Diaspora hawapendani

Diaspora hawapendani

Naomba niambieni yuko kwenye sentensi ipi kati ya hizi, huyo punguani anaejisifia kukaa na wazungu:

Mswahili akipata matako hulia mbwata.

Mswahili, akipata matako hulia mbwata.

Mswahili akipata, matako hulia mbwata.

Mswahili akipata matako, hulia mbwata.

Mswahili akipata matako hulia, mbwata.
 
Simtetei Mange ila haya maneno atakua aliandika akiwa emotional and angry..nothing make sense kwenye gazeti zima. Kwanza yeye household yake yote..herself and 3 kids are considered black only the husband ndo white. Pili mume na wakwe wanaishi Houston TX sasa it doesnt make sense kukandika Atlanta na kusema mzungu hawezi ishi Atlanta wakati born and raised in Huoston. Ila kuna kitu kinamsumbua sana this year and I hope she will get over it manake kama leo kamuweka Nancy Sumari eti anataka kumsaidia apatane na Naakaya. Anyone with half a brain knows better manake lile gazeti limemchafua Nancy na Luca vibaya mno na yeye Mange ndo kaachia comment zote sijui Nancy mnafiki, Luca anaishi peke yake sijui kumbe ana mke, yani hajajenga kabomoa and nimeisoma nikaona just another malicious intent kumchafua mtu kwenye blog yake..angetaka wapatane I am sure there are other ways to reach out...just sad sad sad....
 
Naomba niambieni yuko kwenye sentensi ipi kati ya hizi, huyo punguani anaejisifia kukaa na wazungu:

Mswahili akipata matako hulia mbwata.

Mswahili, akipata matako hulia mbwata.

Mswahili akipata, matako hulia mbwata.

Mswahili akipata matako, hulia mbwata.

Mswahili akipata matako hulia, mbwata.

Ha ha haaaaa
 

  • 'Call the police...I'm not illegal.....call the police...I'm not illegal here....call them now..stupid....you think I'm illegal....I have green card...call them':becky::becky::becky:.






accent mbovuu utadhani yuko pre form one na hapo ana degree mbili ya UD na wollongong uni dubai.
akajidai kumponda diamond wakati inaeleweka kaishia std 7 na anajitahidi sana kuvuja yai kuliko hata watu wenye degree zao hata accent ya diamond ni nzuri mno kuzidi ya huyu mwenye degree mbili, yani siku aliweka huu utumbo niliona aibu, mwenyewe kadhani sifaa kumbe linajiaibisha.
 
Last edited by a moderator:
accent mbovuu utadhani yuko pre form one na hapo ana degree mbili ya UD na wollongong uni dubai.

Kasoma na kutunukiwa shahada ya kwanza na UD(SM) kweli?

Mbona inasemekana kuwa alisoma sijui African Virtual University au sijui ni Audio Visual University ile.....

Mi sidhani kama alikuwa anazo sifa za kujiunga na UDSM huyo. Sidhani kabisa.
 
Niliwahi kukiri kutokukubaliana na mengi kuhusu mange ila tokea team mseven iibuke amefanya kazi kubwa sana kumlinda onyinye a.k.a our tznian sweetheart(najua umesonya ila ndio hivyo). Hivyo basi Rafiki Wa rafiki yako ni rafiki yako. Na adui Wa adui yako ni rafiki pia. Mange unamsimamia sana my wema so nitangaze tu kwa hilo u r my friend. Bila wewe dai alizidi kumuonea wema ila sasa ameufyata. Siwezi challenge chochote ngoja nikureserve. To Lynda acha kutukana mitusi mikubwa vile IG. Alafu unamtukana wema amekukosea nini? Au coz mange ni adui basi na wema no adui?I used to kukupenda but ninavyokuona ni kama hazikutoshi vile. Una watoto wakubwa ila unavyoviandika mitandaoni hasa matusi hufanani nayo @ ur 40's. Usishindane na kizee mbutananga yule ni kichaa wakuthibitishwa. Mitandao itumie kutangaza mishono yako mengine muachie leila . Hivi hamuoni aibu vibibi vizima kirushiana matusi online?
Na wewe Nancy sumary ndio nini kuiba bwana Wa Dada yako? Tena mchumba??Najua hayanihusu ila nasema. Unajifanya mpoleeeee mstaarabu kumbe kashetwain tu. Umchukulie Dada yako bwana alafu bado umtenge wewe....hivi una akili sawasawa??? Mjini sihami.
 
Naomba niambieni yuko kwenye sentensi ipi kati ya hizi, huyo punguani anaejisifia kukaa na wazungu:

Mswahili akipata matako hulia mbwata.

Mswahili, akipata matako hulia mbwata.

Mswahili akipata, matako hulia mbwata.

Mswahili akipata matako, hulia mbwata.

Mswahili akipata matako hulia, mbwata.
Teh teh teh teh hii dunia kweli uwanja wa fujo kila mtu na fujo zake.
 
Kasoma na kutunukiwa shahada ya kwanza na UD(SM) kweli?

Mbona inasemekana kuwa alisoma sijui African Virtual University au sijui ni Audio Visual University ile.....

Mi sidhani kama alikuwa anazo sifa za kujiunga na UDSM huyo. Sidhani kabisa.


kuna mwalimu mmoja wa ifm alisema mange anajidai kuwa anasoma ud tunammezea tu wakati anasomea majengo ya computer kikweli sikuwa deep katika yale mazungumzo i wish ingekuwa ni kipindi hiki umbea umeshika hatamu ningefukunyua hadi basi ila nitamsaka yule dr aniambie manake anawajua maprof kibao wa ud wengi
 
Nielewesheni huyo african woman ni nani? Mbona hiyo clip imepostiwa na Mange?

huyo kwenye hiyo clip ya african woman ni mange mwenyewe aliipost alikuwa anagombana na waarabu mall huko kwa obama ati walimuuzia pasi mbovu.. huu ni mtambo ati anataka kuonyesha watu kuwa eye ni mbabe wakati kavurunda!
 
kuna mwalimu mmoja wa ifm alisema mange anajidai kuwa anasoma ud tunammezea tu wakati anasomea majengo ya computer kikweli sikuwa deep katika yale mazungumzo i wish ingekuwa ni kipindi hiki umbea umeshika hatamu ningefukunyua hadi basi ila nitamsaka yule dr aniambie manake anawajua maprof kibao wa ud wengi

Nah...hajasoma chuo kikuu cha Dar Es Salaam huyo.
 
Mange ana matatizo makubwa sana kwenye ubongo wake, huwezi patanisha watu kwenye mitandao hata mara moja hapo kamchafua Nancy na familia yake vibaya sana, yeye anajidai ni rafiki wa Nancy kwa nini asimtumie E-mail kumweleza hayo? Mange asipopata matusi kwenye blog yake halali na hii ni shida ya mtu kutokuwa na marafiki wa kubadilishana mawazo kabakia na marafiki vivuli wenye majina bandi kwenye blog yake. watu wanantukana wanatoa siri za watu ndio kupataisha gani huko, huyu mtu anahitaji ushauri nasaha akiachwa atakuwa chizi.
 
Naomba niambieni yuko kwenye sentensi ipi kati ya hizi, huyo punguani anaejisifia kukaa na wazungu:

Mswahili akipata matako hulia mbwata.

Mswahili, akipata matako hulia mbwata.

Mswahili akipata, matako hulia mbwata.

Mswahili akipata matako, hulia mbwata.

Mswahili akipata matako hulia, mbwata.

Hebu fumbua hili fumbo
 
Back
Top Bottom