tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,307
Mama juju ndo nani na thee ni nani
Boss Marehemu alishafagia hapaDina Najua Upo Hapa JF, Kwanza nianze kwa kukusifu, Dina wewe ni Mwanamke Imara sana, Kwa yale Ambayo Nayaona mimi. Sikujui personal, Ila Kwa maandishi yako, Ongea yako kwenye vyombo vya habari, Malezi yako kwa mtoto wako.Dina hata ukija taka kuolewa wewe utakuwa mke mwema sana kwa mumeo.
Mimi Napenda Sana Vile Unapanda Mauwa Nyumbani kwako, napenda vile Unapenda Jiko Yaani Misosi Yako ukituwekea Picha, Hata sijui kama unae msichana wa kazi au Unapiga Mzigo Mwenyewe. Zaidi ya YOTe ni vile huna dramas katika life style yako, yaani mi unanikosha sana Dina. Kwa u star Ulionao Dina Uko humble Sana.
Sasa La Pili Hili Ndio hasa Ujumbe Wangu Kwako, Dina umenenepa sana, yaani Hupendezi, Dina Najua huwa unafanya mazoezi, Maana Unatuwekea Picha za Mazoezi ila Sasa Mazoezi Bila kunguza Posheni/Ujazo wa Chakula ni Bure.
Tatu Na La Mwisho, Dina Tafuta Mtu Wa kukushauri Kimavazi, Yani Mtu awe Kama Hana Wana Mitindo, Noel, Rio, Kadinda, Hasanali au Hamisa.
Hii Picha Ndio Imenifanya Nikwandie Haka Ka Ujumbe
kila mtu ana celebrity wake anayemfuatilia sasa we si ufunguke vuzuri hi zo tetesi sababu huyo dina inaonekana mnafanya nae kazi
Dina ni Mama machachari sana Katika Tasnia ya utangazani, u DC achia kina buku saba hahaMkuu....
Kwani wewe haujui kwamba wanawake wengi huwa wanapenda kupiga picha wakiwa wamegeuka...!!??
By the way, huyo Dina ni Disii wa wapi kwani...!!??
Kupeana kwao utamu kwanini kulete shida na huyu kuondoka au naye alikuwa na mahusiano na huyo boss?
Kuchanganya kaz Na papuch lazmaKupeana kwao utamu kwanini kulete shida kwa huyu kuondoka au naye alikuwa na mahusiano na huyo boss?