Did he flee to Canada?

Did he flee to Canada?

I heard rumours about a former secretary of the green party whose essence comes from the horn of Africa,that he fled to Canada with his family after learning conspiracies of faking a treason case on him.
Are these rumours true? it was said that, he made a secret escape, and the unknown men who were appointed to finish him off, came to to learn of his escape and whereabouts as he had already got in Canada and been granted political asylum.
Whoever has genuine information over this matter should kindly share with us.
I submit.
Possibily Kinana,he's lucky,king poacher,
 
Kwa Canada ukiwa na account balance ya $100,000 unapata citizenship ya uko, kwa case ya huyo mtu alikuwa na uwezo wa kuwa na hizo pesa na zaidi ya $10million kwenye account yake uko Canada. Hivyo siyo political asylum ni investor wa uko Canada, ndo maana wahindi wengi wanakimbizia pesa zao uko siku likubuma anapanda ndege na kuondoka, wahindi hawajengi hapa wanajenga canada7,UK na India tu. pia huyo comrade familia yake iko uko kitambo hapa alikuwa ana Chuma tu wanyama wetu, pesa zinakuwa transfered from East China, Hong Kong to Canada anapopeleka mzigo ukifika, pesa zilikuwa hazirudi Tanzania. Hivyo account zake zitakuwa zimenona sana uko Canada. Hata USA ukiwa na & 500,000 wanakupa uraia hiyo iko kwenye sheria zao ukiomba unakuwa granted.

Atakuwa ana kibali cha makazi ya kudumu wa Canada na passport ya Tanzania hivyo baada ya yale mazungumzo ya kwenye simu na ule waraka akaamua kubaki hukohuko Vancouver au Toronto.

Si wafahamu Tanzania hairuhusu uraia wa nchi mbili?

Hivyo akapima mizani na uraia wa Canada una uzito wake kama unavyosema---fedha kwenye akaunti benki.

Halafu kuhusu huu uraia pacha kuna kitu kiko huko jikoni kinawekwa viungo muhimu.
 
I heard rumours about a former secretary of the green party whose essence comes from the horn of Africa,that he fled to Canada with his family after learning conspiracies of faking a treason case on him.
Are these rumours true? it was said that, he made a secret escape, and the unknown men who were appointed to finish him off, came to to learn of his escape and whereabouts as he had already got in Canada and been granted political asylum.
Whoever has genuine information over this matter should kindly share with us.
I submit.
Kwamba wakati wengine wanahangaika usiku na mchana kutangaza kazi kubwa ya maend.jpg
 
Kwa Canada ukiwa na account balance ya $100,000 unapata citizenship ya uko, kwa case ya huyo mtu alikuwa na uwezo wa kuwa na hizo pesa na zaidi ya $10million kwenye account yake uko Canada. Hivyo siyo political asylum ni investor wa uko Canada, ndo maana wahindi wengi wanakimbizia pesa zao uko siku likubuma anapanda ndege na kuondoka, wahindi hawajengi hapa wanajenga canada7,UK na India tu. pia huyo comrade familia yake iko uko kitambo hapa alikuwa ana Chuma tu wanyama wetu, pesa zinakuwa transfered from East China, Hong Kong to Canada anapopeleka mzigo ukifika, pesa zilikuwa hazirudi Tanzania. Hivyo account zake zitakuwa zimenona sana uko Canada. Hata USA ukiwa na & 500,000 wanakupa uraia hiyo iko kwenye sheria zao ukiomba unakuwa granted.
Hiyo ilikuwa zamani mkuu, sasa hivi wameacha, waliogopa kwa sababu kwa magaidi hizo pesa wanazo nyingi tu na walianza kutumia Kama fimbo ya kuwafanyia ugaidi, wakashtuka, sasa hivi hata uwe na $ mil 5 huwapiti uraia wa US wala Canada kirahisi tu, ni hadi ukae miaka mitano kamili bila kutoka nje ya nchi hizo hapo ndo wanakufikiria baada ya kukufanyia scrutiny na kujiridhisha kwamba huna crime record yoyote ile, kutoka nchini kwako hadi kwao kwa muda wote uliokaa huko.
Hizo $100,000 na $500,000 ni pesa ndogo mkuu, watu hizo pesa wanazo wengi wangezitumia kujazana huko, hizo ni nchi nzuri mno ki maisha.
 
It is true 100% of what you said, personally I brought this information in this forum more than a month ago, they deleted the thread as usual. This information was once confirmed by premature imbecile number one of this country.
Thank you so much for your update,
 
I heard rumours about a former secretary of the green party whose essence comes from the horn of Africa,that he fled to Canada with his family after learning conspiracies of faking a treason case on him.
Are these rumours true? it was said that, he made a secret escape, and the unknown men who were appointed to finish him off, came to to learn of his escape and whereabouts as he had already got in Canada and been granted political asylum.
Whoever has genuine information over this matter should kindly share with us.
I submit.
It has been said so... But none of us knows nothing.... What's going around is gossip n guess works
 
I heard rumours about a former secretary of the green party whose essence comes from the horn of Africa,that he fled to Canada with his family after learning conspiracies of faking a treason case on him.
Are these rumours true? it was said that, he made a secret escape, and the unknown men who were appointed to finish him off, came to to learn of his escape and whereabouts as he had already got in Canada and been granted political asylum.
Whoever has genuine information over this matter should kindly share with us.
I submit.
Muulize Kigogo
 
I heard rumours about a former secretary of the green party whose essence comes from the horn of Africa,that he fled to Canada with his family after learning conspiracies of faking a treason case on him.
Are these rumours true? it was said that, he made a secret escape, and the unknown men who were appointed to finish him off, came to to learn of his escape and whereabouts as he had already got in Canada and been granted political asylum.
Whoever has genuine information over this matter should kindly share with us.
I submit.
tehetehetehetehe
 
Kwa Canada ukiwa na account balance ya $100,000 unapata citizenship ya uko, kwa case ya huyo mtu alikuwa na uwezo wa kuwa na hizo pesa na zaidi ya $10million kwenye account yake uko Canada. Hivyo siyo political asylum ni investor wa uko Canada, ndo maana wahindi wengi wanakimbizia pesa zao uko siku likubuma anapanda ndege na kuondoka, wahindi hawajengi hapa wanajenga canada7,UK na India tu. pia huyo comrade familia yake iko uko kitambo hapa alikuwa ana Chuma tu wanyama wetu, pesa zinakuwa transfered from East China, Hong Kong to Canada anapopeleka mzigo ukifika, pesa zilikuwa hazirudi Tanzania. Hivyo account zake zitakuwa zimenona sana uko Canada. Hata USA ukiwa na & 500,000 wanakupa uraia hiyo iko kwenye sheria zao ukiomba unakuwa granted.
Nchi zilizoendelea watu hua hawajengi nyumba kama huku kwetu huko wanapangisha apartments au nyumba kwa jina lolote lile utakavyoliita
 
Back
Top Bottom