwambia mke wake kua rafiki yake alishawahi mtongoza halafu anataja kabisa kua huyo rafiki yake mkewe ana tattoo kwenye paja ina maana alikula rafiki wa mkewe?.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mstari anamwambia mke wake kua rafiki yake alishawahi mtongoza halafu anataja kabisa kua huyo rafiki yake mkewe ana tattoo kwenye paja ina maana alikula rafiki wa mkewe?.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app

Daah umewaza mbaali

Hakumla maana alishasema ameoa amefunga mageti yake lkn bado chanzo ni mkewe kwanini ahadithie ukubwa wa nyeti zake
 
Mpeni huu mstari aatungie verse utoe ngoma auelezee mwanzo mpaka mwisho

VIZAZI HAVIFANANI

Lyrical master yoyote ufukua kilichomo ndani ya mzizi wa neno na kuleta tofauti ya kile watu walidhani anamaanisha kumbe sicho alichomaanisha

Naamini yuko humu anasoma
 
Hatia series tuko episode ya 5 sasa
Sijui we unasikiza ipi mkuu

Last 2 week imetoka Hatia V kali sanaa imegusia afya ya akili hasa mambo ambayo wanaume wanapitia
Hii Ni hatia 1 mkuu. Jamaa anajua Sana.
 
Kuna pini linaitwa “ALMASI”

Ile ngoma kuna siku ita trend tu niamini mimi
Najua sio miaka hii lakini ipo siku

Inaweza kuchukua miaka 20 au 30 lkn ipo siku
Iwe hivyo maana jamaa anafikilia sana mistari yake sema bongo wengi wamelala.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
 
Daah umewaza mbaali

Hakumla maana alishasema ameoa amefunga mageti yake lkn bado chanzo ni mkewe kwanini ahadithie ukubwa wa nyeti zake
Kwamba hakumla hapana aisee, kwa alivoficha vile hakutaka apigwe mawe tu kua nae kapita na rafiki wa mkewe

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli anajua sana na beat zake zmetulia
Ukiwa unasikiza kuna feeling unapata kama movie

Ila HATIA-IV is best of all ..alale pema Jasiri John
Tumwite fara john mzee , sema john angesikiliza hata hatia II yasingemkuta ya ughaibuni.

Sent from my CPH1989 using JamiiForums mobile app
 
Naona Mtu anaandika na kujijibu
Nimesikiliza Hatia III jamaa anaenda off beat yaan hata Azma anamfunika mnamuover rate sana ndio maana hatoboi, wapi Kontawa? Hadi wamama wa kitaa wanaiimba Champion, mwambieni aendelee kukaza alafu anate na beat sio anatokatoka nje ya beat

Tafuta wimbo wa NF - STORY ingia YouTube ucheck utanielewa nazungumzia nini
 
Back
Top Bottom