Blaine
JF-Expert Member
- Jan 11, 2012
- 2,275
- 1,655
kumbe ndio maana ulianzisha huu uzi https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/359581-celibacy.htmlKwa hapo sijiwezi kabisa si la kisasa ama orijino
Mmmh, kwa kweli kama ni upendo wao si wa kawaida
Off course kumwacha haiwezekani
Ila mambo ya kikubwa siwezi, nitakuwa celibate happily than doing it
acha hadithi mkuu. hapo ni IVF tuu au kuja kulaumiana baadae mke akiathirika. condom zinazuia kama utaepuka manjonjo mengi kunako 6x6Huu ndio ushauri wangu kwa huyo mama(Scientifically proved)
1/Mumewe aanze kunywa ARV baada ya kushauriana na Daktari, aanze kunywa at list miezi miwili kabla ya kukutana kimwili na mkewe.
(Hatari yake ni kwamba, hatatakiwa tena kuacha kunywa hizo dawa maisha yake yote!!)
2/Mwanamke anywe Hizo dawa za kupevusha mayai kama alivyoshauriwa na Daktari.
(Hatari yake ni kwamba kuna uwezekano wa kupata mapacha au watoto walioungana!!)
3/Mwanamke aanze kunywa dawa kinga(ARV Prophylaxis) masaa 6 kabla ya kukutana na mumewe na aendelee nazo mwezi nzima baada ya kukutana na mumewe
(Hatari yake zinachosha sana kimwili na Afya!!)
4/Mumewe afundishwe jinsi ya kufanya tendo kwa umahsusi, yaani ajichue tu nje ya uke na ikifika wakati wa ku-ejaculate ndio aingize ndani ya uke wa mwanamke na kumwaga manii kisha achomoe.
(Hatari yake mimba inaweza isishike!!)
*Kama huyo mama atafuata ushauri wote huu, atapunguza uwezekana wa kupata maambukizi kwa asilimia kubwa sana, lakini hatari ndogo ya maambukizi itabaki pale pale.
*Kumbuka hata kutumia Condom hakuzuii asilimia 100 kupata maambukizi ya virusi vya Ukimwi, yaani unaweza kutumia Condom na bado ukapata maambukizi.