Diwani mteule wa kata ya Kinuni iliyopo Zanzibar, Suleiman Mohamed Hassan amefariki dunia juzi na kufanya idadi ya madiwani waliofariki dunia baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 kufikia wanne.
Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi wa CCM kwa upande wa Zanzibar, Catherine Peter Nao amesema diwani huyo alifariki ghafla baada ya kuanguka nyumbani kwake na kupelekwa katika Hospitali ya Altabib.
Hata hivyo, Hassan alifariki dunia muda mfupi baadaye akiwa katika hospitali hiyo.
Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi wa CCM kwa upande wa Zanzibar, Catherine Peter Nao amesema diwani huyo alifariki ghafla baada ya kuanguka nyumbani kwake na kupelekwa katika Hospitali ya Altabib.
Hata hivyo, Hassan alifariki dunia muda mfupi baadaye akiwa katika hospitali hiyo.