nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
Dispensary hii iliyopo ndani ya kota za nssf kinyezirezi je imesajiriwa?.
Ni mojawapo ya hizi kota, upande wanaishi familia hiyo, then upande ndiyo wamefanya dispensary.
Huduma inaendelea kama kawaida ila wasiwasi wangu ni je inakidhi kweli viwango? Hasa suala la usalama na usafi, je wahudumu wake wamesomea au?....isije ikawa wanatoa huduma pasipo kufuata utaratibu?, mbona wakaguzi hawajafika huku?..ni halali sebule kuifanya hospitali.
Vyumba vya wa watoto kuvigeuza wodi za kulaza wagonjwa???. Hi si hatari jaman?
Ni mojawapo ya hizi kota, upande wanaishi familia hiyo, then upande ndiyo wamefanya dispensary.
Huduma inaendelea kama kawaida ila wasiwasi wangu ni je inakidhi kweli viwango? Hasa suala la usalama na usafi, je wahudumu wake wamesomea au?....isije ikawa wanatoa huduma pasipo kufuata utaratibu?, mbona wakaguzi hawajafika huku?..ni halali sebule kuifanya hospitali.
Vyumba vya wa watoto kuvigeuza wodi za kulaza wagonjwa???. Hi si hatari jaman?