Dini zinavyoharibu watu akili

Kwa hiyo akileta mtume anaetumia kiswahili basi atalazimisha watu wote watumie kiswahili wakati anajua kabisa kuna makabila mengine, ama hajui kama kuna makabila ama lugh nyingine? Huyo mola ni mzima kichwani kweli? Huyo ni mola ama mura?
mwenyezi mungu ameitelemsha Quran tukufu kwa lugha ya kiarabu kwa manufaa yetu sote sisi waislamu leo hii muislamu anaweza akaenda ata china akakuta msikiti na akafanya ibada na akaondoka bila ya kujifunza kichina kwasababu duniani kote misikiti yote iliyopo duniani aijalishi ni wapi lugha ni moja tu ya kufanyia ibada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
siku ya Qiyama wote tutazungumza lugha moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umekalilishwa wewe kwenda hijja ni around 3500USD iyo pesa imebeba kila kitu mpaka unarudi home na ndio mahana mwenyez mungu akasema kwa wale wenye uwezo hijja ni nguzo katika uislamu cheki sasa Allah mwenye hekima alivyokuwa muadilifu yani wakati wenye uwezo wakiwa wanafanya ibada ya hijja na kwa wale wasiokuwa na uwezo nao wanapata kile kile kama mnachopata nyinyi ila kwa utaratibu maalumu aliouweka mwenyezi mungu kama ukiufuatisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao allah waliotuumba wako wangapi ama ni allah na mke wake ama nini?
Hili linawachanganya wengi sana mwenyezi mungu anaposema tumekuumbeni msifikiri kuwa anaongelea yeye na miungu mingine no iyo ni sifa ya mwenyezi mungu mwenye hekima kwakuwa Qurani tukufu alishushiwa mtume muhamad s.a.w na jibril a.s ndio mahana mwenyezi mungu anatumia maneno ayo na apo mtume anaambiwa sema awaambie watu maneno ayo nakupa mfano mwingine leo hii mnasikia matangazo maybe ya Chanjo alafu baadae unasikia imeletwa kwa msaada wa watu wa marekani kwanini wasiseme imeletwa kwa msaada wa rais biden? waingereza wanaita majestic role ndio mwenyezi mungu alikuwa anaitumia kumshushia wahi mtume wake kupitia jibril.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaonaje hekima ya Allah angeitumia Kuweka mawe mengi ata kila nchi muwe mnaenda kusujudia hayo mawe kirahisi
 
sasa usichokielewa ni nini apo? ayo maneno anaambiwa mtume awaambie watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dini ndio imeleta ustaarabu wote apa duniani na dini iyo siyo nyingine ni uislamu jaribu kuusoma uislamu trust me hutojuta uislamu umeelekeza binadamu uishije apa dunian njia zote uislamu aujaacha kitu uislamu umeelekeza mpaka jinsi ya kufanya biashara bila kuwadhurumu watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila ukimfuata Muhammad aliyokuwa anafanya lazima upotoke
Embu fikiria unamuiga Muhammad kuoa mtoto wa miaka 6 kama hujaozea jela na viboko vya matako
 
Hiyo quran ilishushwa na winchi kutoka mbinguni ama malaika alishuka akamkabidhi mtume kitabu kilichoandikwa?

Original quran iliyoshushwa yenye handwriting ya allah iko wapi?
 
ulisoma dini hukumsoma MUNGU..
Ndugu kitu kimoja unachochanganya wewe ni kutokufuata maandiko ukaangalia tabia za watu waislamu ni binadamu kama wewe ila aliyeuleta uislamu uyo ndio umfuate na umsikilize anasema nini usiwafuate watu kwakuwa umemuona muislamu anakula nguruwe na unguruwe ni nijasi amekatazwa tusimle basi wewe ndio unachukulia kuwa uislamu ndio upo ivyo kwa vitendo vya watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama ameziumba yeye kwa nini lazima aombwe kwa kiarabu? Jibu ni moja, hajui lugha nyingine zaidi ya kiarabu.
 
lete ushaidi kwa aya unayoyasema.. nakula kiapo kwa allah tabaraka ukinitibitishia aya unayoyasema naungana na wewe na nitaukana adharani uislamu apa JF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Allah anajifananisha na wafalme 😂😂😂 Allah anaposema sisi anajiweka yeye na Malaika na houris

Marekani unaposema kwa msaada wa watu wa marekani inamaana Kodi za watu ndio zimetumika
 
Haya mambo yote unayoyasema hua mnafunsishwa msikitini tu, hakuna mahala pengine hua huu utaahira unasemwa. Mbaya zaidi huu ujinga unasemwa na watu wasioenda shule kabisa.

Sifa ya kwanza ya kua muumini wa hii dini ni kua mjinga ana punguani.
hii ndio dini ambayo aliyeileta amesema kuwa aina dosari hata kidogo toka kuondoka mtume duniani mpaka leo Qurani aijabadilika iko vile vile maneno yale yale na hakuna wa kuibadilisha alafu wewe unasema ni utahira leo hii angalia biblia zenyewe kwa wenyewe tu zinapishana kuanzia king james version mpaka implementor zote zimetofautiana lakini Qurani tukufu mpaka leo hii aina version wala muundo mwingine yote hii imetokea kutokana na mwenyewe aliyeileta duniani amesema atailinda na ni kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lete ushaidi kwa aya unayoyasema.. nakula kiapo kwa allah tabaraka ukinitibitishia aya unayoyasema naungana na wewe na nitaukana adharani uislamu apa JF

Sent using Jamii Forums mobile app
Unauhakika nitaweka moja baada ya nyingine naanza na moja
1. Matatizo ya akili
Mtume (ﷺ) aliendelea kwa kipindi kama hicho na vile akidhani amelala (alikuwa na uhusiano wa kimapenzi) na wake zake, na kwa kweli hakufanya........ Sahih al-Bukhari 6063

Schizophrenia - kudhani umefanya jambo na kweli hukufanya

Niende point ya 2?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…