Dini zinavyoharibu watu akili

MUNGU hana lugha asiyoisikia ndiyo maana tunamuomba katika lugha tofauti, ndiye aliye tujalia mgawanyko wa hizi lugha, Baada ya kuchukizwa na ujenzi wa mnara wa Babel, acocording to the Holly Bible
 
Sio tu ni lugha bora, ndio lugha pekee anayoisikia na kuielewa Allah.
Kwahiyo MUNGU wenu hasikii kimang'ati,kisukuma,kichaga,kimasai,na lugha za Watu wengine? Kwa hiyo MUNGU huyo Allah aliiumba waarabu tu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haitaitaji Akili kubwa Sana kuielewa hii[emoji137]
 
Naona unafungua hii thread ya pili ili tu kuukashifu uislamu uislamu unaokoteza vipost vyako uko unatuletea apa aliyekuambia tumeimizwa kujifunza lugha ya kiarabu na kuacha nyingine ni nani?
Ukweli ni upi makuu maana Mimi nasoma Qur'an ya kiingereza,Ni kosa?
 
Na unaitwa Mohammed. Bure kabisa
 
NAOMBA unisaidie hizo Aya,sikuwahi kukutana na haya Mambo toka nianze jifunza Quran na dini kwa ujumla....na kuhusu kuwaingilia wafanyakazi wa kike hyo hata kwenye Bible ipo,lakini ndani Quran ktika Surat nnisai imesisitiza mkubaliane nao na uwapatie mahari yao

UKINIPATIA HIZO AYA ZINAZOELEZEA MAELEZO YAKO UTANISAIDIA KUUJUA UKWELI ZAIDI
 
Dini ni utahaira Mimi namuamini Mungu na yesu lakini siamini katika dini yoyote.
[emoji23][emoji23][emoji23] unamuamini Mungu na yesu ila huamini dini YEYOTE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

SOMA KWA SAUTI ,JISIKILIZE NA UJISIKIE ULICHOANDIKA
 
Kwahiyo MUNGU wenu hasikii kimang'ati,kisukuma,kichaga,kimasai,na lugha za Watu wengine? Kwa hiyo MUNGU huyo Allah aliiumba waarabu tu? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haitaitaji Akili kubwa Sana kuielewa hii[emoji137]
Allah ANASIKIA lugha yoyote duniani na ukimuomba kwa lugha yyte atakusikia..achana na story za vijiweni

Allah anaangalia ndani yako ,haongopewi kwa unachosema ama kufanya!!huyu ndiye Mungu wa waislam
 
MWENYEZI MUNGU NI MWENYE KUSIKIA NA MJUZI WA MAMBO..

SIKUMBUKI MARA NGAPI IMEANDIKWA HIVI NDANI YA QURAN,MARA MIA HATA ZAIDI!!
Unafahamu kuwa hata mbwa anasikia kuliko binadamu?
Lakini haelewi hata kiswahili?
Hilo fungu la kusema Mwenyezi Mungu ni mwenye kusikia halijitoshelezi Kwa hii mada tunayozungumzia.
Maana fungu lenyewe lilishuka Kwa kiarabu likiwaelekeza waarabu kina Mohamed. Kwahyo Allah ni mwenye kusikia kiarabu. NDOMAANA MISIKITINI HAWASWALI KWA KISWAHILI/KIINGEREZA

Weka hata Hadith Moja ikionesha watu wengine wakiswali Kwa lugha tofauti na kiarabu.
Maana Kipindi cha Muhammad kulikuwa na wayahudi,wapersia pande hizo za Mecca.
Sasa lazima Kuna wasio waarabu waliamini uislam,,Vipi Hawa hakuna Hadith wakiswali Kwa kiyahudi?

Au Kuna Fungu specific linaloonesha kuwa Allah habagui lugha yoyote?
Maana mafungu ya kuonesha Allah anapendelea kiarabu TU yapo mengi TU.
Na sababu ya kupendelea kiarabu Allah alisema ni kwakuwa uislam aliushusha kwaajili ya watu wa Mecca na vihunzi vyake (waarabu)

"Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Miji (Mecca) na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni"
 
Mimi sio muumini wa Hadithi (maana zipo zinazopishana ,hazina ukamilifu)

kwanza kitu kimoja umesahau,Dini zote hizi mbili ukristo na uislamu umeanzia huko uarabuni,hivyo mitume hawakuwa na lugha ambayo wangeweza kutumia kuwasilisha kwa watu wao isipokuwa kiarabu..na Neno lilipaswa lifike duniani KOTE Sasa Kama anaenda kueneza neno la Mungu sehemu ambayo hawaijui lugha ya kiarabu anawasiliana nao vipi!?wàtajua vipi kuhusu Mungu Kama lugha hawaitambui!?

haihitaji kuwa na elimu kubwa kujua Mungu ANATAKA Nini kwa binaadamu hili NDIO kubwa..let's ask ourselves why!? and not how!??

na kwa hyo Aya uliyoitoa Bado haijaelezea kwamba Mungu anataka aombwe kwa kiarabu ,Bali ujumbe wake ufike kwa lugha hiyo ,ingekuwa mtume mzaramo Basi angemwambia azungumze nao kizaramo
 
Dini zote zilianzia uarabuni na mitume waliongea kiarabu? Yesu aliongea kiarabu?
Kina nabii Ibrahim na Mussa walikuwa waarabu? Waliongea kiarabu?

Kwahyo wewe unaamini Mungu anataka binadamu wote tuongee kiarabu?
 
Dini zote zilianzia uarabuni na mitume waliongea kiarabu? Yesu aliongea kiarabu?
Kina nabii Ibrahim na Mussa walikuwa waarabu? Waliongea kiarabu?

Kwahyo wewe unaamini Mungu anataka binadamu wote tuongee kiarabu?
wewe Sasa unataka league,nadhani MAELEZO yangu yanajitosheleza Mimi nimesimamia wapi kwenye suala la Lugha ya kuongea unapomuomba MUNGU...Mungu ANASIKIA lugha zote ,Mungu NI wa viumbe wote bila kuangalia dini,kabila,utaifa Wala jinsia...huyu ndiye Mungu wa waislamu ninayemjua Mimi huyo unayemtafuta wewe au unayemzungumzia simfahamu....
TUKUTANE KWENYE MABANDIKO MENGINE HAPA NIMEISHIA HAPA.
 
Chained by their principles a slves....waache wajifungie sheria zao
 
Sasa huyo Mungu unaemjua wewe sio wa waislam....Mungu wa waislam anasikia kiarabu TU na ukitaka kumuomba inabidi umgeukie umuangalie upande wa Mecca pale kwenye kibla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…