Mwalimu wa Zamu Tz
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 1,040
- 2,716
Sawa juma lokole tumekuelewa
tupe link ya Forbes yenye hiyo orodha naona hatuelewaniNi wangapi Wako Kwenye music mda mrefu hawajashuka Ila Hawapo Kwenye orodha ya Forbes? Kuwa na Akili
Ngoja tuone maana kilichomkuta mwenzake anakijuaAli Kiba alikuwa Sony South Africa..
Diamond ameanza kuwa kichaa kama Kanye West.Wewe unaona list iko sawa? Koffi Olomide ni wakupitwa na vile vitoto vya Nigeria
Ni vema Forbes kama hawana taarifaaa kamili waulize au waache kumtaja mtu yeyote kwa kiwango kisicho rasmi, hapa Diamond anayo hoja wala hakuna tatizoooDiamond ameanza kuwa kichaa kama Kanye West.
Kanye West alizoa hadi risiti za mali zake zote akapeleka forbes kuwathibitishia kuwa yeye ni billionnaire.
Mimi naamini tunatafuta pesa ili tutimize ndoto zetu, familia zetu na jamii inayotuzunguka.
Hii hulka ya sasa hivi watu kupbana kwa kila hali kutaka jamii iwaone kuwa wana hela ni matajiri ni ya kiuwendawazimu kabisa.
You got money, then just live your life.
Why unaumia eti kwasababu Forbes wametaja kiasi ambacho hujaridhika, kwani wamekupora pesa?
Yaani ni sawa leo umkute Bakhresa anabishana na Forbes kwamba pesa walizomkadiria siyo zenyewe. Huu ni utaahira.
Habarini Wana Jf.
Taarifa nzuri kwa WCB fans pamoja na tasinia ya Muziki wa BONGO FLAVOR Ni dhahiri shauri kuwa diamond and ALBUM Yake itakuwa Ni ya kukata na shoka na hii inaweza ndio ikawa ALBUM ya kwanza kutuletea GRAMMY AWARD.
Maana WARMER MUSIC GROUP Ni kampuni kubwa ya usambazaji wa kazi za wasanii ulimwenguni na hii inaonyesha kuwa kutakuwa na nawe ya wamarekani Kama yote.
ALBUM itakuwa Ni ya kwenda na kuwafikia watu wengi kwa mda mchache kudos kwa WCB na wadau wote waownda Muziki mzuri.
BONGO FLAVOR TO THE WORLD.
Jamaa huwa anafosi sana, mpaka kwenye interviews mara nalipwa mamilioni kila mwezi.Ni vema Forbes kama hawana taarifaaa kamili waulize au waache kumtaja mtu yeyote kwa kiwango kisicho rasmi, hapa Diamond anayo hoja wala hakuna tatizooo
Hakuna mwenye pesa asiepiga kelele, ndio maana lazima kuna watu watajua tu fulani pesa anayo, zinaweza kuwa kelele za mdomoni au vitendo, rejea Davido alipo mpa zawadi mwanae wa miaka 5, Gari la kifahari hii nayo ni kelele, hakuna tatizooo lolote mtu kutambia alichonachoJamaa huwa anafosi sana, mpaka kwenye interviews mara nalipwa mamilioni kila mwezi.
Mara nina pesa, hata wasanii wa Nigeria nawazidi as if kaulizwa.
Una pesa kwaajili ya matumizi yako, hata kama watu wakisema tofauti wewe pesa zako zinapungua au kuongezeka?
Huo ni uwendawazimu.
Kuna watu wana pesa lakini hawataki kabisa kelele kama hizi.
Managers au hizo record labels zinafanya kazi kama brokers.Huyu jamaa anajua kutafuta hela kabla haja zindua album yake A boy from Tandale alingia mkataba Universal Music Group, Safari com na app moja hivi jina limenitoka kwa ajili tu ya kusimamia na kusambaza kazi zake na wasanii wake.
Leo hii kabla haja zindua album yake nyingine kishaingia mkataba na Ziiki na Warner kwa ajili ya kusambaza album yake mpya na wasanii wake.
Japo kuwa watu wanahate ila dogo yupo mbele ya muda,anajua nini anachokifanya.
Kuna wasanii wanazindua album mwaka huu lakini wameshindwa kufikiria kitu kama hichi ili wawe na kazi rahisi ya usambazaji wa album zao naona wengi wao bora liende.
Darrasa kipindi kile anaachia hit Songs yake ya Muziki mashabiki wa Kenya wakawa wanalalamika kazi yake hawaipati ITunes.
Davido ni toto la mwaka 1992 bado balehe inalisumbua.Hakuna mwenye pesa asiepiga kelele, ndio maana lazima kuna watu watajua tu fulani pesa anayo, zinaweza kuwa kelele za mdomoni au vitendo, rejea Davido alipo mpa zawadi mwanae wa miaka 5, Gari la kifahari hii nayo ni kelele, hakuna tatizooo lolote mtu kutambia alichonacho
Mbona wakina Dj Khalid, Rick Ross wanajisifia sanaaaaaaa, huyo Rick Ross anajiita Boss of Florida, haya mambo ni kawaida sana ukiwa na fedha , unasema Davido ni wa 1992 lakini kumbuka Davido katoka ukoo wa kichifu wenye pesa chafu, lakini bado ajazoea na kelele anapiga, itakuwa wakina Mondi waliopambana toka chini, waache wako huru kujitangaza sheria haziwabaniDavido ni toto la mwaka 1992 bado balehe inalisumbua.
Hivi ushawahi kumsikia msanii kama Akon, Olamide, Don Jazzy wanabishana kwamba wanapesa saaana?
Kwa hiyo FORBES hawajui namna ya kupata taarifa za utajiri wake ila Google wanajua...so kwake Google ndio chanzo sahihi...wakati uki google kuhusu utajiri wake...hiyo Google inakurudisha kwa FORBES ahahahaha! Bongo ni zaidi ya Uijuavyo!Mbna Kama Kapanic ... Kwamba Tuachane na Forbes Ila Tumgugo Ili Tupate Taarifa Za Utajiri Wake View attachment 1789549
Hao Niggas ni maHip hop na wala siyo matajiri sana kuliko wasanii wengine.Mbona wakina Dj Khalid, Rick Ross wanajisifia sanaaaaaaa, huyo Rick Ross anajiita Boss of Florida, haya mambo ni kawaida sana ukiwa na fedha , unasema Davido ni wa 1992 lakini kumbuka Davido katoka ukoo wa kichifu wenye pesa chafu, lakini bado ajazoea na kelele anapiga, itakuwa wakina Mondi waliopambana toka chini, waache wako huru kujitangaza sheria haziwabani
Sio mbaya kama dalali ana uwezo wa kupush mziki wako kiusambazi mpaka zile sehemu ambazo labda wanataka mziki wako ila hawajui jinsi ya kuupata.Managers au hizo record labels zinafanya kazi kama brokers.
Inatakiwa kazi zako ziuze ndio wapate chao.
Hawana kazi yoyote ya kuoush msanii mbele, kazi yao kusimamia mauzo tu ( kama yakiwepo )
Kwa tafsiri isiyo rasmi hao ni Ngomma au MxCarter wakiochangamka tu.
Muziki wa Marekani hauingiliki kirahisi, ingekuwa rahisi wasanii wa kwanza kutusua wangekuwa Psquare ( hawa walibebwa kwa nguvu zote na Akon )
Vile vile soko la Nigeria ni gumu.
Hata soko la South Africa ni gumu. South wana Muziki wao tu, hata wananigeria hawapati shows South Africa.
Mzee wa private jetHabarini Wana Jf.
Taarifa nzuri kwa WCB fans pamoja na tasinia ya Muziki wa BONGO FLAVOR Ni dhahiri shauri kuwa diamond and ALBUM Yake itakuwa Ni ya kukata na shoka na hii inaweza ndio ikawa ALBUM ya kwanza kutuletea GRAMMY AWARD.
Maana WARMER MUSIC GROUP Ni kampuni kubwa ya usambazaji wa kazi za wasanii ulimwenguni na hii inaonyesha kuwa kutakuwa na nawe ya wamarekani Kama yote.
ALBUM itakuwa Ni ya kwenda na kuwafikia watu wengi kwa mda mchache kudos kwa WCB na wadau wote waownda Muziki mzuri.
BONGO FLAVOR TO THE WORLD.
Uzuri ni kwamba jamaa anatuona fans kama mafala tu hatuna uelewa wowote wa izi mamboKwa hiyo FORBES hawajui namna ya kupata taarifa za utajiri wake ila Google wanajua...so kwake Google ndio chanzo sahihi...wakati uki google kuhusu utajiri wake...hiyo Google inakurudisha kwa FORBES ahahahaha! Bongo ni zaidi ya Uijuavyo!
Hao hawafanyi brokering kwa kukutafutia wateja. Ni sawa na wewe upeleke bidhaa zako supermarket.Sio mbaya kama dalali ana uwezo wa kupush mziki wako kiusambazi mpaka zile sehemu ambazo labda wanataka mziki wako ila hawajui jinsi ya kuupata.
Kwani unajiongezea mapato na mwisho wa siku unajitanulia wigo wa kupata show.
Ila kwa sasa hivi mziki wa Nigeria kiasi fulani ushapenya US Eg Wizkid,Burna na Davido na mambo haya anayo yafanya akina Diamond,wenzetu Nigeria kwa sababu ya mshikamano wao kwa washika dau wote,wana mifumo mizuri ya kusimamia na kusambaza kazi zao na kazi zao ni nzuri na BORA (production).
Mziki wetu wa bongo umejaa chuki,wivu,kubaguana na majungu ndio maana kila mtu anafanya vitu kimpango wake.Mwisho wa siku mwenye nguvu na connection ndiye atakaye tengeneza hela,hamna maswala ya kushare connection wala uweledi kama Nigeria.
South na Nigeria kweli hawa upromoti sana mziki wetu ila kuna watu ndani ya South , Nigeria na sehemu nyingine wana hitaji kununua mziki wa Diamond,sasa jinsi ya kufikia hilo soko ndipo unapo hitaji watu kama hawa Warner na Universal.
Ngoma ya Davido kuchezwa hot97 hakuna cha ajabu hapo maana wanaenzi culture ya African-American.Sio mbaya kama dalali ana uwezo wa kupush mziki wako kiusambazi mpaka zile sehemu ambazo labda wanataka mziki wako ila hawajui jinsi ya kuupata.
Kwani unajiongezea mapato na mwisho wa siku unajitanulia wigo wa kupata show.
Ila kwa sasa hivi mziki wa Nigeria kiasi fulani ushapenya US Eg Wizkid,Burna na Davido na mambo haya anayo yafanya akina Diamond,wenzetu Nigeria kwa sababu ya mshikamano wao kwa washika dau wote,wana mifumo mizuri ya kusimamia na kusambaza kazi zao na kazi zao ni nzuri na BORA (production).
Mziki wetu wa bongo umejaa chuki,wivu,kubaguana na majungu ndio maana kila mtu anafanya vitu kimpango wake.Mwisho wa siku mwenye nguvu na connection ndiye atakaye tengeneza hela,hamna maswala ya kushare connection wala uweledi kama Nigeria.
South na Nigeria kweli hawa upromoti sana mziki wetu ila kuna watu ndani ya South , Nigeria na sehemu nyingine wana hitaji kununua mziki wa Diamond,sasa jinsi ya kufikia hilo soko ndipo unapo hitaji watu kama hawa Warner na Universal.