Uko serious mkuuNiko na p9 mwezi wa 3 sasa. Technologia yake nzuri sana kuliko iphone (including 7). Apple wanauza brand sio capability za simu.
Niko na p9 mwezi wa 3 sasa. Technologia yake nzuri sana kuliko iphone (including 7). Apple wanauza brand sio capability za simu.
Kabisa kabisa!!Uko serious mkuu
Checki broNokia ndo mpango mzima
huawei wakae pembeni
hio ni feature ya android sio huawei, android kuanzia 5 zina guest modeNinachopendea Huawei ni feature ya Guest mode tu.
kila simu ina vitu vyake unique, mfano kwenye gpu na cpu iphone 7 ipo mbali sana, kati ya flagship za mwaka jana zenye gpu dhaifu p9 ilikuwa ni moja wapo, gpu yake ilikuwa ni kama ya note 4 (simu ya mwaka 2014).
Ninatumia Note 5 Nougat, lakini haina hii feature. Au Samsung wenyewe hawakutaka kuiweka?hio ni feature ya android sio huawei, android kuanzia 5 zina guest mode
yap samsung hajatakaNinatumia Note 5 Nougat, lakini haina hii feature. Au Samsung wenyewe hawakutaka kuiweka?
ila samsung wana secure folder ambayo ni kama simu ndani ya simu eneo lako private ambalo unaweka vitu, zamani ilikuwa ndani ya my knox.Ninatumia Note 5 Nougat, lakini haina hii feature. Au Samsung wenyewe hawakutaka kuiweka?
Preference ya mtu 2, kweli. Sikatai hiyo.kila simu ina vitu vyake unique, mfano kwenye gpu na cpu iphone 7 ipo mbali sana, kati ya flagship za mwaka jana zenye gpu dhaifu p9 ilikuwa ni moja wapo, gpu yake ilikuwa ni kama ya note 4 (simu ya mwaka 2014).
ukija kwenye bands siku zote ukiwa na iphone huchagui line nchi yoyote unayokwenda iwe ni 2G, 3G au 4G inashika hio network tofauti na simu za android ambazo zinashika baadhi ya bands.
Sanamkuu kwa hizo iphone naona kama nitakuwa jela tu kama ilivyo kwa window phone,uwezo wa kununua iphone 6 ninao isipokuwa huko sitakuwa huru kama android