kamatembo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 854
- 583
Diwani wa kata ya sinza C CHADEMA mr Simple anaidhoofisha CHADEMA kwa usharobaro wake na si ajabu tukaitema hii kata uchaguzi ujao.
Uchaguzi uliopita hata lingesimamishwa jiwe na mgombea wa magamba mzee Mwaking'inda(former katibu mwenezi magamba) lingeshinda tu
kwa vile madudu alioyafanya huyu fisadi kupe ya kuziuza kwa watu na kujiuzia yeye mwenyewe open spaces za sinza hakuna ambae hakuchoka nayo.
Hii nayo ni sababu kubwa ya mgombea wa CDM kuibuka kidedea,kinachoniuma na kuninyong'onyeza asilimia kubwa ya wakazi wa sinza wanaona ni heri ya mwendawazimu wa zamani kuliko huyu mpya.Jamaa 24/7 yuko bar zile ahadi zote za kero za utaratibu wa uzoaji takataka kazipa kisogo anakwepa vikao na wapiga kura wake,mwambie mademu tu na sasa hv tangu awe diwani kaanzisha mtindo wa kukodisha tax kwasiku anailipa elfu40 imzururishe kwenye bar zote za sinza na kwa madem..
.Imagine jamaa amehamia sinza less than 5yrs na amepanga chumba kimoja tu cha uani plus ni jobless na inasemekana kuandika japo barua kwake ni mgogoro....
SIPENDI,SIWAZI NA WALA SITAKI KUFIKIRIA KUIONA TENA KATA YETU HII YA SINZA C IKIONGOZWA NA DIWANI KUTOKA CCM LKN KWA MWENDO WA KIJANA MWENZETU HUYU NAWAOMBA CHONDE CHONDE VIONGOZI WA CDM TAIFA MUMKANYE HUYU KIJANA AMA SIVYO ATATUPA KIBARUA KIGUMU MNO UCHAGUZI UJAO,MAMAZETU WASHAANZA KUTUSUTA KWAJINSI TULIVYOMPAMBA NA ANAYOYAFANYA.
Uchaguzi uliopita hata lingesimamishwa jiwe na mgombea wa magamba mzee Mwaking'inda(former katibu mwenezi magamba) lingeshinda tu
kwa vile madudu alioyafanya huyu fisadi kupe ya kuziuza kwa watu na kujiuzia yeye mwenyewe open spaces za sinza hakuna ambae hakuchoka nayo.
Hii nayo ni sababu kubwa ya mgombea wa CDM kuibuka kidedea,kinachoniuma na kuninyong'onyeza asilimia kubwa ya wakazi wa sinza wanaona ni heri ya mwendawazimu wa zamani kuliko huyu mpya.Jamaa 24/7 yuko bar zile ahadi zote za kero za utaratibu wa uzoaji takataka kazipa kisogo anakwepa vikao na wapiga kura wake,mwambie mademu tu na sasa hv tangu awe diwani kaanzisha mtindo wa kukodisha tax kwasiku anailipa elfu40 imzururishe kwenye bar zote za sinza na kwa madem..
.Imagine jamaa amehamia sinza less than 5yrs na amepanga chumba kimoja tu cha uani plus ni jobless na inasemekana kuandika japo barua kwake ni mgogoro....
SIPENDI,SIWAZI NA WALA SITAKI KUFIKIRIA KUIONA TENA KATA YETU HII YA SINZA C IKIONGOZWA NA DIWANI KUTOKA CCM LKN KWA MWENDO WA KIJANA MWENZETU HUYU NAWAOMBA CHONDE CHONDE VIONGOZI WA CDM TAIFA MUMKANYE HUYU KIJANA AMA SIVYO ATATUPA KIBARUA KIGUMU MNO UCHAGUZI UJAO,MAMAZETU WASHAANZA KUTUSUTA KWAJINSI TULIVYOMPAMBA NA ANAYOYAFANYA.