ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,840
Kama hii stori Ina ukweli basi mjini ni kiboko.
Imagine Diamond anatapeliwa Hadi kwenda kulilia Polisi, wewe mwenzangu utasalimika?
Ongezeni nyama basi maana naona kama sioni hivi, inaweza kuwa kamba maana Ukisikia mtu anaitwa msanii hapa Bongo ujue ni mpiga kamba 😆😆
=======
Baada ya kutua Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga leo Oktoba 29, staa wa bongoflava Diamond Platnumz amefunguka kuhusu ishu ya ndege yake binafsi (private jet) aliyotaka kununua.
"Ishu ya ndege yangu ina mambo kidogo, nilinunua jet nimelipa fedha nimetapeliwa, nilimpigia Waziri Mbarawa (Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa) alinisaidia, kaka yangu Hamza ( Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari) alinisaidia na sasa serikali nzima inanisaidia kupata haki yangu, nililipa fedha nyingi, kianzio zaidi ya bilioni ila niliowawatumia wananiletea ujanja ujanja," amesema Diamond Platnumz
Diamond amekuwa akitumia ndege binafsi katika safari zake za ndani na nje ya nchi.
Chanzo: Mwanaspoti
Imagine Diamond anatapeliwa Hadi kwenda kulilia Polisi, wewe mwenzangu utasalimika?
Ongezeni nyama basi maana naona kama sioni hivi, inaweza kuwa kamba maana Ukisikia mtu anaitwa msanii hapa Bongo ujue ni mpiga kamba 😆😆
=======
Baada ya kutua Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga leo Oktoba 29, staa wa bongoflava Diamond Platnumz amefunguka kuhusu ishu ya ndege yake binafsi (private jet) aliyotaka kununua.
"Ishu ya ndege yangu ina mambo kidogo, nilinunua jet nimelipa fedha nimetapeliwa, nilimpigia Waziri Mbarawa (Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa) alinisaidia, kaka yangu Hamza ( Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari) alinisaidia na sasa serikali nzima inanisaidia kupata haki yangu, nililipa fedha nyingi, kianzio zaidi ya bilioni ila niliowawatumia wananiletea ujanja ujanja," amesema Diamond Platnumz
Diamond amekuwa akitumia ndege binafsi katika safari zake za ndani na nje ya nchi.
Chanzo: Mwanaspoti