Diaspora tumesahaulika Awamu hii ya 5

and 300

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
26,325
36,122
viongozi wa Awamu hii ya 5 tumewakosea nini sisi Watanzania tunaoishi nje ya nchi (Diaspora)? Tofauti na awamu zilizopita ambapo wana-diaspora walipata Teuzi kwenye baraza la mawaziri (Nyalandu, Membe n.k), na taasisi nyeti serikalini (TTCL & TPDC) mpaka leo zaidi ya siku 100 za awamu ya 5 hakuna mwana-diaspora, kwa nini? sisi tuna uzoefu na exposure ya kutosha kushinda baadhi ya hao #FUKUZAFUKUZATEAM#. Mheshimiwa tupia jicho kwenye dhahabu zilizopo nje ya Tanzania.
 
Diaspora ni jipu la kutumbua pia maana wengi wenu hamjitambui mnataka nini!! leo hii mnalia lia kukosa uteuzi serikalini? kwa lipi mlichofanyia Tanzania? mmeshindwa hata kuwapa vijana wetu michongo ya scholarships huko ughaibuni mnataka tuwaamini kwenye ngazi ya uwaziri?
 
income tax ya kila mtu
si kila mtu analipa kodi?
kila mtanzania anatakiwa alipe kodi
Marekani najua kwa Mmarekani hata akifanya business nje anatakiwa kulipa kodi ya aina fulani

Kama mtu hafanyi kazi Tanzania atalipaje kodi ya kipato ambacho hajakipatia Tanzania?

Au kuna kodi ya kuwa Mtanzania? Kwamba, uwe na kipato usiwe nacho wewe ni lazima tu uilipe hiyo kodi kwa sababu ni Mtanzania?
 
viongozi wa Awamu hii ya 5 tumewakosea nini sisi Watanzania tunaoishi nje ya nchi (Diaspora)? Tofauti na awamu zilizopita ambapo wana-diaspora walipata Teuzi kwenye baraza la mawaziri (Nyalandu, Membe n.k), na taasisi nyeti serikalini (TTCL & TPDC) mpaka leo zaidi ya siku 100 za awamu ya 5 hakuna mwana-diaspora, kwa nini? sisi tuna uzoefu na exposure ya kutosha kushinda baadhi ya hao #FUKUZAFUKUZATEAM#. Mheshimiwa tupia jicho kwenye dhahabu zilizopo nje ya Tanzania.
mkuu acha kulialia beba boksi wewee. Napoandika hii comment maamae ndio naelekea ghetto tangu saa 10 alfajir. Hayo mattcl cjui nn tupa huko. Nyinyi ndio homu kwenu mambo safi mkija huku mnatumiwa poket mani kila mwez. Sasa hiv magu katumbua majipu ya madingi zenu hamna tena zile poket mani mnabaki kulialia

Acha kulialia weweeee beba boksi
 
Diaspora wanachojua ni kufurumusha MITUSI mitandaoni sijui mmirogwa nyie mi-diaspora!!

USA baby
usa-flag.gif
usa-flag.gif
usa-flag.gif
usa-flag.gif
usa-flag.gif
usa-flag.gif
usa-flag.gif
v
usa-flag.gif
usa-flag.gif
usa-flag.gif
 
Diaspora ni jipu la kutumbua pia maana wengi wenu hamjitambui mnataka nini!! leo hii mnalia lia kukosa uteuzi serikalini? kwa lipi mlichofanyia Tanzania? mmeshindwa hata kuwapa vijana wetu michongo ya scholarships huko ughaibuni mnataka tuwaamini kwenye ngazi ya uwaziri?
watch ur mouth Bro nitakutrack nakukukabiz maumiv makal na beto za kutosha
 
mkuu The Boss hawa wabeba box ni wababaishaji tu, hawana lolote.
 
Kama mtu hafanyi kazi Tanzania atalipaje kodi ya kipato ambacho hajakipatia Tanzania?

Au kuna kodi ya kuwa Mtanzania? Kwamba, uwe na kipato usiwe nacho wewe ni lazima tu uilipe hiyo kodi kwa sababu ni Mtanzania?

swali langu ni hili
wamarekani wenye biashara nje ya marekani hawalipi kodi Marekani?
 
swali langu ni hili
wamarekani wenye biashara nje ya marekani hawalipi kodi Marekani?

Biashara gani?

Na kundi gani hasa unalolizungumzia?

Mmarekani anayeishi Tanzania kwa miezi 12 bila kurudi Marekani au Mmarekani anayeishi Marekani lakini mwenye biashara zake nje ya nchi huku makazi yake yakiwa Marekani?
 
Back
Top Bottom