Hamisi Mgwao
kwahiyo wewe unaona sifa kuongozwa na serikali mbovu?hiyo haitishi kwani 1995 yalikuwa nihayo hayo
diwani wa monduli nae amehamia chadema
wakati wan-ccm wakihamia chadema, chadema kwenyewe kuna vurugu za chini kwa chini, kwa mfano huu;
mbunge wa viti maalum lucy owenya kwa kushirikiana na baba yake ndesamburo, walimnunua anthony komu ili agombee ubunge wa afrika mashariki kwa sharti komu amuachie lucy kugombea jimbo la moshi vijijini, sasa komu kapigwa chini, milioni 100 walizotumia zimeenda chini sasa hofu ni kwamba kama komu ataendelea kugombea moshi vijijini ni mvutano mkubwa. Hiki ni chama kinachotarajiwa kuwakomboa watanzania. Tafakari.
Mbowe aliingilia kati kijanja ili wagomee uchaguzi ili kumkomoa mzee ndesamburo kwa vile hawaivi lakini ikashindikana baada ya komu kulazimisha kuendelea na mchakato huo, kisa? Shilingi milioni 100 za ndesamburo famili.
Na bado Geita kesho watahamia wengi...
wakati wan-ccm wakihamia chadema, chadema kwenyewe kuna vurugu za chini kwa chini, kwa mfano huu;
mbunge wa viti maalum lucy owenya kwa kushirikiana na baba yake ndesamburo, walimnunua anthony komu ili agombee ubunge wa afrika mashariki kwa sharti komu amuachie lucy kugombea jimbo la moshi vijijini, sasa komu kapigwa chini, milioni 100 walizotumia zimeenda chini sasa hofu ni kwamba kama komu ataendelea kugombea moshi vijijini ni mvutano mkubwa. Hiki ni chama kinachotarajiwa kuwakomboa watanzania. Tafakari.
Mbowe aliingilia kati kijanja ili wagomee uchaguzi ili kumkomoa mzee ndesamburo kwa vile hawaivi lakini ikashindikana baada ya komu kulazimisha kuendelea na mchakato huo, kisa? Shilingi milioni 100 za ndesamburo famili.
mimi huwa naona kama dar ndio wanaokwamisha maendeleo ya kila kitumadiwani dar mnasubiri nini?nape hamia airtel muda ndio huu.anayesubiri 2015 ndio ahamie cdm imekula kwake
Amka wewe, Nigeria mpaka bongo wapi na wapi?..magamba yanazidi kupata moto na badoooo..nguvu za ki-nigeria hizo, zitakwisha tu
Nape atakuambia na huyo alikuwa kwenye list ya kufukuzwa. Anachokifanya Nape ni sawa na mwenye nyumba ya udongo kudharau tofali moja linapodondoka kwa kusema hilo ni tofali moja tu nyumba yangu imejengwa kwa matofali elfu 10 yatabaki 9,999 nafikiri huo ni ujinga.Nafikiri sasa itakuwa mwisho wa kuwakejeli viongozi wanaoondoka CCM. Pamoja na mapungufu yake namkumbuka sana Mzee Makamba, wakati anaondoka ukatibu mkuu wa chama aliwaambia anakwenda kuwaandalia makao. Sasa ndiyo naanza kumuelewa mzee yule mpayukaji.