Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Wakuu kuna Mdogo wangu namanyia hizi application lakini yeye alishafungua account kwa kutumia simu. Kwa bahati mbaya nikijaribu kulog in kwa kutumia computer au simu hiyo hiyo mfumo unaandika ' unauthorized user" hii changamoto inatatuliwa vipi?
Ata watu wanaofungua akaunti mpya wanapata tatizo kama ilo, tamisemi wapo kimya sijui lengo lao nini?
 
Wakuu kuna Mdogo wangu namfanyia hizi application lakini yeye alishafungua account kwa kutumia simu. Kwa bahati mbaya nikijaribu kulog in kwa kutumia computer au simu hiyo hiyo mfumo unaandika ' unauthorized user" hii changamoto inatatuliwa vipi?
User name: S0000-0000/2015
Password:***********
Andika katika mfumo huo
 
Kuna aliyefika huku
IMG-20200910-WA0024.jpg
 
Sasa Kama mazingira unayoishi mwanasheria ni ngumu kumpata inakuwaj dada
Wasikuumize kichwa kucertify Ni Kama tu utatumia copy lazima uoneshe Kama Ni chako kwa kuenda kwa mwanasheria ila Kama umetumia Chet chenyewe hakuna haja maana kile cheti pia kinamuuli was chuo na sahihi ,ukiuliza humu Kila mtu atakupa anachowaza yeye ili naye apate mfuasi wake
 
JAMANI NISAIDIENI NAISI TAYALI HUU MFUMO UMESHANIENGUA😭
Msaada wakuu ,nlipoona masomo yangu husika hayapo nikaamua kujaza masomo tofauti na field yangu alimradi tu bando lisiishe bure na ilikuwa ucku wa saa tisa juzi kati,nikaona acha tu nisubmit,Sasa jana masomo yangu husika yamewekwa,ni fanyaje ili kubadilisha?Nmejaribu sioni namna ya kudelete masomo wala kuongeza mengine wala kuedit...msaaada jamani..
 
Sio
It's a must kufanya hivo ajira za utumishi lazima u certify vyeti, hafu ili usiteseke ku scan maanna kitaa Ni ghali download application ya clearscanner kwenye simu yako, uwe una scan, Ila Mimi kukushauri as tahadhari vyeti toa copy viwe na mhuri wa mwanasheria ndio u scan, usisahau na Cha kuzaliwa
Sio lazima kucertify ndo maana wakiajiriwa wanaambiwa waende na vyeti original
 
WADAU NIMEMALIZA KUJAZA BUT WANANIAMBIA INCOMPLETE. NAJARIBU KUANGALIA NAONA KILA KITU KIPO SAWA, NAOMBENI MNAMBIE KAMA KUNA HATUA NYINGINE. PIA SEHEMU YA KUSUBMIT SIIONI
 
Back
Top Bottom