Dili la Diamond Platinumz na Warmer Music Group ni dhahiri kuwa big thing is coming

Diamond ameanza kuwa kichaa kama Kanye West.

Kanye West alizoa hadi risiti za mali zake zote akapeleka forbes kuwathibitishia kuwa yeye ni billionnaire.

Mimi naamini tunatafuta pesa ili tutimize ndoto zetu, familia zetu na jamii inayotuzunguka.

Hii hulka ya sasa hivi watu kupambana kwa kila hali kutaka jamii iwaone kuwa wana hela sana na ni matajiri ni ya kiuwendawazimu kabisa.

Watu wakishajua una pesa nyingi, then what ?

You got money, then just live your life.

Why unaumia eti kwasababu Forbes wametaja kiasi ambacho hujaridhika, kwani wamekupora pesa?

Yaani ni sawa leo umkute Bakhresa anabishana na Forbes kwamba pesa walizomkadiria siyo zenyewe. Huu ni utaahira.
Unajua msanii anapopewa dili labda na kampuni flani kuwatangazia biashara na kulipwa either milioni tano na mwingine mil 800 wanaangalia vigezo gani?
 
Unajua msanii anapopewa dili labda na kampuni flani kuwatangazia biashara na kulipwa either milioni tano na mwingine mil 800 wanaangalia vigezo gani?
Kuna deals za kawaida za matangazo ambazo hata models wanafanya.

Vile vile kuna endorsements ambazo kampuni inaamini kupitia kwa msanii watapata awareness na hivyo bidhaa zao kuuza au kujulikana zaidi.

Kuna kanpuni huwa zinawapa deals wasanii kama partners tu, ndio maana mara nyingi kampuni zikiona umekiuka baadhi ya maadili yao, huwa zinajitoa. Maana yake msanii ndiyo anayefaidika zaidi kuliko kampuni husika.

Mwisho, kibongo bongo endorsements nyingi zina udalali. Kupata inategemeana na unamjua nani ?

Ndio maana unaona Msanii mkubwa tu kama Alikiba hana endorsements za kueleweka.

Yaani kwa lugha rahisi kampuni haihitaji wewe uifanyie promotion ndio iuze.
 
Sasa wale jamaa wa west kama Ross na Khaled, mziki kwao ni leisure. Yaani wanabonga utopolo wao, jioni kauza mamilioni kuanzia online hadi kila kona. Haya mondi afanye leisure sasa, hahaha! 🤣
Leisure ukiwa na maana gani? yaani unapiga nyimbo na wasanii wakubwa kama Drake halafu unaita leisure? kama ni leisure Dj Khalid angefanya mwenyewe sio kushirikisha watu wenye majina makubwa na mashabiki wengi, Bajeti anayo tumia Dj Khalid ni kubwa mno kwenye nyimbo kuliko Diamond sasa huu u leisure unaosema wewe upi?
 
DJ Khaled ni nigga. Kuwa nigga siyo lazima uwe mweusi.

Leta hapa show offs za Justin Bieber ( hasa kupitia nyimbo zake au maisha yake )
Mkuu unapinga sana hii nakusoma ila vile vile kumbuka ni sehem ya branding. Domo kaji brand kama mtu wa majigambo so far inamlipa.

Hiyo kauli ya kubishana na Forbes hadi ma celeb wa naija wana comment na kuunga mkono. Hiyo tayari ni promo ya album yake. Kiba mkimya sana na hii inarudisha nyuma brand yake. Sasa hiyo mifano uliyotoa ya artists wa mbele wasiojikweza ni personality zao. Domo kiki za aina hii zinamlipa.

Ikitokea Forbes wakijibu madai yake, trend zinaongezeka, views zinaongezeka, subscribers wanaongezeka, hela inaongezeka siku zinakwenda!

Anacheza na mind za watu na ndo maana list ya Forbes ilipotoka alikaa kimya kwanza, mpaka alipoconfirm deal yake ya warner ndio hizi posts za kukandia Forbes.

Halafu vile vile kuna ukweli kwenye madai yake. Huwezi niambia kwa mpunga: Koffi+Diamond=Akothee. Something is wrong kwa hao Forbes inabidi wajirekebishe.
 
Diamond ameanza kuwa kichaa kama Kanye West.

Kanye West alizoa hadi risiti za mali zake zote akapeleka forbes kuwathibitishia kuwa yeye ni billionnaire.

Mimi naamini tunatafuta pesa ili tutimize ndoto zetu, familia zetu na jamii inayotuzunguka.

Hii hulka ya sasa hivi watu kupambana kwa kila hali kutaka jamii iwaone kuwa wana hela sana na ni matajiri ni ya kiuwendawazimu kabisa.

Watu wakishajua una pesa nyingi, then what ?

You got money, then just live your life.

Why unaumia eti kwasababu Forbes wametaja kiasi ambacho hujaridhika, kwani wamekupora pesa?

Yaani ni sawa leo umkute Bakhresa anabishana na Forbes kwamba pesa walizomkadiria siyo zenyewe. Huu ni utaahira.
This is Diamond.
Ana deals
Ana gigs
Anavutia wawekezaji.
Yeye ni ubao wa matangazo.
Ni brand.

Kumtangaza ana worth iliyo chiji ya uhalisia ni kumuondolea nguvu ya negotiations kwenye mijadala ya hii mikataba.

Na majigambo ndiyo aina yake ya biashara na unatengeneza pesa kupitia hiki hiki kiburi na wanakaa
Ana Haki,ya kupandisha dau lake.
 
Mkuu unapinga sana hii nakusoma ila vile vile kumbuka ni sehem ya branding. Domo kaji brand kama mtu wa majigambo so far inamlipa.

Hiyo kauli ya kubishana na Forbes hadi ma celeb wa naija wana comment na kuunga mkono. Hiyo tayari ni promo ya album yake. Kiba mkimya sana na hii inarudisha nyuma brand yake. Sasa hiyo mifano uliyotoa ya artists wa mbele wasiojikweza ni personality zao. Domo kiki za aina hii zinamlipa.

Ikitokea Forbes wakijibu madai yake, trend zinaongezeka, views zinaongezeka, subscribers wanaongezeka, hela inaongezeka siku zinakwenda!

Anacheza na mind za watu na ndo maana list ya Forbes ilipotoka alikaa kimya kwanza, mpaka alipoconfirm deal yake ya warner ndio hizi posts za kukandia Forbes.

Halafu vile vile kuna ukweli kwenye madai yake. Huwezi niambia kwa mpunga: Koffi+Diamond=Akothee. Something is wrong kwa hao Forbes inabidi wajirekebishe.
Ewaaaaah.
 
Alafu unaandikaje taarifa kubwa kama hiyo na unakosea jina la kampuni kubwa kama WARNER MUSIC GROUP ? Hiyo WARMER ULIOANDIKA WEWE NI YA WAPI ?
 
Basi wengi wetu hatujapita shule, maana post zako zote watu wanalalamika hawaelewi kuwa huwa unamaanisha nini . Nikushauri kitu, ukisikia story kijiweni kabla hujaipost huku kaa chini kwanza na kupangilia story hiyo. ukikimbilia kupost huku unapost upupu.
Sema wewe na sio wao , mbona shule ngumu kijana
 
Mimi sijui, ila ile walio jaribu kutuambia ambia eti haizid USD 6 mil, huu ni uongo wa mchana kweupee, Koffi yupo kwenye muziki na ajashuka kwa zaidi ya miaka 25, ile listi ni uchafu
Sure like diamond platinumz 10 years na ajashuka eti hazidi $5.1m wakati wasafi tu inathamani ya $15m
 
Back
Top Bottom