TabusanaKatika hali ya kushangaza siku ya Jumamosi, sherehe ya harusi iliyotangazwa sana mpaka mitandaoni ilizua tafrani kubwa patashika nguo kuchanika.. huku bibi na bwana wakirushiana makonde ngumi na mateke ya kichina china tai chi na kung fu baada ya bwana harusi kugundua kuwa bibi harusi alikuwa na watoto watatu, si mmoja kama alivyokuwa ameeleza hapo awaliView attachment 3463571
Sawa sawa.Kwenye sherehe za harusi
jamaa anatandikwa afu watu hawaamui...Mbona kama Bwana arusi ndo anapigwa? Hawa wanawake ukiwashtukia wanakuwaga wagomvi zaidi
Hahahaha 🤣 🤣dah mwanetu amebondwa asee...