Dini tofauti ila nampenda

Dini tofauti ila nampenda

Pole sana, jikaze kisabuni.

Kwa mtu muelewa ukimcha awe huru atafanya mengine mazuri zaidi kwa uhuru huo
Wala sio ya kunipa pole
Maana meridhia mwenyewe na moyo wangu, wajua ukipenda boga upende na ua lake na ukipenda waridi sharti uvumilie miiba, ni yangu yote meyabeba nafanya atakavyo sipendi kumkera
 
Wala sio ya kunipa pole
Maana meridhia mwenyewe na moyo wangu, wajua ukipenda boga upende na ua lake na ukipenda waridi sharti uvumilie miiba, ni yangu yote meyabeba nafanya atakavyo sipendi kumkera
Mwanamke atakayemtii mumewe, ameahidiwa nini na Muumba wake eti.....
 
Habari Wakuu,

Najua wengi wamekutana na jambo hili nina mpenzi wangu mwaka wa tatu sasa ila dini tofauti na nikimuuliza kuhusiana na dini anawaka anasema itakua namtafutia sababu tuachane.

Nifahaishane faida na hasara za kuishi kwa dini tofauti ndani ya ndoa.

Mimi Christian binti Islamic
[emoji121]
USIJITAFUTIE MATATIZO KWA BEI NAFUU,

ACHILIA HUYO BINTI,
ILI WENYE VIGEZO VISIVYOKUWA NA ZENGWE TUBEBE GOMA!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom