Diwani mwingine (CCM Mwanza) ahamia CHADEMA

Diwani mwingine (CCM Mwanza) ahamia CHADEMA

Mungu ni mwema. kwa mtazamo wangu, sijui kama CCM watafika 2015 wakiwa bado madarakani.
 
Nina furaa sana sababu tulipo kua mstari mbele kuitaji mabadiliko tulitukanwa,kubezwa na kuonekana wajinga.sasa tunaonekana werevu,ewe mwenyezi mungu nakuomba unipe uzima,ili situ kuishuudia ccm ikifa bali niwe miongoni mwa wenye kuiua ccm.
 
Kumpoteza Mtu muhimu kama Hamis Mgwao ktk siasa za sengerema na Mwanza kwa Ujumla inaonyesha wazi kabisa kwamba CCM haina tena Vision....Kwani licha ya Ushawishi mkubwa alionao Bwana Hamis Pale Sengerema hata Ngeleja mwenyewe anatambua kwamba sasa hata Ubunge wake pale Sengerema umeisha rasmi ila ni suala la Muda tu..Namtakia kila la kheri Bwana Hamis na kundi lake kubwa katika siasa za chama kipya walichohamia.

Mkuu wangu wewe unaonekana ni homeboy,unaijua vizuri Sengerema,this time tumemwambia asahau swala la kupita bila kupingwa .Ngoma inawekwa uwanjani na lazima tumng'oe 2015!
 
Ohoooooooo! Na huko tena! Mayooooooooooooooo neneeeeeeeeeeeeeee!
 
Makamanda wote mstari wa mbele hongereni na tunaomba mkiwa mnarudi ARS/Dar mpite Mara. Tunataka Mkono aanze kupangiwa mikakati kabambe ya kung'olewa hapa.

Tunawaomba sana wajameni!! Pleaseeeee!!

Njia ya kupita Mugumu ni shortcut kwenda AR, tutawalipia chakula na malazi!!
 
wapinga ufisadi mliopo ccm karibuni katika chama makini cha CDM, kama muasisi na mwanzilishi wa ccm Rais Mstaafu hayati Mwl. Nyerere alisema ccm sio mama yake na yuko tayari kuhamia chama chochote atakachokipenda, je wewe ambaye ulijiunga kwa kufuata mkumbo, unasubiri nn, karibuni cdm
 
Ili taarifa yako iwe more credible, tafadhali tupatie jina la Diwani husika.
mbona kaweka barua ya uyo diwani? unataka jina gani tena? au ujaisoma iyo barua?
 
Nina wasiwasi sana na huu utaratibu wa hawa viongozi wa juu wa CCM kuhamia CHADEMA. Hili suala linatakiwa kuchukuliwa kwa uangalifu mkubwa maana ni vigumu sana kuwaamini kwamba wamekuja kwa nia njema na sio kuvuruga hii M4C.

Shida yangu kubwa ni kwamba nimesikia kwamba huwa kunakuwa na majadiliano kati ya viongozi wa CHADEMA na hao watu wanaotaka kuhamia kabla hawajatangazwa.. Hii inaweza kuhusiana na makubaliano maalum ambayo yanaweza kuwafanya warudi kwenye uongozi ndani ya hiki chama. Ni rahisi sana kupokea mapandikizi kwa utaratibu huu na ikafika 2014 wote wakatimka kurudi CCM..

Kama wamekuja na roho safi basi napongeza sana hizi juhudi na kuwakaribisha vijana wengine wote kusapoti hii movement
 
Diwani machachari Khamisi Khalfani a.k.a Tabasamu kajivua gamba jioni hii na kujiunga chadema. alikuwa ni diwani wa kata ya nyampukukano. nawasilisha
 
ALIKUWA AKIONGEA KWA MACHUNGU SANA KUPITIA TAARIFA YA HABARI SAA MBILI. ANADAI KILICHOMTOA NI UBADHILIFU WA PESA ZA WANANCHI KTK HALMASHURI HIYO ALOOMBA HIYO NAFASI YA UDIWAN AKITEGEMEA ANGESAIDIA HALIMASHAURI HIYO KUPATA MAENDELEO LKN AKAKUTA VIONGOZI WA CCM ANAANGALIA MASLAHI YAO NDO KATANGAZA KIJIUNGA NA CDM Nawasilisha
 
PEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEOPLES !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! POWER
WHat we need is changes nothing else
 
Rahaa sana............makamanda hongereni na tuzidishe mapambano tuwakombolee watoto wetu nchi yao
 
Titanic the unsinkable ship has hit an iceberg and it is slowly but surely sinking.
 
Ngereja kaa mkao wakula...Unatumia muda mwingi kupiga porojo Bungeni na kulisahau jimbo lako,wakati BAVICHA wamekuwa kazini masaa 24 kuhakikisha Sengerema inakuwa ngome imara ya CDM.Hongereni sana BAVICHA Geita na Sengerema kwa kazi ambayo mmekuwa mkiifanya na sasa matunda yanaanza kuonekana.

Hakuna kulala mpaka kieleweke.

Ngeleja akae chonjo kwa lipi wakati ni kibaraka wa mafisadi? mwaka 2010 alihujumu mgombea wa CHADEMA eti sababu alikosea mwaka wa kuzaliwa hivi typing error inamdisqualify mtu? Demokrasia ina gharama haiwezi haki ya watu kunyakuliwa kwa sababu za kipumbavu kama zile na kujikuta mbunge feki kama Ngeleja anapita bila kupingwa

Huyo fisadi Ngeleja akigombea na huyo diwani Hamis Mwagawa Tabasam atapigwa kipigo cha mbwa mwizi kwenye kura za wanasengerema. Jiulizeni mbunge gani aliyepita bila kupingwa hawezi kufanya mkutano wa hadhara? Maana ni watoto wa shule ndio watalazimishwa kuhudhuria ili kumsikiliza bumunda wenye uwezo mdogo. Sijawahi kuona waziri mweupe kichwani kama Ngeleja maana mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini January Makamba ana hoja uliko hata mawaziri wa wizara yenyewe maana ni maboga pale wizarani
 
ulitaka niongozwe na serikali ya chama ambacho, kiongozi wake amefungua danguro, ameuza dawa za kulevya na katibu wake ameasi dini? kuliko hayo, tutaingia porini na tutaanza na wao maana watu wa kuondoka nao wako tayari, msione kobe ameinamisha kichwa.

Ni kweli kabisa serikali ya CCM imefanya ukuu wa wilaya, ubalozi na ubunge wa kuteuliwa kama danguro kwa kuteua mahawala na nyumba ndogo uko sahihi kabisa Stinger ila bado najiuliza kwanini bado unatawaliwa na CCM kama madanguro huyataki? Maana mwenyekiti wako wa CCM kahakikisha hawala zake kama Lucy Mayenga viti maalumu Shinyanga na Vicky Kamata wanapata ubunge wa kuteuliwa kama haitoshi kamteua na mjomba wake Vicky Kamata Bwana Ndikilo kuwa Mkuu wa mkoa wa Mwanza na hawara wa swahiba wake kuwa balozi wa Tanzania nchini Kenya
 
Ziara ya Kamanda Lema Mkoa wa Mwanza imeanza kuzaa matunda baada ya diwani wa kata moja wilayani Sengerema kujiondoa ccm na kujiunga na cdm.

Chanzo: Taarifa ya Habari ya ITV

My take:
Mwendo mdundo huu ukiendelea hakika magamba yatahamia upinzani ifikapo 2015.
 
Back
Top Bottom