goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 794
- 864
Kwaio awe anafanya kama wenzake hao Alina Davido hawalalamiki Ila wanaonyesha vitendo .sio kila siku kwenye media Mimi Nina pesa Mara ooooh sijui Google izo kelele hazina mantiki through investment watu wataona Ana ukwasi kiasi basi FORBES watamuinclude kwenye list ijayoHakuna mwenye pesa asiepiga kelele, ndio maana lazima kuna watu watajua tu fulani pesa anayo, zinaweza kuwa kelele za mdomoni au vitendo, rejea Davido alipo mpa zawadi mwanae wa miaka 5, Gari la kifahari hii nayo ni kelele, hakuna tatizooo lolote mtu kutambia alichonacho