Kuna picha moja ya kipindi cha gharika ilichorwa hao wanyama walikuwa nje ya safinaDinasour huenda walikuwepo kweli, tena wakati wa Nuhu siyo miaka mabilioni yaliopita kama wanasayansi wanavyodai. Gharika ilipokuja ikawaangamiza.
Enzi hizo za Nuhu duniani ili usurvive ilibidi uwe mbabe sana majitu yalikuwa makubwa yalikuwa yanaishi hadi miaka mia tisa. Wakati huo binadamu kufika miaka ya kubalehe ni miaka 250.
Mademu walikuwa wakali sana hadi malaika mbinguni wakawatamani na kushuka kuwagegeda na kuzaa mijitu ya ajabu. Mungu akamaindi akaamua kuleta garika kuwaangamiza.
Hadithi za mababu wa kale wa kiyahudiDinasour huenda walikuwepo kweli, tena wakati wa Nuhu siyo miaka mabilioni yaliopita kama wanasayansi wanavyodai. Gharika ilipokuja ikawaangamiza.
Enzi hizo za Nuhu duniani ili usurvive ilibidi uwe mbabe sana majitu yalikuwa makubwa yalikuwa yanaishi hadi miaka mia tisa. Wakati huo binadamu kufika miaka ya kubalehe ni miaka 250.
Mademu walikuwa wakali sana hadi malaika mbinguni wakawatamani na kushuka kuwagegeda na kuzaa mijitu ya ajabu. Mungu akamaindi akaamua kuleta garika kuwaangamiza.
Naam watu wa Mungu taifa teule.Hadithi za mababu wa kale wa kiyahudi
Binadamu ameanza kuonekana duniani miaka milioni 2 tu iliyopita, ila hao viumbe waliishi takriban miaka milioni 200 iliyopita.Ila mimi mpaka leo bado najiuliza, binadamu wa enzi hizo waliwezaje kuwamudu wanyama wakubwa hata kuliko miili yao?; Na ukiangalia hata maendeleo ya ubunifu silaha zenye nguvu kama za sasa kuwazuia teknologia jia hiyo haikuwepo.
_ Uso wa dunia umeudwa kwa miamba, moja kati ya mbinu ya kujua umri wa dunia ni kupima umri wa miamba katika uso wake. Mwamba mwenye umri mkubwa zaidi unapatikana kaskazini magharibi mwa canada na una umri wa miaka bilioni 4 (Acasta gneiss).Tafiti na ushahidi mbalimbali havioneshi dunia kuwa na mamilioni ya miaka kiasi hiko.
Evolution inabadilisha viumbe kulingana na mabadiliko ya mazingira. Viumbe waliokuwapo miaka milioni 200 iliyopita hawafanani na viumbe waliopo leo au waliokuwapo miaka bilioni 2 iliyopita.Inasemekana kwamba walichanganya changanya mbegu za wanyama ndio maana wakazaana wanyama wa ajabu ajabu...
Ila hawa hawakuwepo wakati wa uumbaji ambao Mwenyezi Mungu aliumba wanyama
Mass extinctions katika historia ya dunia are not uncommon. Maisha katika dunia hii is the game of chance chochote kinaweza tokea katika muda wowote na kikapelekea systems za duniani kuvurugika kabisa (na bilioni ya specie za viumbe kupotea kabisa katika uso wa dunia). Ilitokea mara kadhaa na itatokea tena.Yaah, labda na sisi tutakuja kusomwa kama viumbe vya zamani vilivyopotea.
Miaka hiyo atmosphere ilikua na oxygen nyingi, viumbe walikua wakubwa wakubwa. Hao dragonflies walikua magiantMeganeuropsis lived 250-300 million years ago, anafanana kabsa na dragonflies(sisi huku kwetu tunaita pelemende).View attachment 1766515View attachment 1766516View attachment 1766517
Mimea ilikuwepo hata kabla ya uwepo wa hao viumbe. Mimea ndio ilisababisha baadhi ya samaki waevolve na kua viumbe wa nchi kavu.Na vip kuhusu mimea iliyokuwepo wakati huo?
Kiaje yan?Mimea ilikuwepo hata kabla ya uwepo wa hao viumbe. Mimea ndio ilisababisha baadhi ya samaki waevolve na kua viumbe wa nchi kavu.
Hata binaadam wa kale hawakuwa kama tulivyo leo, kwa wanaoamini Mungu watanielewaHivi kwa maumbile yako yalivyo...kama kweli walikuwepo hapo kale,je!ungeweza kumudu vitimbi vyao?!!!
Unaweza kuishi nchi kavu bila uwepo wa mimea?Kiaje yan?
Hapana. Ila ujanijibu bado kwaiyo samaki walikuwa wanatoka majini kuja kufata mimea nchi kavu?Unaweza kuishi nchi kavu bila uwepo wa mimea?
Namaanisha viumbe wote wa nchi kavu wametokana na samaki. Na hii inaelezea kwanini mamba anaishi kati ya nchi kavu na maji.Hapana. Ila ujanijibu bado kwaiyo samaki walikuwa wanatoka majini kuja kufata mimea nchi kavu?
Aina hii ya tembo walikuwepo kipindi kinachoitwa ice age wakati hao Dinosaurs walikuwepo kipindi cha Jurassic period..vipindi hivyo vina variation ya mamilioni ya miaka