mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Habari majina ya Walimu yametoka tayari.Tembelea www.tamisemi.go.tz
Serikali ya Awamu ya Tano Ni ya vitendo
Hapa Kazi tu.
Serikali ya Awamu ya Tano Ni ya vitendo
Hapa Kazi tu.
Wewe unaota kabisa..Habari majina ya Walimu yametoka tayari.Tembelea www.tamisemi.go.tz
Serikali ya Awamu ya Tano Ni ya vitendo
Hapa Kazi tu.
Mbona hamna tangazo tamisemi?Habari majina ya Walimu yametoka tayari.Tembelea www.tamisemi.go.tz
Serikali ya Awamu ya Tano Ni ya vitendo
Hapa Kazi tu.
Duuh haya poa mkuuHatatoa si tayari mmeshamchagua kwa kishindo
Bado tu?Wakuu Salaam;
Ofisi ya Rais-Tamisemi imefungua rasmi dirisha la kutuma maombi ya ajira kwa sekta ya elimu.
Kila aliye na sifa anaweza kuomba ajira hiyo kupitia link ifuatayo :Mfumo wa Maombi ya Ajira .
Kigezo cha kua na kitambulisho au namba ya NIDA kimejumuishwa kama msingi kwa waombaji wote.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 21/09/2020.
All the Best.
Mida so ndo hiiMambo bado jaman?
Mida so ndo hii
Daah kweli mkuuNgoja tukae mkao wa kula..
Bado sana...labda januaryBado tu?
Yeye anawaza namna ya kupotezea hizi ajira.Duh sijuh wanasubir nn sasa mbona hawatoi majina
Vipi majina yakatoka na ukawa hujachaguliwa?Duh sijuh wanasubir nn sasa mbona hawatoi majina
Mkuu usimuombee mabaya mwenzako , huwezi jua kesho yako.Nyie si ndio mnaimbaga waisome namba
Magu nyoosha hizi pimbi zote
Usitoe ajira miaka mitano tena
Mpaka watakapojitambua ,kupiga kura
Ulikua tayari kuandamana?Hakuna anayemuombea mtu mabaya, ila sisi vijana tulipaswa kuwa chachu ya mabadiliko ya kiuongozi wa taifa hili, badala yake tumeendelea kuwakumbatia maccm wanaotufilisi kila uchwao
Mimi sikuwapigia kura ,sijui Kama watanipa dili. Ila watanipa Mana maendeleo hayana chama.Kwa vile cc tumemaliza jambo lao na cc watufanyie jambo letu....! Tayari tumewapitisha kwa asilimia za kutosha.