Did he flee to Canada?

Hayo yote yàmefanyika chini ya ccm
Kwa Canada ukiwa na account balance ya $100,000 unapata citizenship ya uko, kwa case ya huyo mtu alikuwa na uwezo wa kuwa na hizo pesa na zaidi ya $10million kwenye account yake uko Canada. Hivyo siyo political asylum ni investor wa uko Canada, ndo maana wahindi wengi wanakimbizia pesa zao uko siku likubuma anapanda ndege na kuondoka, wahindi hawajengi hapa wanajenga canada7,UK na India tu. pia huyo comrade familia yake iko uko kitambo hapa alikuwa ana Chuma tu wanyama wetu, pesa zinakuwa transfered from East China, Hong Kong to Canada anapopeleka mzigo ukifika, pesa zilikuwa hazirudi Tanzania. Hivyo account zake zitakuwa zimenona sana uko Canada. Hata USA ukiwa na & 500,000 wanakupa uraia hiyo iko kwenye sheria zao ukiomba unakuwa granted.
 
Zitumike mbinu za kagame kumfollow,hawezi kuachwa hivihivi ajilie vya dhulma ,kodi za watanzania ,na ikibidi tuanze kupunguza kizazi chake ili apate machungu zaidi,halafu tunamalizia na yeye,itapendeza sana
Ndugu zake wanahusika vipi na maovu yake(kama yapo)?
Hizo mbinu za Kagame unadhani ukiziingiza kwa ajili ya MTU mmoja zitaisha baada ya nia hiyo ovu kitimia? Au ndiyo utakiwa umeasisi aina nyingine ya ukatili!!!

Hizi roho mnazitolea wapi? Na kwa maslahi ya nani?

Aliyekuja na mpango wa wasiojulikana sasa hawezi hata kiwadhibiti, na asipoangalia wanamhujumu hata yeye.

NCHI hii ni yetu sote. Usifurahie mwenzio kuishi uhamishoni.
 
Tesla was cleverer than others and he knew that, because nobody could build an Engine for the vehicle, except him and he was a founder .
Hence, the stupid knows that he's, and so does to the clever, I guess now you have located your class!
There has never been a bright CCM member, 99% of them are imbecile.
Continue to show your stupidity. I'm sure, you've finished with your parents!
 
Back
Top Bottom