Dirisha la kutuma maombi ya Ajira za Ualimu lafunguliwa rasmi. Vigezo vyawekwa wazi, namba ya NIDA yawa kigezo muhimu

Habari za muda huu wakuu,

Naomba kuuliza kama kuna mtu alishawahi fanikisha maombi ya ualimu kwenye mfumo wa TAMISEMI yaani OTEAS Kwa kutumia majina mawili pekee?

Maana mimi vyeti vyangu vya shule vyote vina majina mawili lakini mfumo unataka majina matatu ingawa kwenye cheti cha kuzaliwa na kitambulisho cha taifa yapo majina yote matatu

Je nikitaka kuweka jina la tatu naruhusiwa au kuna utaratibu mwingine natakiwa kufuata?
Unachofanya ni hivi kwenye mfumo we jaza majina matatu Kama wanavyotaka ikifika kwenye kuweka vyeti weka vyeti vyenye majina yako bila kubali kitu (yaani Kama majina yako mawili weka Wala usiwaze)
 
Mimi jamani nahangaika sana kujiregister inafika sehemu naingiza email yangu ninayotumia siku zote. Nasevu inanipa ujumbe unaosema email address already exists. Sasa sijui ina maana gani? Nisaidieni wadau!
 
Mimi jamani nahangaika sana kujiregister inafika sehemu naingiza email yangu ninayotumia siku zote. Nasevu inanipa ujumbe unaosema email address already exists. Sasa sijui ina maana gani? Nisaidieni wadau!
Ushatengeneza email tayari. Bado ku-log in tu
 
Jamani last stage ni kuchagua shule lakini nimechagua Ila haijaleta ujumbe was congratulation kama wengine imeleta tu picha hii ,vip nipo sasa?
 

Attachments

  • IMG-20200910-WA0057.jpg
    IMG-20200910-WA0057.jpg
    45.6 KB · Views: 2
Mwaka jana zilitokea nafasi kama hizi. Mimi nilipangiwa kazi halmashauli ya Mpwapwa Dodoma kama mwalimu wa Physics & Mathematics. Bila kusahau kua mimi sijasoma ualimu ila kwa sifa kama walizosema hapa ilikuepo hiyari yakuamua kuwa mwalimu.

Kufupisha story, ualimu nilifanya siku 4 nikaacha (Siku niliyoenda kesho yake nikaondoka, baada ya wiki mbili nikaenda tena nikakaa siku tatu nikaondoka milele, jumla siku nne). D.E.O alitaka nimsujudie, sikukubali. Siku zote 4 nilizokua kituo cha kazi sikupatikana hewani maana laini zangu za voda na tigo kule hazishiki kabisa.

Kuna gari moja tu linalotoka kule kwenda mjini. Linaondoka saa tisa usiku. Ukilikosa hilo hakuna tena safari. Kwakifupi kupanga safari yakwenda mjini ni kupanga mkesha.

Jumapili hilo gari halisafiri. Kwahyo ukikesha usiku wa ijumaa kuamkia jumamosi, utasafiri ufike mjini saa tatu asubuhi na ili jumatatu uwe kazini itabidi jumamosi hiyohiyo saa saba mchana uwe kwenye gari hiyo hiyo maana huo ndo muda wakurudi. So una chini ya masaa manne kukamilisha kilichokupeleka mjini. Ila unasafiri kwa zaidi ya masaa 13 kwenda mjini.

Nimechanganya mengi hapo ila shortly, nafasi ni chache watu ni wengi (Ni nafuu zaidi kama una Physics & Mathematics). Mazingira ya kazi ni Magumu. Mshahara ndo ivo tena. Kada ya ualimu inadharaulika.

Sikukatishi tamaa nasema uyafahamu mazingira yako ya kazi. Focus kwenye vision yako no matter how hard the situation seems to be. In my case at that time I chose to flee. I wouldn't recommend the same choice for you.

Niliambulia hela ya kujikimu thought.
Doooh mkuu Tanzania hii ????
 
Jamani last stage ni kuchagua shule lakini nimechagua Ila haijaleta ujumbe was congratulation kama wengine imeleta tu picha hii ,vip nipo sasa?
toa kwanza hayo maspika kchwani ili tukueleweshe,kuuliza swali huku umevaa ma headphone ni dharau,sasa utanisikiaje?
 
Usifurahie tu kuwa wametoa.
Jiulize kwa nini wametoa hayo matangazo kipindi hiki cha kampeni na mwezi ujao ni uchaguzi wa viongozi.

Hili si jambo lakujiuliza hata kidogo, watu wenye sifa tajwa watume maombi ya ajira then kwenye kupiga kura watajua wenyewe maana si lazima wawachague hao waliotoa ajira.
 
Ccm acheni uhuni; mnatangaza nafasi za kazi ualimu Kwa bajeti ipi iliyopolitishwa na Bunge!?.
 
Mimi jamani nahangaika sana kujiregister inafika sehemu naingiza email yangu ninayotumia siku zote. Nasevu inanipa ujumbe unaosema email address already exists. Sasa sijui ina maana gani? Nisaidieni wadau!
ili
Tatizo mnaweka email na password za email ucreate pasaword nyingine kwa email ile ile
 
Una toa vyeti original copy, then wanavipgwa mhuri na mwana Sheria then una scan na ku vi attach kwenye hyo application
Acha kiherehere wew ujaambiwa mambo ya mwanasheria kuna matangazo uwa yanaelekeza kabisa habari za mwanasheria kama ujaambiwa acha kimbelembele
 
Hili si jambo lakujiuliza hata kidogo, watu wenye sifa tajwa watume maombi ya ajira then kwenye kupiga kura watajua wenyewe maana si lazima wawachague hao waliotoa ajira.
Jaribu kuomba ila concern yangu ni kwamba zinaweza kuwa kazi hewa halafu ikapita miezi ya uchaguzi bila watu kuajiriwa
 
Acha kiherehere wew ujaambiwa mambo ya mwanasheria kuna matangazo uwa yanaelekeza kabisa habari za mwanasheria kama ujaambiwa acha kimbelembele
Wewe kenge jiheshimu ku certify vyeti mbona Jambo la kawaida wewe Ni mwalimu wa elimu ya memkwa?
Kunguru wewe
 
Wakuu kuna Mdogo wangu namfanyia hizi application lakini yeye alishafungua account kwa kutumia simu. Kwa bahati mbaya nikijaribu kulog in kwa kutumia computer au simu hiyo hiyo mfumo unaandika ' unauthorized user" hii changamoto inatatuliwa vipi?
 
Back
Top Bottom