Dina Marios, tafuta mtu akushauri mavazi

Maajabu mnaompa ushauri na kumuona hapendezi ni wanawake;mmetafuta maoni ya wanaume mkajua tunamuonaje?haya ndio mambo yetu sisi wazee wa mizigo kama Sheikh Kipozeo;au kuna SI unit ya mwanamke awe vipi?Nyinyi endeleeni kudanganywa na diet za Mange,ukishakua na maziwa makubwa hautakiwi kujikondesha mnatakiwa mfahamu hili dada zetu,unakua kituko kama Wendy au Mange though anadai wazungu ndio wanapenda alivyo ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu mna muda wa kuchezea, sasa wewe maisha yake yanakuhusu nini..!?

Mwache aishi apendavyo na impendavyo mwenzi wake..


Sent from my iPhone using Tapatalk
halafu kesho utasikia ''mambo ni mengi muda ni mchache''
 
Dina Najua Upo Hapa JF, Kwanza nianze kwa kukusifu, Dina wewe ni Mwanamke Imara sana, Kwa yale Ambayo Nayaona mimi. Sikujui personal, Ila Kwa maandishi yako, Ongea yako kwenye vyombo vya habari, Malezi yako kwa mtoto wako.Dina hata ukija taka kuolewa wewe utakuwa mke mwema sana kwa mumeo.

Mimi Napenda Sana Vile Unapanda Mauwa Nyumbani kwako, napenda vile Unapenda Jiko Yaani Misosi Yako ukituwekea Picha, Hata sijui kama unae msichana wa kazi au Unapiga Mzigo Mwenyewe.

Zaidi ya YOTe ni vile huna dramas katika life style yako, yaani mi unanikosha sana Dina. Kwa u star Ulionao Dina Uko humble Sana.

Sasa La Pili Hili Ndio hasa Ujumbe Wangu Kwako, Dina umenenepa sana, yaani Hupendezi, Dina Najua huwa unafanya mazoezi, Maana Unatuwekea Picha za Mazoezi ila Sasa Mazoezi Bila kunguza Posheni/Ujazo wa Chakula ni Bure.

Tatu Na La Mwisho, Dina Tafuta Mtu Wa kukushauri Kimavazi, Yani Mtu awe Kama Hana Wana Mitindo, Noel, Rio, Kadinda, Hasanali au Hamisa.

Hii Picha Ndio Imenifanya Nikwandie Haka Ka Ujumbe

View attachment 1070974
[/QUOT
ashakua mama tayari
 
Mi pia mavazi ananiachaga hoi,,na Viatu. Hajipatii kabisa kiujumla,,najiuliza au ni ule mwili?? Mana Zamani alikua anapendeza angalau Wakati hajajaa sana juu,,

kashapitwa na shamimu mwasha mama la 8020fashions..maana naye hakuaga anajua kuvaa zamani..ss hv🔥🔥
 
Mkuu....
Kwani wewe haujui kwamba wanawake wengi huwa wanapenda kupiga picha wakiwa wamegeuka...!!??
By the way, huyo Dina ni Disii wa wapi kwani...!!??
huyu DISII wa EFM mkuu hahah
 
Dina Najua Upo Hapa JF, Kwanza nianze kwa kukusifu, Dina wewe ni Mwanamke Imara sana, Kwa yale Ambayo Nayaona mimi. Sikujui personal, Ila Kwa maandishi yako, Ongea yako kwenye vyombo vya habari, Malezi yako kwa mtoto wako.Dina hata ukija taka kuolewa wewe utakuwa mke mwema sana kwa mumeo.

Mimi Napenda Sana Vile Unapanda Mauwa Nyumbani kwako, napenda vile Unapenda Jiko Yaani Misosi Yako ukituwekea Picha, Hata sijui kama unae msichana wa kazi au Unapiga Mzigo Mwenyewe.

Zaidi ya YOTe ni vile huna dramas katika life style yako, yaani mi unanikosha sana Dina. Kwa u star Ulionao Dina Uko humble Sana.

Sasa La Pili Hili Ndio hasa Ujumbe Wangu Kwako, Dina umenenepa sana, yaani Hupendezi, Dina Najua huwa unafanya mazoezi, Maana Unatuwekea Picha za Mazoezi ila Sasa Mazoezi Bila kunguza Posheni/Ujazo wa Chakula ni Bure.

Tatu Na La Mwisho, Dina Tafuta Mtu Wa kukushauri Kimavazi, Yani Mtu awe Kama Hana Wana Mitindo, Noel, Rio, Kadinda, Hasanali au Hamisa.

Hii Picha Ndio Imenifanya Nikwandie Haka Ka Ujumbe

View attachment 1070974
Dinazarde
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom