Diwani Athumani amewekwa detention?

Diwani Athumani amewekwa detention?

Aliyekuwa mkurugenzi wa usalama wa taifa kipindi cha serikali ya awamu ya tano bwana Diwani Athumani inasemekana amekuwa akiishi chini ya ulinzi mkali sana.

Diwani Athumani tangu aondoke madarakani haonekani popote na haalikwi kwenye hafla yoyote!

Watu wanajiuliza kama amewekwa detention kutokana na uzembe wake wa kiulinzi uliosababisha ajali ya tarehe 21/3/2021 na kuwaachia maumivu makubwa watanzania kwa nchi kurudi kwenye mikono ya mafisadi kwa kasi kubwa.
Ana umuhimu gani kwa UMMA??
 
Kuanza Sasa Kujichuja Taratibu Sana
Mafuta Na Maji
Mti Usiozaa Ukatwe, Habari Za Bible Kuhusu
Ukaombewa Msamaha Angalau Tuuache Mwaka Huu Unaweza Kuzaa
 
Kumbe CHE GUEVARA aliwahi kuja CONGO na mipaka ya mashariki kama ziwa Tanganyika hadi kigoma kote alipita na aliitwa TATU.
 
Back
Top Bottom