Diaspora hawapendani

Diaspora hawapendani

Na pia wamepata mlinzi maana lazima wanamuona anachungulia nje kila wakati

Kwahiyo wanalala salama, sungu sungu wa mtaaa

Na alivyokwenda kubweka kule alikonunua pasi mbovu, ndio wamejua kabisa ni nyani kitu ununue mwenyewe na risiti upewe halafu unabwatuka thieeef, doooont' buy na kile kigugumizi chake bure kweli. Kweli yeye ndio anadhalilisha weusi waishio marekani.
 
Mchawi yeye
Mfitini yeye
Sura ngumu yeye
Mzindaki yeye
Kigagula yeye
Mwanga yeye

Pua kachonga yeye,
Matako kapandikiza yeye,
Lensi machoni kaweka yeye,
Kujichubua yeye,
Kujikondesha yeye,
Yani yule deep inside hajikubali na yupo insecure sana.
Anataka afanane na Kim Kardashian si jiran yake nasikia.
Ulisahau kitu kimoja, roho mbaya yeye....
 
Pua kachonga yeye,
Matako kapandikiza yeye,
Lensi machoni kaweka yeye,
Kujichubua yeye,
Kujikondesha yeye,
Yani yule deep inside hajikubali na yupo insecure sana.
Anataka afanane na Kim Kardashian si jiran yake nasikia.
Ulisahau kitu kimoja, roho mbaya yeye....

Kunuka mdomo yeye
Kunuka uchi yeye
Kutopiga mswaki yeye
Vyote vyake
 
Muulize pia kama ana green card, pia kama ana morgage na ya bei gani na je analipa ada ya wanae?

Na kama wadogo zake wana uwezo wa kununua apartments marekani... Na nyumba ya bilioni huko kibera.
Huyu mange alipata panic attack nadhani hakutegemea kuona moja ya sehemu alizoishi zimefumuliwa mtandaoni. Apartments ni nzuri kuliko hiko kijumba, atlanta anakokuita shinyanga haifiki dola laki moja....
 
Halafu na li accent lake libovu bovu...eti katishiwa kuitiwa polisi anaanza 'I have a green card...I have a green card...I have a green card'

Hahahaaaa.......ushamba kweli mzigo.
Green card kaona kitu cha maana sana kwake na anaweza sema card yake ni tofauti na za wengine yake ni first class anavyopenda makuu.
 
hahahhahahaha yaani ukisoma comments humu unafurahi.... ila kama kuna wiki amabayo mange angeomba hyo SHUT UP law ifanye kazi kwa ajili yake basi ni hapa.... ka namuona anavyoshinda kusoma humu....hahahahahah pooole mdada ndo ukomage kuleta mashauzi mbuzi!!!
 
Pua kachonga yeye,
Matako kapandikiza yeye,
Lensi machoni kaweka yeye,
Kujichubua yeye,
Kujikondesha yeye,
Yani yule deep inside hajikubali na yupo insecure sana.
Anataka afanane na Kim Kardashian si jiran yake nasikia.
Ulisahau kitu kimoja, roho mbaya yeye....

Hapo kwenye pua kuna waziri wake mmoja kamwambia chief umefanikiwa kupaka make up, but mbona pua yako tundu moja kubwa zaidi? Nimecheka loh.
 
Hapo kwenye pua kuna waziri wake mmoja kamwambia chief umefanikiwa kupaka make up, but mbona pua yako tundu moja kubwa zaidi? Nimecheka loh.

Hahaaaaa wa2 wabaya wanachunguzacmpka tundu la pua moja dogo moja kubwa
 
Duh!hii inaitwa mwana ukome maana kila anae comment anamwaga vyombo labda uwe na vichambo proof ndo unaweza kuivumilia hii hali.
 
...... Wengi ni darasa la saba na form four. Huwezi ukawa na degree ukaandika matusi ya kumdhalilisha mtu ambaye katika maisha yake wala hujawahi kuonana naye zaidi ya kumsikia tu na kumuona kwenye media. Ni ujingaa mnafanya nyie wanawake.........

Kuwa au kutokuwa na 'degree' sio sababu inayomfanya mtu atukane au asitukane.

Kaka
 
Ingawa dua la kuku alimkuti mwewe,sasa huyu mama akiachika si atakunywa sumu kwa hizi sifa zake?
Daaah mama zangu,Dada zangu(wanawake) wengi wenu mna tabia za ajabu sana kuwaponda wenzio kisa pesa za mumeo!!!!!!!!
 

  • 'Call the police...I'm not illegal.....call the police...I'm not illegal here....call them now..stupid....you think I'm illegal....I have green card...call them':becky::becky::becky:.






 
Last edited by a moderator:

  • 'Call the police...I'm not illegal.....call the police...I'm not illegal here....call them now..stupid....you think I'm illegal....I have green card...call them':becky::becky::becky:.








Dah naona aibu mimi ... Kuna watu hawa haya ... Usikute yeye ndio ka record hii video
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom