Diamond: Tayari nimeshanunua ndege binafsi (private jet)

Habari zenu Wana jamvi humu jf.

Hope mko salama wasalimini na kila mmoja tumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa kutujalia maisha na mema tunayoyaishi kila mmoja Kwa kiasi na kiwango chake kiwe kidogo au kikubwa lakini bado tunashukuru kwa kuwa kushukuru ni uungwana.
Moja Kwa Moja niende kwenye point.

Kwa hizi habari ambazo Almasi mwenyewe kadhibitisha za kununua ndege yake binafsi.
Je Kuna yeyote anayefahamu ni ndege ya aina gani? Imemgharimu kiasi gani ? Iliundwa mwaka gani ?Ina gharama Kiasi gani kuiendelesha?

Karibuni Uzi tayari.
 
Habari zenu Wana jamvi humu jf.

Hope mko salama wasalimini na kila mmoja tumshukuru Mwenyezi Mungu Kwa kutujalia maisha na mema tunayoyaishi kila mmoja Kwa kiasi na kiwango chake kiwe kidogo au kikubwa lakini bado tunashukuru kwa kuwa kushukuru ni uungwana.
Moja Kwa Moja niende kwenye point.

Kwa hizi habari ambazo Almasi mwenyewe kadhibitisha za kununua ndege yake binafsi.
Je Kuna yeyote anayefahamu ni ndege ya aina gani? Imemgharimu kiasi gani ? Iliundwa mwaka gani ?Ina gharama Kiasi gani kuiendelesha?

Karibuni Uzi tayari.
Subiri itoke kiwandani
 
Star wa muziki kutoka Tandale haishiwi surprises, kutoka Tandale mpaka kumiliki ndinga za maana kama Rolls royce, escalede mbili na gari yake yenye hadhi ya chini ikiwa ni v8 hizi za mawaziri na wabunge sasa kaja na jipya lengine ambalo kama ni kweli basi si kwamba kapiga hatua bali kachana msamba.

Akiwa anahojiwa kwenye Interview kituo cha DW Africa nchini ujerumani, Diamond alikuwa akizungumzia namna msanii anavyotakiwa kuishi au kuwa ili kupata ile heshima unayostahili na kuingiza mkwanja wa kutosha (msanii unavyotakiwa kujiwekeza mwenyewe)

"Mfano kwa mtu kama mimi ambaye nimetokea mtaani, kwasasa nanunua gari la kifahari lenye thamani hadi tsh. Bilioni 2.3/=... Kwahiyo itabidi ufanye hivyo kwani usipofanya hivyo hawatakuona wewe ni wa thamani (watakuchukulia poa). Na sasa tayari nimeshanunua ndege binafsi (private jet)" - Diamond Platnumz
Hongera sana Chibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom