Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,047
Habarini Wana JamiiForums.
Taarifa nzuri kwa WCB Fans pamoja na tasinia ya Muziki wa BONGO FLAVOR Ni dhahiri shauri kuwa diamond and ALBUM Yake itakuwa Ni ya kukata na shoka na hii inaweza ndio ikawa ALBUM ya kwanza kutuletea GRAMMY AWARD.
Maana WARMER MUSIC GROUP Ni kampuni kubwa ya usambazaji wa kazi za wasanii ulimwenguni na hii inaonyesha kuwa kutakuwa na nawe ya wamarekani Kama yote.
ALBUM itakuwa Ni ya kwenda na kuwafikia watu wengi kwa mda mchache kudos kwa WCB na wadau wote waownda Muziki mzuri.
BONGO FLAVOR TO THE WORLD.