Dini tofauti ila nampenda

Dini tofauti ila nampenda

DissDotCom

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
395
Reaction score
271
Habari Wakuu,

Najua wengi wamekutana na jambo hili nina mpenzi wangu mwaka wa tatu sasa ila dini tofauti na nikimuuliza kuhusiana na dini anawaka anasema itakua namtafutia sababu tuachane.

Nifahaishane faida na hasara za kuishi kwa dini tofauti ndani ya ndoa.

Mimi Christian binti Islamic
 
Jaribu kujua ndugu wa pande zote mbili wanalichukuliaje hili ili ujue unakabiliana na changamoto zipi kabla ya kufanya maamuzi
 
jaribu kujua ndugu wa pande zote mbili wanalichukuliaje hili ili ujue unakabiliana na changamoto zipi kabla ya kufanya maamuzi

Kwa upande wangu hawana neno na yeye anasema kwao ataamua yeye nisijali tym ingine tukigombana ananiuliza kama ntabadili din
 
Ushauri wa Kaboom nimeupenda kama hakuna kizingitu Kati yenu basii mnaweza kua pamoja ikiwa Tu mnapendana kidhat ILA mahusiano ya dizain kwa asilimia karibu zote hua hayadumu
 
Last edited by a moderator:
Waachane tuu hukuna namna wewe miss chaga

Hakuna namna lazima mmoja akubali kuachana na ya kwake afuate ya mwenzie .. au akubali familia kuongozwa katika dini moja (watoto).. ila kwa maelezo ya jamaa inaonekana hakuna hata mmoja yupo tayari kuacha anachokiamini
 
Achana nae aisee, au kama mnapendana sana mwambie abadili dini . Kuna mzee wangu mkubwa allikuwa na situation kama hyo lakini mwanamke akabadili dini wakafunga ndoa , wakapata watoto maisha yakaenda, sasa mzee amestaafu mwanamke amebadili tena dini na amefunga hataki.kupika hataki kutoa game nk. Amemtimua home
 
Apo kuna shida, ukiendelea nae kwa asilimia kubwa watoto watakua islamic maana yeye ndo atakua nao karibu zaidi kama mama, na iwapo mtaamua kufunga ndoa iyo ndoa itafungiwa wapi? kanisani au msikitini? Na ata mkiishi bila kufunga ndoa lazima mtatofautiana tu ikiwa wote mmeshika udini kwa kifupi lazima uyo binti abadili dini
 
Hapo ni maamuzi magumu tu kwa faida ya baadae...
I'm in the same situation ila naona km hilo jambo ni gumu sana bora kutafuta mwingine
 
Tafuta mwingine tu kukwepa majanga utakayokutana nayo baadae.
 
Fata moyo kitu inapenda, amin nakwambia utaleta mrejesho tu hapa, yatakayo kukumba ni kama haya
HESHIMA: watt hawatawaheshm coz ya upnzan wa kidn endpo wakigundua kwan kila mtt atajchagulia din aitakayo matokeo yake utackia leo yupo kw mch flan, kesho RC, CK IFUATAyo kw shekh.
AMANI: familia itakosa aman mama atataka mtt aend madrasa na baba atataka mtt aende mafundsho ya katekesi sasa pakipishana amani haipo tena,
UTAWALA: mama ndie anaeshinda na watoto atakapo kaa nao lazima kunastage mtt anapenda kuianza dini sasa mama anachojua ni islamc lazma amfundishe anachojua coz christian kaja kwenye ndoa mengne hajui.
MAADILI: Yatapungua kwenye familia penda ucpende.
IMANI: miongozo ya dini yako haiwezi kufanana na mwenzio vipindi vya mbalimbali vya kanisa vimetofautiana na vya islamic, eg, mwezi huu ye kazoea mfungo akifunga utapata shida kwa sheria zao wewe nawe vilevile upande wako unajua vipind vya mwaka wa kanisa.
KUWA MAKINI CHUKUA UAMUZI MGUMU
 
Achana nae tu mapema, haya mambo ni magumu sana kabla ya kunikuta nilikuwa naamini hivyo hivyo kuwa baadae kitaeleweka ila sasa hivi aisee akinikaribia tu mtu mwenye jina la kikristo natoka ndukiii kama nimeona chatu
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Achana nae aisee, au kama mnapendana sana mwambie abadili dini . Kuna mzee wangu mkubwa allikuwa na situation kama hyo lakini mwanamke akabadili dini wakafunga ndoa , wakapata watoto maisha yakaenda, sasa mzee amestaafu mwanamke amebadili tena dini na amefunga hataki.kupika hataki kutoa game nk. Amemtimua home

asante kwa ushauri ....hv zile ndoa za bomani hazina tatizo kwel jaman maana hadi nawaza huko
 
Fata moyo kitu inapenda, amin nakwambia utaleta mrejesho tu hapa, yatakayo kukumba ni kama haya
HESHIMA: watt hawatawaheshm coz ya upnzan wa kidn endpo wakigundua kwan kila mtt atajchagulia din aitakayo matokeo yake utackia leo yupo kw mch flan, kesho RC, CK IFUATAyo kw shekh.
AMANI: familia itakosa aman mama atataka mtt aend madrasa na baba atataka mtt aende mafundsho ya katekesi sasa pakipishana amani haipo tena,
UTAWALA: mama ndie anaeshinda na watoto atakapo kaa nao lazima kunastage mtt anapenda kuianza dini sasa mama anachojua ni islamc lazma amfundishe anachojua coz christian kaja kwenye ndoa mengne hajui.
MAADILI: Yatapungua kwenye familia penda ucpende.
IMANI: miongozo ya dini yako haiwezi kufanana na mwenzio vipindi vya mbalimbali vya kanisa vimetofautiana na vya islamic, eg, mwezi huu ye kazoea mfungo akifunga utapata shida kwa sheria zao wewe nawe vilevile upande wako unajua vipind vya mwaka wa kanisa.
KUWA MAKINI CHUKUA UAMUZI MGUMU

amina kaka ushauri wako umenipa mwanga flani mpya
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Apo kuna shida, ukiendelea nae kwa asilimia kubwa watoto watakua islamic maana yeye ndo atakua nao karibu zaidi kama mama, na iwapo mtaamua kufunga ndoa iyo ndoa itafungiwa wapi? kanisani au msikitini? Na ata mkiishi bila kufunga ndoa lazima mtatofautiana tu ikiwa wote mmeshika udini kwa kifupi lazima uyo binti abadili dini

"Lazima huyo binti abadili dini" punguani kweli wewe.
 
Kwa sisi wakristo tunaamini mwanamke hupokea toka kwa mume hivyo yakupasa kudhungumza nae mapema kuhusu mapokeo.kama akikataa Pima kwa nafsi yako...lakini ndoa za Dini mbili mwisho wake huwa mahakamani
 
Back
Top Bottom