Dilemma: Simu ipi itanifaa zaidi kati ya huawei p9 vs Nokia 6?

inaitwaje?

Ya Huawei inaitwa SAFE

d860e0e529d98d38c38695adb80ccdc6.jpg

df8fadda4487e7aa872e878b6a4855f4.jpg

08f60c457a59b89f4f3488a3d9c27606.jpg

cad42f6591e51043e3252606f4dfbad7.jpg
 
Ya Huawei inaitwa SAFE

d860e0e529d98d38c38695adb80ccdc6.jpg

df8fadda4487e7aa872e878b6a4855f4.jpg

08f60c457a59b89f4f3488a3d9c27606.jpg

cad42f6591e51043e3252606f4dfbad7.jpg
pengine hujaelewa, au pengine jina la secure folder limekuchanganya.

myknox au secure folder sio folder
ambalo limelokiwa na password bali ni space yako private kwa kiswahili rahisi ni simu ndani ya simu.

mfano unaweza ukawa na whatsapp mbili moja ikakaa ndani ya myknox na nyengine ikawa ya kawaida, almsot app zote unaweza ukawa nazo mara mbili.

huawei safe ni folder lock la kawaida au kama app za vault ambazo zinaficha vitu vya media visionekane, unaweza eka app separate kwenye safe?
 
pengine hujaelewa, au pengine jina la secure folder limekuchanganya.

myknox au secure folder sio folder
ambalo limelokiwa na password bali ni space yako private kwa kiswahili rahisi ni simu ndani ya simu.

mfano unaweza ukawa na whatsapp mbili moja ikakaa ndani ya myknox na nyengine ikawa ya kawaida, almsot app zote unaweza ukawa nazo mara mbili.

huawei safe ni folder lock la kawaida au kama app za vault ambazo zinaficha vitu vya media visionekane, unaweza eka app separate kwenye safe?
Tumepishana hapo nimechanganya hiyo safe ya Huawei na private mode ya Samsung ambazo zinafanya kazi karibu sawa. My Knox sijawahi kuitumia, nili root simu nikapoteza na access yake.
 
Tumepishana hapo nimechanganya hiyo safe ya Huawei na private mode ya Samsung ambazo zinafanya kazi karibu sawa. My Knox sijawahi kuitumia, nili root simu nikapoteza na access yake.
search playstore secure folder ipo, usipoiona sideload apk yake. nimeskia inakubali hata na root, sijaitest bado
 
kama nilivyosema hapo juu hilo ni folder tu ndani ya file manager, playstore kuna maelfu ya file managers yanafanya hiyo kazi.

secure folder au myknox ni simu kamili ina kila kitu chake inajitegemea, simu ndani ya simu.
Okay, nimekuelewa mkuu
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom