NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
Hongela sana CEO diamond kwa kutimiza ahadi yako ya kutoa motisha kwa kipa wa Yanga Diara.
Sijui ni sawa na shilingi ngapi za kitanzania badilisheni wenyewe.
---
Mkurugenzi wa Wasafi Media Naseeb Abdul Diamond Platnumz ametimiza ahadi yake ya kumkabidhi zawadi mlinda mlango wa klabu ya Yanga Djigui Diarra.
Diamond alitoa ahadi hiyo wakati klabu ya Yanga ikichuana na USM Alger katika mchezo wa fainali ya kombe la Shirikisho ambapo katika mchezo huo Golikipa huyo aliondoka na Tuzo ya Mchezaji bora wa Mechi.
Diamond amemkabidhi kipa Diarra kiasi cha Dola za kimarekani 4200 sawa na zaidi ya milioni 10 za Tanzania
Sijui ni sawa na shilingi ngapi za kitanzania badilisheni wenyewe.
---
Diamond alitoa ahadi hiyo wakati klabu ya Yanga ikichuana na USM Alger katika mchezo wa fainali ya kombe la Shirikisho ambapo katika mchezo huo Golikipa huyo aliondoka na Tuzo ya Mchezaji bora wa Mechi.
Diamond amemkabidhi kipa Diarra kiasi cha Dola za kimarekani 4200 sawa na zaidi ya milioni 10 za Tanzania