Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 5,230
- 12,086
Kuna picha moja ya kipindi cha gharika ilichorwa hao wanyama walikuwa nje ya safinaDinasour huenda walikuwepo kweli, tena wakati wa Nuhu siyo miaka mabilioni yaliopita kama wanasayansi wanavyodai. Gharika ilipokuja ikawaangamiza.
Enzi hizo za Nuhu duniani ili usurvive ilibidi uwe mbabe sana majitu yalikuwa makubwa yalikuwa yanaishi hadi miaka mia tisa. Wakati huo binadamu kufika miaka ya kubalehe ni miaka 250.
Mademu walikuwa wakali sana hadi malaika mbinguni wakawatamani na kushuka kuwagegeda na kuzaa mijitu ya ajabu. Mungu akamaindi akaamua kuleta garika kuwaangamiza.