Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hayo yote yàmefanyika chini ya ccm
Kwa Canada ukiwa na account balance ya $100,000 unapata citizenship ya uko, kwa case ya huyo mtu alikuwa na uwezo wa kuwa na hizo pesa na zaidi ya $10million kwenye account yake uko Canada. Hivyo siyo political asylum ni investor wa uko Canada, ndo maana wahindi wengi wanakimbizia pesa zao uko siku likubuma anapanda ndege na kuondoka, wahindi hawajengi hapa wanajenga canada7,UK na India tu. pia huyo comrade familia yake iko uko kitambo hapa alikuwa ana Chuma tu wanyama wetu, pesa zinakuwa transfered from East China, Hong Kong to Canada anapopeleka mzigo ukifika, pesa zilikuwa hazirudi Tanzania. Hivyo account zake zitakuwa zimenona sana uko Canada. Hata USA ukiwa na & 500,000 wanakupa uraia hiyo iko kwenye sheria zao ukiomba unakuwa granted.