Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 14,176
- 25,919
Tangu Lissu asemekane kuja na msimamo wa Chadema wa No Reforms No Elections, nimeona CCM wakihaha huku na huku kujaribu kupinga hili kwa nguvu zote. Hata hivyo, taratibu Watanzania wameanza kukichukia chama tawala cha CCM kutokana na matendo yake yanayozidi kufunuliwa kutokana na msimamo huu wa Chadema wa NRNE.
Imefikia kiasi najiuliza, hivi Tundu Lissu alisema No Reforms No Election au No Reform No Erection for CCM, akimaanisha Chadema watajitahidi kuhakikisha CCM imehasiwa ili isiwe na mvuto tena kwa wananchi au kuwa productive?
Is it No Reforms No Elections for all Tanzanians, or No Reforms No Erection (political) for CCM?
Imefikia kiasi najiuliza, hivi Tundu Lissu alisema No Reforms No Election au No Reform No Erection for CCM, akimaanisha Chadema watajitahidi kuhakikisha CCM imehasiwa ili isiwe na mvuto tena kwa wananchi au kuwa productive?
Is it No Reforms No Elections for all Tanzanians, or No Reforms No Erection (political) for CCM?