Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 442
Nilikuwa nasikiliza kipindi chake cha 'ALA ZA ROHO' kinachoruka hewani kuanzia saa 4-6 usiku(clouds fm) ambapo alikuwa anasherehekea birthday yake na aliwaalika watu kadhaa studio.Katika porojo za hapa na 'waalikwa' alinishangaza pale aliposema HAJUI KUPIKA,nikajiuliza inakuwaje msichana wa kitanzania umri kama wake asijue kupika,au ndio uzungu?!
NAWASILISHA.....!!!
NAWASILISHA.....!!!