The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,322
- 20,352
Hamna utajiri wa milioniKwanini sio milioni , kulilia sio sababu unatakiwa uje na uhalisia wako
Hamna utajiri wa milioniKwanini sio milioni , kulilia sio sababu unatakiwa uje na uhalisia wako
Hahaha, hapo hata mtoto wa shule atakwambia wanampa hype ya kum'enjoy kiaina. Deep down, they don't give 2 sh*ts about him!View attachment 1789811
Hii topic hipo nigeria sasahivi
Napenda the way una data! You are the first I've seen unamfahamu ryan sea crestNgoma ya Davido kuchezwa hot97 hakuna cha ajabu hapo maana wanaenzi culture ya African-American.
Muziki utapenya tutakapoingia kwenye billboard hot 100,American Top 40 za kina Ryan Seacrest na kuchezwa kwenye Media ambazo hazija-base kwenye african culture kama KIIS FM LA Carlifonia.
Wasanii wa UK wanalalamika ilivyongumu kupenya USA ije kuwa hawa wa kiafrica?..huko USA tutasikilizwa na diaspora tu na manigga wanaependa African culture.
Wengine tunafuatilia muziki na details zake muhimu mkuu.Napenda the way una data! You are the first I've seen unamfahamu ryan sea crest
Uptop
Wewe jamaa ni mpuuzi, mtu kununua gari la kutembelea ni show offs ?Unataka show gani Justin bieber ile New Rolls Royce yake alionunua mwaka huu ni design ya peke yake, hakuna mwenye Gari kama ile kwa maana ya design, unataka show off gani ?
Kumbe ndio anga zako hizi. Mimi nasoma hapa maana niko mweupe katika hiliWengine tunafuatilia muziki na details zake muhimu mkuu.
Asante kwa appreciation.
Kwahiyo hii ndio 80% ya Africa?Burkinafaso,Guinea Bisau na Gunea Konakry,Ethipia, ,Camaroon ,Madagascar ,Gabon .
Ingia acc ya Diamond Youtube zote utaziona.Kwahiyo hii bdio 80% ya Adrica?
Anyway, Weka hizi shows 👆👆
Hizo nyingine ni bla bla zisizo na kichwa waka miguu.
Ni warner comes from brothers founders;Ni Warmer au Warner View attachment 1789583
Ndio mkuu,,kufuatia muziki na siasa zake pia ni burudani kwangu.Kumbe ndio anga zako hizi. Mimi nasoma hapa maana niko mweupe katika hili
Mzee wewe umekula chumvi nyingi haya mambo tuachie sisi watoto wakoEbu ngoja nisubiri komenti zingine, labda nitaelewa ulicho kiandika..😎😎
Ahahahahahaha wale weusi wenzetu, hakuna ubaya kuishi kwenye hiyo culture bossOk, ni ma G aka gangsters 😂wamekulia amongst black culture that's why wana floss hivyo. Iko kwa damu, sio kitu kimeletwa na pesa. Hata wale wa kule Bronx au Chiraq pahali utapata hata wasio na chitu yaani broke asf, bado wana floss, sababu ni culture.
Kuna mamilionea , mabilionea na matirionea, wote wana heshima yao kwenye ulimwengu wa kumiliki fedhwaHamna utajiri wa milioni
Huyo mshamba mwambie , kwenye mziki bila show off huchomoki ,music is about fame , labda kama unafanya biashara na mziki unafanya for leisure .....!!!Nimekwambia DJ Khalid sio Niga, wala Justin Bieber sio Niga, lakini kwa show off hawajambo sana, kwahiyo kujitangaza sio jambo baya kama ambavyo unajaribu kulifanya liwe baya
Nimekwambia kuna show off ya maneno na vitendo, Kuna mtu aongei lakini matumizi yake unajua kuwa huyu Mwamba pesa ipo, ndicho alichofanya Justin bieber kununua Gari ambayo hakuna mwenye nayo duniani zaidi yake kwenye design lengo tujue kuwa pesa anayo, wewe unafikiri angenunua Gari ya kawaida kuna mtu angeshtuka kama walivyoshtuka kusikia Justin kanunua Gari ya kipekee duniani? soma vizuri uelewe usikurupukeWewe jamaa ni mpuuzi, mtu kununua gari la kutembelea ni show offs ?
Huna akili.Nimekwambia kuna show off ya maneno na vitendo, Kuna mtu aongei lakini matumizi yake unajua kuwa huyu Mwamba pesa ipo, ndicho alichofanya Justin bieber kununua Gari ambayo hakuna mwenye nayo duniani zaidi yake kwenye design lengo tujue kuwa pesa anayo, wewe unafikiri angenunua Gari ya kawaida kuna mtu angeshtuka kama walivyoshtuka kusikia Justin kanunua Gari ya kipekee duniani? soma vizuri uelewe usikurupuke
Sasa wale jamaa wa west kama Ross na Khaled, mziki kwao ni leisure. Yaani wanabonga utopolo wao, jioni kauza mamilioni kuanzia online hadi kila kona. Haya mondi afanye leisure sasa, hahaha! 🤣Huyo mshamba mwambie , kwenye mziki bila show off huchomoki ,music is about fame , labda kama unafanya biashara na mziki unafanya for leisure .....!!!
Mwanamziki analilia awekwe forbesHabarini Wana Jf.
Taarifa nzuri kwa WCB fans pamoja na tasinia ya Muziki wa BONGO FLAVOR Ni dhahiri shauri kuwa diamond and ALBUM Yake itakuwa Ni ya kukata na shoka na hii inaweza ndio ikawa ALBUM ya kwanza kutuletea GRAMMY AWARD.
Maana WARMER MUSIC GROUP Ni kampuni kubwa ya usambazaji wa kazi za wasanii ulimwenguni na hii inaonyesha kuwa kutakuwa na nawe ya wamarekani Kama yote.
ALBUM itakuwa Ni ya kwenda na kuwafikia watu wengi kwa mda mchache kudos kwa WCB na wadau wote waownda Muziki mzuri.
BONGO FLAVOR TO THE WORLD.