Dini tofauti ila nampenda

Dini tofauti ila nampenda

basi nishaghaili kwanza ukijua utanicheka sana acha nikae nalo halafu kwenye stori zetu huko chimbo tushakutaja taja zaidi ya mara mbele kumbe anakuja kumwaga maubuyu huko SISEMI TENA utanicheka aisee
Babe hajui bwana ulitaka kusema nn
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi sisemi kwa sababu mnaweza kunivua nguo na mimi
ntabaki nalo bhana we endelea na kazi yako japo umekuwa mvivu siku hizi
 
Back
Top Bottom