hatari tupu mkuu kizunguzungukaboom dah leo umenigusa coz am in the same situation.
Ulifikia maamuzi gani?h
hatari tupu mkuu kizunguzungu
ulale sasaSawa
Namsubiri bebi wangu kwanza ili aje aniongezee body temperatureulale sasa
alienda wapi??? Saa tano hii anazurura tu me wangu memwambia hakuna kulala leoNamsubiri bebi wangu kwanza ili aje aniongezee body temperature
Anaangalia moviealienda wapi??? Saa tano hii anazurura tu me wangu memwambia hakuna kulala leo
Kampe kampani bwanaAnaangalia movie
Atakuwa ananiuliza maswali ovyo ambayo sitaki kuulizwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kampe kampani bwana
Hahaha jaman umetoa siri zakeAtakuwa ananiuliza maswali ovyo ambayo sitaki kuulizwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahaha jaman umetoa siri zake
Nikimuona mahal ntamwambia aache kuuliza maswali ya hovyo mumewe hapendi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Wwe mrembo wa marangu kumbe upoooKwa jinsi navyoona naona bora mkaachana now ... mkienda mbali ni kubaya zaidi
Utakuwa umenisaidia sanaNikimuona mahal ntamwambia aache kuuliza maswali ya hovyo mumewe hapendi
Lakini uhuru uwe na mipaka?? Ana raha me nakoma hukuNapenda kumuacha huru afanye anachopenda kama sehemu ya burudani kwake