Diplomasia ya Magufuli versus diplomasia ya Uhuru Kenyatta

Suala la kuvutia wawekezaji bila democracy, transparency and good government (Rule of law) sahau kabisa ndugu.
Yes tunaweza fanya mambo kwa awamu, lakini hili la serikali kujiingiza kwenye biashara moja kwa moja na ujenzi wa reli ya kisasa et kwa trn 7 nitakataa hadi kiama.... tunakwama sana tu, huhitaji shahada ya uchumi kujua kuwa uwekezaji mwingine serikali inapoteza mapato kiduchu inayoyapata bure, hivi kwanini tusiendeleze Barabara kwanza, at least 4 lanes highways kabla ya hiki kipande kidogo cha reli kwa trn 7?
Naona unasema Kenya watanunua mafuta kwa ksh 125, kwani sisi tunanunua kwa bei gani? ....Kenya inavuta big business moguls ambapo hata iweje wananchi wa kawaida watapata kwanza ajira kabla ya kodi.. vipi hapa bongo?
Mizigo ya kubambikiana kodi na orders za wanasiasa zisizoeleweka nani anataka kusikia?
Let me tell you we are in a serious mess! labda abadilike, i don't know when.

Tanzania siku hizi mnanunua petrol 2700/litre? , kazi kutuletea matango pori kutoka Kenya, biashara zipi wanazovutia Kenya ambapo Tanzania hawavutii? ,kwenye ajira kidogo nife na cheko, nahisi 60% ya wakenya hawana ajira, hizo biashara wanazo attracts zinatoa ajira kwa air?
Rule of law, mimi nimshirika wa rule of law pengine zaidi yako, huko viongozi wanakohudhuria china rule of law yao iko vipi? mbona bado wameendelea kuliko hata Tanzania ambapo tunaweza tukaishitaki serikali na tukashinda, mimi huwa najiuliza swali kila mwaka African presidents wanaitwa kwenye summit, lakini matokeo ni yale yale unaweza ukaniambia tatizo liko wapi? na hilo tatizo litaendelea kujirudia Africa miaka yote amini usiamini.
 
k
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo usiku ameondoka kuelekea China kwenye China - Africa Summit, hii ni baada ya kutoka Marekani ambako alikutana na rais Trump wa Marekani, na juzi alitembelewa na Waziri Mkuu wa England Teresa May na kusaini mkataba wa kurudishwa pesa zote za Kenya zilizofichwa uingereza.

View attachment 853136
View attachment 853161

Wakati juhudi hizi zikifanywa na kiongozi wa Kenya sisi tumekalia malumbano ya makinikia na makontena, huku tukiteketeza pesa kurudia uchaguzi kila mwezi na kununua wapinzani.

Kwa hali hii tukubali tukatae Kenya itaendelea kutuzidi karibu kwa nyanja zote za kiuchumi, kidiplomasia, kidemokrasia, kiulinzi na kijamii.

Tushituke.
tumewakilishwa na waziri mkuu, anatosha sana kwa jambo hilo! Tena kwa watu tunaoona mbali…hii ndio diplomasia yenye akili na ubora zaidi! Na utashangaa matokeo yatakuwa supa we ngoja uone! Huyo uhuru K atajaribu kuweka show lakini vumbi likitulia utajua ubora wetu!
 
Nakubariana nawe kwa yote ulioyochangia isipokuwa ya Jiwe…futa hiyo …hatuongozwi na jiwe tafadhali sana tuna kichwa makini sana cha JJPM nchini mwetu na tupo salama kwa mapenzi ya Mungu wetu!
 
k

tumewakilishwa na waziri mkuu, anatosha sana kwa jambo hilo! Tena kwa watu tunaoona mbali…hii ndio diplomasia yenye akili na ubora zaidi! Na utashangaa matokeo yatakuwa supa we ngoja uone! Huyo uhuru K atajaribu kuweka show lakini vumbi likitulia utajua ubora wetu!
Kwani kuna vumbi gani kwa sasa hadi tusione ubora wetu.
 
Tanzania siku hizi mnanunua petrol 2700/litre? , kazi kutuletea matango pori kutoka Kenya, biashara zipi wanazovutia Kenya ambapo Tanzania hawavutii? ,kwenye ajira kidogo nife na cheko, nahisi 60% ya wakenya hawana ajira, hizo biashara wanazo attracts zinatoa ajira kwa air?
Rule of law, mimi nimshirika wa rule of law pengine zaidi yako, huko viongozi wanakohudhuria china rule of law yao iko vipi? mbona bado wameendelea kuliko hata Tanzania ambapo tunaweza tukaishitaki serikali na tukashinda, mimi huwa najiuliza swali kila mwaka African presidents wanaitwa kwenye summit, lakini matokeo ni yale yale unaweza ukaniambia tatizo liko wapi? na hilo tatizo litaendelea kujirudia Africa miaka yote amini usiamini.
Mkuu Kwanza nikupongeze Kwa kujitaidi kujenga hoja, Ila tukubaliane Jambo moja, hapa tunalinganisha Kenya na Tanzania na si vinginrvyo...
Pili, ukitaka kujua being ya bidhaa ulinganifu mzuri ni kwenye max price... Kigoma bei ya petrol per Lt ni Sawa na hiyo....
Tatu, issue ya utawala was sheria umegusa Tu juu juu.... Embu niambie ni dunia gani mwanasiasa anatoa hoja ya kamata, fungua, zuia, piga, nk?
Umeona wakuu wa wilaya wakidai Kodi? Umeona wakidai permit? Umewaona wakifunga viwanda? Umewaona wakiweka watu rumande?umewaona wakifunga viwanda? Haha, hayo mambo umeyaona Kenya?
Okay, Suala la ajira, Una takwim sahihi kwamba ni watanzania wangap Wana ajira? Kenya unasema 60% umejumlisha na wakulima au?
Unaweza linganisha Kwa mlinganyo kabisa kwamba Kwa ajira Bora Sisi tumewazidi Kenya?
 
Kwani kuna vumbi gani kwa sasa hadi tusione ubora wetu.
kwa muona mbali kwa kweli hakuna vumbi hata kidogo mambo yote yapo wazi kabisa kuwa tukwenda sawia …ila kwa waona karibu bado kuna utando mpaka watakapoyaona matokeo 'live' ndipo wataelewa…hilo ndilo 'vumbi naloongelea'!
 
Mkuu Kwanza nikupongeze Kwa kujitaidi kujenga hoja, Ila tukubaliane Jambo moja, hapa tunalinganisha Kenya na Tanzania na si vinginrvyo...
Pili, ukitaka kujua being ya bidhaa ulinganifu mzuri ni kwenye max price... Kigoma bei ya petrol per Lt ni Sawa na hiyo....
Tatu, issue ya utawala was sheria umegusa Tu juu juu.... Embu niambie ni dunia gani mwanasiasa anatoa hoja ya kamata, fungua, zuia, piga, nk?
Umeona wakuu wa wilaya wakidai Kodi? Umeona wakidai permit? Umewaona wakifunga viwanda? Umewaona wakiweka watu rumande?umewaona wakifunga viwanda? Haha, hayo mambo umeyaona Kenya?
Okay, Suala la ajira, Una takwim sahihi kwamba ni watanzania wangap Wana ajira? Kenya unasema 60% umejumlisha na wakulima au?
Unaweza linganisha Kwa mlinganyo kabisa kwamba Kwa ajira Bora Sisi tumewazidi Kenya?
1. Kamata weka ndani ni sheria ipo toka zamani bunge kila siku wanakwenda dodoma kwa nini wasibadili sheria hiyo, mimi sikubaliani na sheria hiyo lakini hiyo sio sababu ya investors asije Tanzania, investors wamejaa somalia, north sudan hata central africa, tena hizo kelele weka ndani hazimwogopeshi investors hata kidogo.
2. Ajira hakuna Kenya , watu hudanganya kuna viwanda in reality hamna, kwani sakata la uagizaji sukari yenye chemicals hukuona, mchele unatoka pakistan, wanachozalisha ni unga , hizi nchi za EAC ni kelele tu, bila misaada goma haliendi.
3. Nchi hii ya Tanzania tusibweteke kusubiri wawekezaji serikali itenge pesa kwa ajiri ya kilimo na viwanda, kama mmeweza nunua ndege saba mnaweza jenga viwanda vingi pia vikatoa ajira na kukuza pato kwa taifa, kama tunakusanya tril1.3 kwa mwezi wahakikishe kila mwezi wanaokoa tril 2 tu baada ya kulipa mishahara na madeni, bil2*12 hizo ni tril 2.4 , tukitenga tril 1.5 kwa kilimo na viwanda just one year tumetoka, fufua mchuchuma, general tyre arusha, vieanda vya samaki, nyama, nguo , nk
 
Mungu ni wajibu sana, ni ngumu wakati mwingine kulielewa kusudi lake.

He works in mysterious ways, let us be humble and wait for him
 
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo usiku ameondoka kuelekea China kwenye China - Africa Summit, hii ni baada ya kutoka Marekani ambako alikutana na rais Trump wa Marekani, na juzi alitembelewa na Waziri Mkuu wa England Teresa May na kusaini mkataba wa kurudishwa pesa zote za Kenya zilizofichwa uingereza.

View attachment 853136
View attachment 853161

Wakati juhudi hizi zikifanywa na kiongozi wa Kenya sisi tumekalia malumbano ya makinikia na makontena, huku tukiteketeza pesa kurudia uchaguzi kila mwezi na kununua wapinzani.

Kwa hali hii tukubali tukatae Kenya itaendelea kutuzidi karibu kwa nyanja zote za kiuchumi, kidiplomasia, kidemokrasia, kiulinzi na kijamii.

Tushituke.
Sisi pia tumekalia kununua bombadier na dreamliner, SGR, Stglers
Dah
Magufuli,Magufuli,Magufuli
Wot a president

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo usiku ameondoka kuelekea China kwenye China - Africa Summit, hii ni baada ya kutoka Marekani ambako alikutana na rais Trump wa Marekani, na juzi alitembelewa na Waziri Mkuu wa England Teresa May na kusaini mkataba wa kurudishwa pesa zote za Kenya zilizofichwa uingereza.

View attachment 853136
View attachment 853161

Wakati juhudi hizi zikifanywa na kiongozi wa Kenya sisi tumekalia malumbano ya makinikia na makontena, huku tukiteketeza pesa kurudia uchaguzi kila mwezi na kununua wapinzani.

Kwa hali hii tukubali tukatae Kenya itaendelea kutuzidi karibu kwa nyanja zote za kiuchumi, kidiplomasia, kidemokrasia, kiulinzi na kijamii.

Tushituke.

Is he a rock or just a stone????? I dont know really...
 
Kipindi cha kikwete na kusafiri kote kule tuliwazidi nn Kenya ?

Sent using Jamii Forums mobile app
ki diplomasia. karibu mikutano yote mikubwa ya kimataifa ilifanyika daressalam. Hata rais wa china jimpin sijui, baada ya kuchaguliwa tu mkutano wake wa kwanza na waandishi wa habari alifanyia daressalam. ilifikia mahala tukawa na ugeni amabao tafsiri yake dunia mzima ilikua daressalam. nakumbuka kuna siku mama bush bil clinton waziri mkuu wa india, raisi wa lesotho, raisi wa uswiz raisi wa burundi, mfalme wa swazland rais wa msumbiji. Raisi wa zambia. wote walikutana daressalam, basi si biasha kuchangamka dah! Hadi raha.
 
Kwanza ili utendee haki mjadala tuelewe dhana ya diplomasia. Inawezekana kutohudhuria mikutano ya kimataifa na kutuma mwakilishi ni sehemu ya stratejia za kidiplomasia kwa nyakati Fulani.

Mfano mzuri unaonaje Rais wa Marekani alipopata fursa ya kukutana na dogo Kim? Labda tujue uelekeo wetu mpya kidiplomasia ingawa sidhani kila jambo linaweza kuwekwa wazi.
Magu ana matatizo, sababu yeye anakwepa kabisa hizo forums. angekuwa selective, hasa zile za nje ya Afrika, ningemwelewa. sasa kuzikwepa zote hapo pana shida kubwa tu. there is no strategy there
 
Back
Top Bottom