Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
mbavu zangu
khe khe khe khe
khe khe khe khe
Mke na mme walienda club,mara mme akaenda counter kuagiza bia,mara kahaba akamfuata mke wa jamaa na kumwambia.
Yaani huyo jamaa usifanye naye ngono mpaka alipe kwanza,mana ukishampa halipi.
otea kilichotokea jamaa aliporudi.