Diplomasia ya Magufuli versus diplomasia ya Uhuru Kenyatta

Angelia miradi ya reli, maji, barabara, umeme, afya vituo na hospitali vinajengwa almost nchi nzima, shule kongwe zinakarabatiwa na mpya zinajengwa, nk then compare.
Kwenye barabara, awamu ya 4 zilijengwa maelfu ya kilometers, pamoja na madaraja makubwa. Kwenye mashule, awamu ya 4 ndiyo wakati wa sekondari za kata na maabara, pamoja na UDOM. Kwenye afya, awamu ya nne ndipo zilipojengwa taasisi kubwa za afya pamoja na ukarabati mkubwa wa hospitali nyingi. Na mengine mengi.

Kuna mambo yanafanyika kwa sasa lakini bado sana kuyafikia yale yaliyofanyika wakati wa awamu ya 4. Naongea kwa dhamira huru.

Awamu hii yangeweza kufanyika mambo mengi sana lakini kwenye uchumi kumeborongwa na hivyo kufifisha mipango mingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo usiku ameondoka kuelekea China kwenye China - Africa Summit, hii ni baada ya kutoka Marekani ambako alikutana na rais Trump wa Marekani, na juzi alitembelewa na Waziri Mkuu wa England Teresa May na kusaini mkataba wa kurudishwa pesa zote za Kenya zilizofichwa uingereza.

View attachment 853136
View attachment 853161

Wakati juhudi hizi zikifanywa na kiongozi wa Kenya sisi tumekalia malumbano ya makinikia na makontena, huku tukiteketeza pesa kurudia uchaguzi kila mwezi na kununua wapinzani.

Kwa hali hii tukubali tukatae Kenya itaendelea kutuzidi karibu kwa nyanja zote za kiuchumi, kidiplomasia, kidemokrasia, kiulinzi na kijamii.

Tushituke.

Hiyo ni Forum tu ambayo yaitwa Forum on China-Africa Cooperation (FOCAC) Summit, hivyo anaweza kwenda kiongozi yoyote na sio lazima aende raisi Magufuli.

Pili, raisi Kenyatta anakwenda kuzungumza na China juu ya masuala mbalimbali ya kibiashara au bilateral talks yakiwemo masuala kama biashara na uwekezaji, elimu na miundombinu.

Ukiangalia sana Raisi Magufuli haitaji sana kwenda huko maana amekwishashughulikia mambo mengi kwa kipindi kifupi tayari.

Miundombinu imekwishashughulikiwa hapahapa na Waturuki wanatusaidia kujenga reli na flyover ya KAMATA

Pia Wakorea Kusini walikuja kusaini mkataba wa kutujengea upya daraja la Selander.

Kwenye elimu tumeona waingereza walikuja wenyewe mwezi ulopita, kuleta pesa (bilioni 307.5) za kuboresha miradi
mbalimbali hasa elimu.

1535787674968.png

Waziri wa Uingereza anaeshughulikia maendeleo ya kimataifa Penny Mourdant akiongea na raisi John Magufuli Ikulu.

Sasa ukiona nchi zilizoendelea zinakuja zenyewe hadi Afrika ama kuleta pesa au kujipendekeza zenyewe basi utambue kwamba zimemkubali raisi Magufuli.

Na ukiona raisi Kenyatta ameanza kusafirisafiri kila mara basi tambua kuwa kuna mazungumzo ya aina mbili na hapo ndipi tunawachia watu wa diplomasia watafsiri mambo hayo.

Diplomasia ni eneo kubwa sana na kwa mtu wa kawaida kama hufahamu inabidi ukae tu na kuangalia.

Tusubiri huko baadae raisi Magufuli naweza kusema anataka kwenda London kwa hata siku moja, lakini nadhani kwa sasa hana sababu.
 
Watanzania wana nafasi kubwa sana kuipiku Kenya kimapato coz tuna fursa nyingi na raslimali watu kubwa. Jumlisha na nchi zinazotuzunguka zisizo na bahari! Sema hatujui tufanye nini zaidi ya kujifurahisha eti tunapendwa so tutatawala milele!!
 
Malema wa EFF anaijua vizuri zaidi diplomasia ya Kenya...Kenyatta ajiangalie...wachina siyo wajinga ajue!
 
Kuna tofauti kubwa sana ya kusafiri kwenda kubembea na kupiga picha na wasanii na safari za kwenda kwenye forums mbalimbali.
Mkuu unajua kuna wakati najiuliza JF ni kweli ni home of great thinker or home of bongo lala?
Yaani watu wanashindwa kutenganisha zile safari za JK kwenda kupiga picha na Boyz 2men, Beckerm, Steve Siegel nk na hizo za kiuchumi za Kenyatta?
Kweli eti MTU anajiita GT hiyo kwao ni hoja ya kubishia umuhimu afanyao Kenyatta? Sie tubaki tunaunga mkono tuu kufanya chaguzi daily, kujadili bila hatua ukwepaji kodi Wa wapakwa mafuta na kutoana kwenye vikao kwa vile jina LA idara umelisema nusu.
Nchi imekuwa kama ya WAGAGAGIGIKOKO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ni Forum tu ambayo yaitwa Forum on China-Africa Cooperation (FOCAC) Summit, hivyo anaweza kwenda kiongozi yoyote na sio lazima aende raisi Magufuli.

Pili, raisi Kenyatta anakwenda kuzungumza na China juu ya masuala mbalimbali ya kibiashara au bilateral talks yakiwemo masuala kama biashara na uwekezaji, elimu na miundombinu.

Ukiangalia sana Raisi Magufuli haitaji sana kwenda huko maana amekwishashughulikia mambo mengi kwa kipindi kifupi tayari.

Miundombinu imekwishashughulikiwa hapahapa na Waturuki wanatusaidia kujenga reli na flyover ya KAMATA

Pia Wakorea Kusini walikuja kusaini mkataba wa kutujengea upya daraja la Selander.

Kwenye elimu tumeona waingereza walikuja wenyewe mwezi ulopita, kuleta pesa (bilioni 307.5) za kuboresha miradi
mbalimbali hasa elimu.

View attachment 853204
Waziri wa Uingereza anaeshughulikia maendeleo ya kimataifa Penny Mourdant akiongea na raisi John Magufuli Ikulu.

Sasa ukiona nchi zilizoendelea zinakuja zenyewe hadi Afrika ama kuleta pesa au kujipendekeza zenyewe basi utambue kwamba zimemkubali raisi Magufuli.

Na ukiona raisi Kenyatta ameanza kusafirisafiri kila mara basi tambua kuwa kuna mazungumzo ya aina mbili na hapo ndipi tunawachia watu wa diplomasia watafsiri mambo hayo.

Diplomasia ni eneo kubwa sana na kwa mtu wa kawaida kama hufahamu inabidi ukae tu na kuangalia.

Tusubiri huko baadae raisi Magufuli naweza kusema anataka kwenda London kwa hata siku moja, lakini nadhani kwa sasa hana sababu.

Kenya ina madeni mengi sana, wameshakopa mno hadi watu wa IMF wameshawaambia ili kulipa madeni yao lazima waongeze kodi kwenye mafuta, juzi nilikuwa naongea na Mkenya anasema kuanzia September petrol walikuwa wananunua 114/litre ,sasa wataanza kununua 125/litre, kila kitu kimepanda ili wapate pesa za kuendesha miradi na kulipa madeni, sasa option aliyonayo uhuru kwa sasa ni kukimbilia china kuomba misaada.

Sikatai kuwa Rais Mgufuli asisafiri ,ila asafiri kwa mpango maalum, sio kila summit anakwenda, baadhi ya mikutano haina tija, ni ya kujenga uhusiano tu, hivyo waziri wa nje anaweza akafanya, kama nu kutafuta pesa Dk Mpango a.k.a Jembe anatosha, kikubwa ni kuandaa mazingira mazuru ya uwekezaji, kukusanya mapato ya ndani vizuri na kutekeleza miradi kwa wakati.

Mimi nashauri hivi, tumalizie hii miradi ya stiegler gorge, mwendo kasi phase 1&2, bonde la msimbazi, barabara ya njia sita kimara kwa mwaka huu, halafu mwakani tuweke nguvu zaidi katika kilimo na viwanda( General tyre & mchuchuma kazi ianze), maana tatizo kubwa miaka yote ya nchi za Africa sio kusafiri kwenda kwenye summit bali serikali hazina viwanda , hivyo hawauzi, mapato yanakuwa madogo ,miradi inasimama maana hakuna pesa ,njia wanazotumia ni kwenda nje kuomba misaada which is wrong.
 
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo usiku ameondoka kuelekea China kwenye China - Africa Summit, hii ni baada ya kutoka Marekani ambako alikutana na rais Trump wa Marekani, na juzi alitembelewa na Waziri Mkuu wa England Teresa May na kusaini mkataba wa kurudishwa pesa zote za Kenya zilizofichwa uingereza.

View attachment 853136
View attachment 853161

Wakati juhudi hizi zikifanywa na kiongozi wa Kenya sisi tumekalia malumbano ya makinikia na makontena, huku tukiteketeza pesa kurudia uchaguzi kila mwezi na kununua wapinzani.

Kwa hali hii tukubali tukatae Kenya itaendelea kutuzidi karibu kwa nyanja zote za kiuchumi, kidiplomasia, kidemokrasia, kiulinzi na kijamii.

Tushituke.
Ngoja na sisi tukimaliza biashara ya manunuzi na chaguzi ndipo nao watajua sisi ni nani kwani uchumi wetu utapaa kwa kasi ya ajabu Afrika. Huyo mnayemsifu hata suti na tai hana, reli ya umeme hawana hata viwanda tumewazidi vyao vya zamani.
 
Kuna tofauti kubwa sana ya kusafiri kwenda kubembea na kupiga picha na wasanii na safari za kwenda kwenye forums mbalimbali.
Natamani UVCCM wote wangesoma na kuelewa hili jibu lako. Tatizo ni kuwa hawana muda wa kuelewa
 
Kenya ina madeni mengi sana, wameshakopa mno hadi watu wa IMF wameshawaambia ili kulipa madeni yao lazima waongeze kodi kwenye mafuta, juzi nilikuwa naongea na Mkenya anasema kuanzia September petrol walikuwa wananunua 114/litre ,sasa wataanza kununua 125/litre, kila kitu kimepanda ili wapate pesa za kuendesha miradi na kulipa madeni, sasa option aliyonayo uhuru kwa sasa ni kukimbilia china kuomba misaada.

Sikatai kuwa Rais Mgufuli asisafiri ,ila asafiri kwa mpango maalum, sio kila summit anakwenda, baadhi ya mikutano haina tija, ni ya kujenga uhusiano tu, hivyo waziri wa nje anaweza akafanya, kama nu kutafuta pesa Dk Mpango a.k.a Jembe anatosha, kikubwa ni kuandaa mazingira mazuru ya uwekezaji, kukusanya mapato ya ndani vizuri na kutekeleza miradi kwa wakati.

Mimi nashauri hivi, tumalizie hii miradi ya stiegler gorge, mwendo kasi phase 1&2, bonde la msimbazi, barabara ya njia sita kimara kwa mwaka huu, halafu mwakani tuweke nguvu zaidi katika kilimo na viwanda( General tyre & mchuchuma kazi ianze), maana tatizo kubwa miaka yote ya nchi za Africa sio kusafiri kwenda kwenye summit bali serikali hazina viwanda , hivyo hawauzi, mapato yanakuwa madogo ,miradi inasimama maana hakuna pesa ,njia wanazotumia ni kwenda nje kuomba misaada which is wrong.
Kwani ukijifungia ndani bila kusafiri nje ndio utapata viwanda?

Nafikiri unajua uzito wa presence ya rais kwenye forum, pamoja na utajiri zilizonao nchi zilizo endelea kama Marekani, uingereza, ujerumani, urusi bado marais wao huwa wanahudhuria Forums mbalimbali na kutembelea nchi za wengine kujifunza, sembuse Magufuli anayeongoza nchi masikini kama Tanzania.
 
Kenya ina madeni mengi sana, wameshakopa mno hadi watu wa IMF wameshawaambia ili kulipa madeni yao lazima waongeze kodi kwenye mafuta, juzi nilikuwa naongea na Mkenya anasema kuanzia September petrol walikuwa wananunua 114/litre ,sasa wataanza kununua 125/litre, kila kitu kimepanda ili wapate pesa za kuendesha miradi na kulipa madeni, sasa option aliyonayo uhuru kwa sasa ni kukimbilia china kuomba misaada.

Sikatai kuwa Rais Mgufuli asisafiri ,ila asafiri kwa mpango maalum, sio kila summit anakwenda, baadhi ya mikutano haina tija, ni ya kujenga uhusiano tu, hivyo waziri wa nje anaweza akafanya, kama nu kutafuta pesa Dk Mpango a.k.a Jembe anatosha, kikubwa ni kuandaa mazingira mazuru ya uwekezaji, kukusanya mapato ya ndani vizuri na kutekeleza miradi kwa wakati.

Mimi nashauri hivi, tumalizie hii miradi ya stiegler gorge, mwendo kasi phase 1&2, bonde la msimbazi, barabara ya njia sita kimara kwa mwaka huu, halafu mwakani tuweke nguvu zaidi katika kilimo na viwanda( General tyre & mchuchuma kazi ianze), maana tatizo kubwa miaka yote ya nchi za Africa sio kusafiri kwenda kwenye summit bali serikali hazina viwanda , hivyo hawauzi, mapato yanakuwa madogo ,miradi inasimama maana hakuna pesa ,njia wanazotumia ni kwenda nje kuomba misaada which is wrong.
Suala la kuvutia wawekezaji bila democracy, transparency and good government (Rule of law) sahau kabisa ndugu.
Yes tunaweza fanya mambo kwa awamu, lakini hili la serikali kujiingiza kwenye biashara moja kwa moja na ujenzi wa reli ya kisasa et kwa trn 7 nitakataa hadi kiama.... tunakwama sana tu, huhitaji shahada ya uchumi kujua kuwa uwekezaji mwingine serikali inapoteza mapato kiduchu inayoyapata bure, hivi kwanini tusiendeleze Barabara kwanza, at least 4 lanes highways kabla ya hiki kipande kidogo cha reli kwa trn 7?
Naona unasema Kenya watanunua mafuta kwa ksh 125, kwani sisi tunanunua kwa bei gani? ....Kenya inavuta big business moguls ambapo hata iweje wananchi wa kawaida watapata kwanza ajira kabla ya kodi.. vipi hapa bongo?
Mizigo ya kubambikiana kodi na orders za wanasiasa zisizoeleweka nani anataka kusikia?
Let me tell you we are in a serious mess! labda abadilike, i don't know when.
 
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo usiku ameondoka kuelekea China kwenye China - Africa Summit, hii ni baada ya kutoka Marekani ambako alikutana na rais Trump wa Marekani, na juzi alitembelewa na Waziri Mkuu wa England Teresa May na kusaini mkataba wa kurudishwa pesa zote za Kenya zilizofichwa uingereza.

View attachment 853136
View attachment 853161

Wakati juhudi hizi zikifanywa na kiongozi wa Kenya sisi tumekalia malumbano ya makinikia na makontena, huku tukiteketeza pesa kurudia uchaguzi kila mwezi na kununua wapinzani.

Kwa hali hii tukubali tukatae Kenya itaendelea kutuzidi karibu kwa nyanja zote za kiuchumi, kidiplomasia, kidemokrasia, kiulinzi na kijamii.

Tushituke.

Sidhani kama kuna Rais alisafiri kama JK aka Vasco dagama!!! Tuna nini cha kujivunia kama matokeo ya hizo safari zake?

Si afadhali ya Jiwe anakaa hapa nyumbani na sasa tunaona hata mataluma ya SGR yanatandazwa?

Tukatae tukubali. Kwa tulipokuwa tumefika Jiwe ni Kiongozi sahihi wa kuwa naye kipindi hiki cha maisha yetu. It pains to say this, but hakuna namna!

Hiyo SGR watafaidika vizazi vijavyo kama sisi tunavyofaidika na Reli ya kati iliyojengwa na Mjeremani miaka 100 iliyopita! Sidhani walioijenga Reli ya kati walifaidikapo kwa chochote! Infact waliishi kwenye umasikini wa kutopea waking'atwa na mbung'o na mengineyo. Ingekuwaje wangelalamika kwamba Wajeremani wajenge shule na hospitali waachane na Reli?



Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Nitakuwa wa mwisho kumlaumu jiwe kutosafiri nje!!
 
Back
Top Bottom