Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu kesho utasikia ''mambo ni mengi muda ni mchache''Watu mna muda wa kuchezea, sasa wewe maisha yake yanakuhusu nini..!?
Mwache aishi apendavyo na impendavyo mwenzi wake..
Sent from my iPhone using Tapatalk
Dina Najua Upo Hapa JF, Kwanza nianze kwa kukusifu, Dina wewe ni Mwanamke Imara sana, Kwa yale Ambayo Nayaona mimi. Sikujui personal, Ila Kwa maandishi yako, Ongea yako kwenye vyombo vya habari, Malezi yako kwa mtoto wako.Dina hata ukija taka kuolewa wewe utakuwa mke mwema sana kwa mumeo.
Mimi Napenda Sana Vile Unapanda Mauwa Nyumbani kwako, napenda vile Unapenda Jiko Yaani Misosi Yako ukituwekea Picha, Hata sijui kama unae msichana wa kazi au Unapiga Mzigo Mwenyewe.
Zaidi ya YOTe ni vile huna dramas katika life style yako, yaani mi unanikosha sana Dina. Kwa u star Ulionao Dina Uko humble Sana.
Sasa La Pili Hili Ndio hasa Ujumbe Wangu Kwako, Dina umenenepa sana, yaani Hupendezi, Dina Najua huwa unafanya mazoezi, Maana Unatuwekea Picha za Mazoezi ila Sasa Mazoezi Bila kunguza Posheni/Ujazo wa Chakula ni Bure.
Tatu Na La Mwisho, Dina Tafuta Mtu Wa kukushauri Kimavazi, Yani Mtu awe Kama Hana Wana Mitindo, Noel, Rio, Kadinda, Hasanali au Hamisa.
Hii Picha Ndio Imenifanya Nikwandie Haka Ka Ujumbe
View attachment 1070974
[/QUOT
ashakua mama tayari
Mi pia mavazi ananiachaga hoi,,na Viatu. Hajipatii kabisa kiujumla,,najiuliza au ni ule mwili?? Mana Zamani alikua anapendeza angalau Wakati hajajaa sana juu,,
Mi pia mavazi ananiachaga hoi,,na Viatu. Hajipatii kabisa kiujumla,,najiuliza au ni ule mwili?? Mana Zamani alikua anapendeza angalau Wakati hajajaa sana juu,,
ah huyu dina nampenda sana wajemeni yani kale kapua dahKila shetani na mbuyu wake. Wengine wako hoi kwa jinsi alivyo Wallah.
DinazardeDina Najua Upo Hapa JF, Kwanza nianze kwa kukusifu, Dina wewe ni Mwanamke Imara sana, Kwa yale Ambayo Nayaona mimi. Sikujui personal, Ila Kwa maandishi yako, Ongea yako kwenye vyombo vya habari, Malezi yako kwa mtoto wako.Dina hata ukija taka kuolewa wewe utakuwa mke mwema sana kwa mumeo.
Mimi Napenda Sana Vile Unapanda Mauwa Nyumbani kwako, napenda vile Unapenda Jiko Yaani Misosi Yako ukituwekea Picha, Hata sijui kama unae msichana wa kazi au Unapiga Mzigo Mwenyewe.
Zaidi ya YOTe ni vile huna dramas katika life style yako, yaani mi unanikosha sana Dina. Kwa u star Ulionao Dina Uko humble Sana.
Sasa La Pili Hili Ndio hasa Ujumbe Wangu Kwako, Dina umenenepa sana, yaani Hupendezi, Dina Najua huwa unafanya mazoezi, Maana Unatuwekea Picha za Mazoezi ila Sasa Mazoezi Bila kunguza Posheni/Ujazo wa Chakula ni Bure.
Tatu Na La Mwisho, Dina Tafuta Mtu Wa kukushauri Kimavazi, Yani Mtu awe Kama Hana Wana Mitindo, Noel, Rio, Kadinda, Hasanali au Hamisa.
Hii Picha Ndio Imenifanya Nikwandie Haka Ka Ujumbe
View attachment 1070974
ShangaaaWatu mna muda wa kuchezea, sasa wewe maisha yake yanakuhusu nini..!?
Mwache aishi apendavyo na impendavyo mwenzi wake..
Sent from my iPhone using Tapatalk
Mtu yupo kama kitimotoo alafu anavaaa ovyooYeye na shamsa ford mweeh
Utadhani Madilu System
🤣 🤣 🤣 🤣 umekuja haraka haraka kukanusha kwamba Dina anayeongelewa sio wewesio mimi