Disemba 9 kila mwaka: Tunasherehekea uhuru wa nchi ipi?

<br />
<br />
Haya tunayoyashuhudia leo ni matokeo ya udikteta wa Nyerere ambaye watu wameaminishwa kwamba ni baba wa taifa. Je ni taifa lipi? Kama ni taifa la Tanzania kwa nini Karume naye asiitwe hivyo? Muungano haukutokana na matakwa ya watu wa Tanganyika wala wa Zanzibar, hapakuwa na kura ya maoni bali ni makubaliano tu ya Nyerere na mwenzie Karume.
Kwa nyakati zile inawezekana kuwa wazo la muungano lilikuwa sahihi lakini kwa mwenye upeo hata wa wastani tu anajua kuwa leo muungano hauna tija. Ni ujinga wa kupindukia kwa wanasiasa wa hovyo wa Tanganyika kufanya jina hilo lionekane kama jinai kulitamka na badala yake watu wamezoezwa kusema Tanzania Bara wakati Zanzibar wanatumia jina lao lilelile.
Ni mawazo duni kuamini kuwa eti muungano ukivunjika hatutakuwa salama, nani ana ushahidi wa hilo? Wala hakuna haja ya serikali mbili wala moja wala tatu; Tanganyika turudi kuwa nchi yetu na Zanzibar waendelee na ya kwao, ubaki ushirikiano wa nchi jirani. Inashangaza ukienda Zanzibar unakuta wana mifumo na taasisi zao aidha tofauti na za kwetu au zinazolingana na za kwetu halafu watu wenye akili timamu bado wanazungumza kana kwamba hii ni nchi moja.
Lazima Watanganyika tudai jina letu, bendera yetu, wimbo wetu wa taifa na nembo ya jamhuri yetu. Muungano ni sinema tu ya mchana, hakuna kitu kama hicho ndiyo maana hata Vasco da Gama akienda kule visiwani ni kama kiongozi tu wa nchi jirani amepita kuwajulia hali, hana mamlaka yoyote.
Naamini itakuwa vyema zikipatikana bendera ndogo za Tanganyika tuzipepee siku ya uhuru.

Mod Naomba ustick hii suala, Usiogope, Litasaidia sana katika katiba mpya.

Hii ndio habari nzito sana. tunadanganywa kama vitoto vidogo. Haiwezekani kabisa serikali ya Zanzibar ikabakia hakafu ya Tanganyika ikauawa, halafu tusherkehe uhuru wa Tanganyika. Tanganyika has been recolonised by few people. No need of this celebration. Till we get our state back.
 
Tulipozaliwa tuliitwa TANGANYIKA baadae tukabatizwa TANZANIA!

Siikubali hoja hii miaka 50 ya nini? niliwahi kuuliza hapa:
Tanganyika 1961-1964 (2.5yrs)
Tanzania 1964- to date(47.5 yrs)
HAMSINI siioni

inamaana wamechakachua mahesabu hapo wakajumlisha hiyo miaka? mmhh, kaazi kweli kweli
 
Tanganyika ilizaliwa 9th Dec, 1961. Baadaye ikaungana na Zanzibar kufanya muungano wa Tanzania. Serikali ya Tanganyika iliunganisha kwenye serikali ya muungano, kwa hiyo hapo tunasherekea Uhuru wa Tanganyika ambayo ni Tanzania vilevile. Tar 26.04.2014 tutasherekea Muungano wa Tanzania na wala siyo Uhuru wa Tanzania. Kwa kifupi Tanganyika ilipata jina la Tanzania, lakini umri unabaki palepale. Kuna Uhuru wa Tanzania na Muungano wa Tanzania.
.

kwa hiyo unakubali kuwa muungano wa serikali mbili tunapata serikali mbili? can you count age of something which is no longer exist? if a boy born in 9th Dec, 1961. and died just after 2yrs. is he going to have 50 yrs on Dec this year?

Hakuna mtu anayechukia muungano, tatizi ni mfumo wa muungano, kwanini viongozi wasitoe fursa kwa wananchi wachague aina ya muungano wanayo itaka? mimi nazani huu ni muungano wa viongozo wala si wawananchi, wavisiwani hawautaki, wala wabara hawutaki, nimetumia neno visiwani na bara ili kuonyesha utofaut uliopo, awali watu walikuwa wanapenda kuita tanzania visiwani na tanzania bara, lakini sasa hivi wavisiwani hawataki kuitwa hivyo wanataka watambuliwe kama wazanzibari.

Yeyote anaye chukia muungano hana akili, lakini anaye kubali aina ya muungano tulionao, ni mwendawazimu kabisa.
 
hawajui wanachokifanya wala wanachokisema, ni aibu sana, nadhani hata historia ya nchi hii hawaijui labda tuchunguze uaria wao ili kujiridhisha. hakuna kitu kama hicho wanachokifanya.


kwenye hizi sherehe Tanzania haina nafasi bali TANGANYIKA PEKEE NDIYO ILITAKIWA IPIGIWE CHAPUO.
 
hawajui wanachokifanya wala wanachokisema, ni aibu sana, nadhani hata historia ya nchi hii hawaijui labda tuchunguze uaria wao ili kujiridhisha. hakuna kitu kama hicho wanachokifanya.


kwenye hizi sherehe Tanzania haina nafasi bali TANGANYIKA PEKEE NDIYO ILITAKIWA IPIGIWE CHAPUO.

Naunga mkono hoja. Hatuchukii muungano lakini shareha hii na changa la macho.
 
Huwa napata shaka sana na Wasomi wanapoingizwa mkenge na wanasiasa uchwara wanapofanya makongamano ya miaka 50 ya Uhuru!!hivi shule zao hazjiawasaidia kupembua mbivu na mbichi?karibia kila idara na taasisi za Umma sasa zinafanyta makongamano na warsha eti za kuelekea miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania!!nawashauri tu waongeze neno Bara katika sentensi zao za Miaka 50 ya Uhuru Tanzania iwe na neno Bara mwishowe la sivyo nao tutawaona ni wajinga tuuu
 
.

kwa hiyo unakubali kuwa muungano wa serikali mbili tunapata serikali mbili? can you count age of something which is no longer exist? if a boy born in 9th Dec, 1961. and died just after 2yrs. is he going to have 50 yrs on Dec this year?

Hakuna mtu anayechukia muungano, tatizi ni mfumo wa muungano, kwanini viongozi wasitoe fursa kwa wananchi wachague aina ya muungano wanayo itaka? mimi nazani huu ni muungano wa viongozo wala si wawananchi, wavisiwani hawautaki, wala wabara hawutaki, nimetumia neno visiwani na bara ili kuonyesha utofaut uliopo, awali watu walikuwa wanapenda kuita tanzania visiwani na tanzania bara, lakini sasa hivi wavisiwani hawataki kuitwa hivyo wanataka watambuliwe kama wazanzibari.

Yeyote anaye chukia muungano hana akili, lakini anaye kubali aina ya muungano tulionao, ni mwendawazimu kabisa.
Tunaadhimisha miaka 50 ya kifo cha mtoto Tanganyika!
 
huu ni muungano usio na maannaa kabisaaa!Ghalama za kuendesha muungano ni kubwa sana kuliko pato halissi la serikali. Vunja muungano au tunataka raisi mmoja tuu katika muungano. huu muungano unatutia haibu sana!
 
Ndugu yangu Bruker, sio tu kuongeza Bara bali hatuna Tanzania inayotimiza 50yrs bali ni 47yrs of Tanzania. Kama ni Tanganyika bac twafanya kumbux2 ya miaka 47 ya kuödokewa na mpendwa Tanganyika.
 
Hapo sasa! kutokana a muundo wa muungano wetu haitakiwi kabisa tusherehekee sikukuu ya Uhuru wa Tanganyika kwa sababu hakuna nchi Tanganyika kikatiba...Hivyo kwa kila siku tunayosherehekea inaonyesha CCM wanaitambua Tanganyika lakini hawataki kuipa Uhuru wake kama nchi.

There is nothing like Tanganyika. We need it back.
 
Tanganyika ilizaliwa 9th Dec, 1961. Baadaye ikaungana na Zanzibar kufanya muungano wa Tanzania. Serikali ya Tanganyika iliunganisha kwenye serikali ya muungano, kwa hiyo hapo tunasherekea Uhuru wa Tanganyika ambayo ni Tanzania vilevile. Tar 26.04.2014 tutasherekea Muungano wa Tanzania na wala siyo Uhuru wa Tanzania. Kwa kifupi Tanganyika ilipata jina la Tanzania, lakini umri unabaki palepale. Kuna Uhuru wa Tanzania na Muungano wa Tanzania.

Kwanza mie hushangaa hivi kwanini tunasherekea muungano tarehe 26 April wakati "Articles of the Union" zilisainiwa tarehe 24 April? Baada ya kusaini hayo makubaliano si ndio muungano ulikamilika? Nani alikuja kubadilisha tarehe?
Zaidi ya hapo mkuu Linco... hakuna muungano wa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Yaani Karume alikuwa na akili maana alihakikisha peoples' republic of zanzibar haifi sie huku wapenda muungano tukaifisha/iua republic of Tanganyika! Sasa hivi ukiuliza utaambiwa ni sherehe za uhuru wa Tanzania Bara! Nakereka mie! Tunaitaka Tanganyika! Tanzania Bara my foot! wala msituzuge na Tanzania Visiwani yenu ambayo wala haipo kilichopo ni Zanzibar!
 
Kwanza mie hushangaa hivi kwanini tunasherekea muungano tarehe 26 April wakati "Articles of the Union" zilisainiwa tarehe 24 April? Baada ya kusaini hayo makubaliano si ndio muungano ulikamilika? Nani alikuja kubadilisha tarehe?
Zaidi ya hapo mkuu Linco... hakuna muungano wa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Yaani Karume alikuwa na akili maana alihakikisha peoples' republic of zanzibar haifi sie huku wapenda muungano tukaifisha/iua republic of Tanganyika! Sasa hivi ukiuliza utaambiwa ni sherehe za uhuru wa Tanzania Bara! Nakereka mie! Tunaitaka Tanganyika! Tanzania Bara my foot! wala msituzuge na Tanzania Visiwani yenu ambayo wala haipo kilichopo ni Zanzibar!

I liked this the most. You can fool some people some time, but you can not fool all the people all the time
 
Mi nakushangaa sana mkuu, wakati we ukulalamikia hilo mi nina hasira na kauli mbiu yao, yaani kila ninapoisikia najisikia kutapika, jana nusura nivunje katv kangu
 
&#670;ont&#633;act Sniper;2451674 said:
Of all the People Nisimuone Nape katika maazimisho hayo, sababu alipata kusema yeye hajui Tanganyika ni kitu gani.........<br />
Pili Itabidi mgeni rasmi aliweke wazi suala hili la kuwa tunaadhimisha miaka ya taifa lipi........wanaweza wakaona ni jambo dogo lakini kumbe ni kati ya mambo yanayopelekea taifa kutojielewa...its a psychological thing
<br />
<br />
ATAKUWA HIGH TABLE HUYO NNAUYE
 
Nchi moja ina katiba 2, serikali 2, Marais 2, Mambunge mawili -- Kazi kweli kweli. Pia tuna majeshi mawili- JKU na JKT, tuna Ikulu mbili, Polisi mdebwedo na Polisi wezi wa maiti montuary, hivi karibuni tutakuwa na Mahakama Mbili -Kadhi na mahakama walarushwa. Kazi kweli kweli.
<br />
<br />
DUUU U MADE MA DAY!
 
Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu umuhimu wa hii sherehe ya miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika, wakati hata hilo jina la hiyo nchi linaogopwa kutajwa. Tanzania ina mika 47 tu haijafikisha miaka 50. Sasa kwanza tuelezwe vizuri, kama Tanganyika ilishakufa tuafanya maombolezo au tunasherehaka. Hii sherehe inabidi ifutwe tu. USA leo wakishehekea uhuru wao, hawazungumzii uhuru wa states. La basi Tannyika ijulikane kama state na siku hiyo ya sherehe iwe imetoka msukuleni. Sijui lakini, yaani sielewi kabisa.


Sasa bendera gani itakayopandishwa wakati wa sherehe, Tanganyika?
Wimbo gani wa miaka 50 utapigwa na kuimbwa?
Raisi gani atakaekuwa mgeni wa heshima? Tanganyika haina raisi
Mafanikio gani yatazungumzwa, tanganyika?

Na wewe unaesema ati tunachokoza muungano, ufikie kikomo sasa, kwanini zanzibar ina state na Tanganyika haina
Nani aliyeafiki?
Sisi wengine tulikuwepo, lakini hatukushirikishwa
Msituchukulie poa

Shere hiyo ifutwe, La siku hiyo state ya Tanganyika itambuliwe, na bendera yake , na wimbo wake wa Taifa.
Tanganyika = Tanzania? Dont fool anybody.

images
Je siku hiyo mtatupa ruksa ya kupeperusha vibendera vya Tanganyika, kwa majonzi?

mimi huwa najiuliza kwamba kama tunaadhimisha sherehe ya tanganyika, mbona viongozi wanaogopa kulitamka hilo jina?
na kama tunaadhimisha uhuru wa tanzania, je, tuliupata kutoka kwa nani?
 
mimi huwa najiuliza kwamba kama tunaadhimisha sherehe ya tanganyika, mbona viongozi wanaogopa kulitamka hilo jina?
na kama tunaadhimisha uhuru wa tanzania, je, tuliupata kutoka kwa nani?

???? Nashangaa sana mnaposema uhuru wa Tanzania. Tanganyika ipo wapi? Watanganyika mpo wapi?
 
???? Nashangaa sana mnaposema uhuru wa Tanzania. Tanganyika ipo wapi? Watanganyika mpo wapi?

Kama unajua maana ya msukuke, basi inawezekana wako gamboshi. Nashangaa hata viongozi wa dini hili wanaliogopa, wakati vurugu tupu. Zingatieni maneno ya Lisu.
 
Back
Top Bottom