Division 3 na mkopo kwa course ya education

Billie

JF-Expert Member
Aug 13, 2011
12,720
19,862
Division 3 kachaguliwa education(BAED) chuoni TEKU ada mil 1.6 .Vipi atapata mkopo kweli au ndo niuze shamba? Maana sijajua board wameweka vigezo gani kuhusu kutoa mkopo.NIJUZENI COZ NIMESHAANZA KUMUONEA HURUMA MDOGO WANGU.
 
Kwa kua course yake ina priority anaweza kupata mkopo pia kama watakuwa wanafuata kila wanachokisema kua mwenye div i, div ii na needy ones tu ndio wanaostahili mkopo hatopata but si unajua kibongokibongo tena we mwambie awe mpole await kitu cha means test kitoke afu ndio ujue wat's next
 
Mkuu kwenye criteria za 2012/2013 hakuna kigezo cha Div 1au 2.kwa taarifa waliomaliza six 2012 na kupata div 1 ni 2000,diu 2 ni 7000 jumla 9000.kwa kuangalia trend ya utoaji mikopo,bodi hutoa kwa wastani wa wa2 25000 kama first year.Tathmini yangu wenye 3 watapata wengi hasa kama amechagua hizo wanazoita priority
 
WEWE SALI SANA ILA USIJALI UTASOMA MBONA MIE NIMESOMA NA ASILIMIA O NA NAMALIZA SAIVI 3 YEAR usiwaze utatoka tu muhim boom upate
 
vigezo vya kupata mkopo ni hivi vifuatavyo:
1:uwe umefaulu kwa kiwango cha division 1; 2; au 3 ya kuanzia principle mbili na kuendelea.
2:uwe mwenye uhitaji wa huo mkopo
3:uwe umechaguliwa na tcu kwa kupitia cas system.
4:mwisho utafanyiwa testing kama ulisoma shule zenye gharama kwa kawaida no loan lakini cha kushangaza utakuta walewale waliosoma shule za gharama kubwakubwa 100% baadhi tu ya watoto wa wakulima ndio wanaambulia mkopo.
tukumbuke kuwa kuna loan na kuna busaries mkopo kama mkopo unatakiwa urudishwe ila busaries ni bure
 
vigezo vya kupata mkopo ni hivi vifuatavyo:
1:uwe umefaulu kwa kiwango cha division 1; 2; au 3 ya kuanzia principle mbili na kuendelea.
2:uwe mwenye uhitaji wa huo mkopo
3:uwe umechaguliwa na tcu kwa kupitia cas system.
4:mwisho utafanyiwa testing kama ulisoma shule zenye gharama kwa kawaida no loan lakini cha kushangaza utakuta walewale waliosoma shule za gharama kubwakubwa 100% baadhi tu ya watoto wa wakulima ndio wanaambulia mkopo.
tukumbuke kuwa kuna loan na kuna busaries mkopo kama mkopo unatakiwa urudishwe ila busaries ni bure

Mkiu hiyo BURSARIES inapatikana vipi??
 
rejea guide ya heslb au tembelea web ya tcu kwenye front page juu sehemu za university corner, student corner jaribu kuangalia sehemu hizo utaona
 
HIVI INAKUWAJE KWA ZILE FACULTY ZA EDUCATION, mf Be.D Udom, imeandikiwa possible loan ni 0, hapo mkopo vipi? Na ni education. Pia kwa siye tuliyeomba facult za ed. ili tupate mkopo, then wametuchagua tusizoomba na si za ed. HAPO MKOPO TUTAPATA?
 
HIVI INAKUWAJE KWA ZILE FACULTY ZA EDUCATION, mf Be.D Udom, imeandikiwa possible loan ni 0, hapo mkopo vipi? Na ni education. Pia kwa siye tuliyeomba facult za ed. ili tupate mkopo, then wametuchagua tusizoomba na si za ed. HAPO MKOPO TUTAPATA?

mkuu maandishi makubwa kushinda screen yangu!!! ila as far as i know i tht kama umeandikiwa 0% means utalipiwa kila kitu isipo kuwa ada!!!!
 
WEWE SALI SANA ILA USIJALI UTASOMA MBONA MIE NIMESOMA NA ASILIMIA O NA NAMALIZA SAIVI 3 YEAR usiwaze utatoka tu muhim boom upate

hivi wabongo tutaendelea kufikiri kwa staili mpaka lini? Hivi kusali peke yake inatosha? Au unataka kusema kakosa mkopo kwasababu ya kutosali?
 
WEWE SALI SANA ILA USIJALI UTASOMA MBONA MIE NIMESOMA NA ASILIMIA O NA NAMALIZA SAIVI 3 YEAR usiwaze utatoka tu muhim boom upate

Naomba unijulishe hivi kama umepewe mkopo asilmia zero inaamana hata hela ya chakula (meal allowance),stationary na accomodation pia hupewi?

kwa sasa meal allowance wanatoa kiasi gani kwa siku na je unapewa kwa semister nzima na kama sio kwa semister wanatoa kwa muda gani?

Haya mambo tunatakiwa tuyajue mapema ili kwa muda huu uliobaki tuweze kujipanga,vinginevyo mtu utakwenda kuadhirika.
 
Back
Top Bottom