Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,005
- 303
Iphone sizielewi
ndugu nimekuelewa sana tatizo naona kipenzi changu nokia naona anachelewa kuingia sokoni na pesa zetu hizi za kuungaunga itabidi nijibane nisubiri mwezi ujao na pia kumbuka nokia 6 ikitoka bei yake kibongobongo itafika hadi laki 7
ni kweli wamedai kuwa nokia 3,5,6 zitapata update ya android O na PPia kwenye Nokia una advantage ya kupata software update support angalau hata miaka miwili maana wao wanatumia stock android ya Google
nimesoma comment nyingi pale gsmareana.com kuhusu P9 wengi wameisifia,ninasubiri mwanzo wa wiki ya kwanza ya jully nifanye maamuzi sahihiNadhani mwenyewe umesha ipenda huawei p9, chukua,
Uzuri wa simu za huawei naujua, battery zake zina dumu zaidi ukilinganisha na smart phone nyingine, camera na vitu vyake vingine ni bomba sana , aijawahi juta kutumia huawei products
Niko na p9 mwezi wa 3 sasa. Technologia yake nzuri sana kuliko iphone (including 7). Apple wanauza brand sio capability za simu.
mkuu niambie kuhusu battery vipi hii p9 inakaa chaji hasa kwenye heavy game na vipi kuhusu camera qualityAhahaha
mkuu niambie kuhusu battery vipi hii p9 inakaa chaji hasa kwenye heavy game na vipi kuhusu camera quality
iphone ni kama jela tu bado ule uhuru kama android utaukosaNadhani tunafanana mitazamo binafsi sioni furaha yeyeto kwenye iPhone ukifananisha na androids iPhone ikiwa mkononi najihisi fahari mbele za watu ila Android ndio natumia zaidi, iPhone geresha tuu kwamba Mimi pia namiliki.
averagemkuu niambie kuhusu battery vipi hii p9 inakaa chaji hasa kwenye heavy game na vipi kuhusu camera quality
Nilikuwa nakusubilikila simu ina vitu vyake unique, mfano kwenye gpu na cpu iphone 7 ipo mbali sana, kati ya flagship za mwaka jana zenye gpu dhaifu p9 ilikuwa ni moja wapo, gpu yake ilikuwa ni kama ya note 4 (simu ya mwaka 2014).
ukija kwenye bands siku zote ukiwa na iphone huchagui line nchi yoyote unayokwenda iwe ni 2G, 3G au 4G inashika hio network tofauti na simu za android ambazo zinashika baadhi ya bands.
Wewe unatumia lg ipi au ukisikia lg tu ndo basi inakaa na betriSimu ninayojua ina battery bora ni LG tu,simu nyingine zinazingua kwenye suala la battery.
Ndo utakuta mtu ana model ya simu labda samsung inayoanza na shv au sgh alafu anataka iperfom vzur katika network hata akiwa mabondeni wakat hz sio international version models.kila simu ina vitu vyake unique, mfano kwenye gpu na cpu iphone 7 ipo mbali sana, kati ya flagship za mwaka jana zenye gpu dhaifu p9 ilikuwa ni moja wapo, gpu yake ilikuwa ni kama ya note 4 (simu ya mwaka 2014).
ukija kwenye bands siku zote ukiwa na iphone huchagui line nchi yoyote unayokwenda iwe ni 2G, 3G au 4G inashika hio network tofauti na simu za android ambazo zinashika baadhi ya bands.
Hata Huawei wanayoila samsung wana secure folder ambayo ni kama simu ndani ya simu eneo lako private ambalo unaweka vitu, zamani ilikuwa ndani ya my knox.