Labda Kwa Africa.
Hapo Diamond kajitahidi.
Ila Ulaya na Marekani, Hakuna mtanzania amewahi kufanya show yenye hadhi.
Mostly ni shows za kwenda kufurahisha Diaspora.
Anyway unayo video yake ya show ya Korea ?
Get to your senses bro.Relax bro, mimi nilimuona Diamond Live Brussels 2015. Baada ya show ilibidi aondoke na baunsa kama 10 hivi, kwasababu kila mtu alikuwa anataka kupiga nae picha. Boy knows what he's doing
Labda Kwa Africa.
Hapo Diamond kajitahidi.
Ila Ulaya na Marekani, Hakuna mtanzania amewahi kufanya show yenye hadhi.
Mostly ni shows za kwenda kufurahisha Diaspora.
Anyway unayo video yake ya show ya Korea ?
Umemlinganisha na akina msaga sumu umejibiwa za Afrika ukaona uulize za Korea.Labda Kwa Africa.
Hapo Diamond kajitahidi.
Ila Ulaya na Marekani, Hakuna mtanzania amewahi kufanya show yenye hadhi.
Mostly ni shows za kwenda kufurahisha Diaspora.
Anyway unayo video yake ya show ya Korea ?
Get to your senses bro.
Najua mapenzi upofu, ila kuwa mkweli costs $0
Mi nakwambia ukweli, niko Rotterdam hapa for years. Diamond Platnumz alikuwa na show hapa Amsterdam hii July iliyopita. Show ilikuwa advertised tangu mwaka jana,kabla COVID 19. Ndio ukae ukijua kwamba jamaa ni real game. Huku Ulaya,. Diamond Platnumz ni moja ya biggest names kutoka Afrika Mi mwenyewe niko proud sana kwasababu Nimetoka Bongo. Can you imagine unaingingia Mall la wazungu hala wanapiga nyimbo za Diamond? Kwa Bongo Fleva jamaa muache tu, yaani ashawapaga bao wote
kwahiyo lengo la diamond ni kufanikiwa au kupiga bao wote!!!!
ujinga ni kushinda unatumia nguvu ukisema diamond ni baba lao,huo ndio ujinga wenyewe.
Mi nakwambia ukweli, kila mtu alikuwa anasubiri Tour ya Diamond hapa Europe mwaka huu. Mimi nilishafanya booking concert yake ya Amsterdam. Covid-19 ndio imeharibu tour yake. Hapa Europe ukienda kwenye maduka na saloon za waghana, wanapiga nyimbo za Diamond Platnumz na hao ndio wateja wake akija huku kwasababu wabongo hautoshi. Kama hutaki wee kaa na jealous zako tu.
huyo jamaa ana chuki binafsi alafu hoja hana
Umemlinganisha na akina msaga sumu umejibiwa za Afrika ukaona uulize za Korea.
Hiyo inaonesha ni chuki binafsi dhidi ya Diamond. Matabaka yapo na yataendelea kuwepo.hata burnaboy mwenyewe anapitwa na billie elish.
Waandaaji wa tamasha kubwa la afronation litakalofanyika ureno walimuona yeye Tanzania nzima ndio wakamchukua akapige show na kina Chris brown huko ureno. So relax bro Diamond platnumz ni msanii mkubwa hata usipopenda.View attachment 1570559
Na billboard wanamjuaView attachment 1570597
Innos b anamshukuru kila siku kwa kumfanya awe nominated bet awards.
Kwani Kondeboii anasemaje kuhusu hili ?Habari nzuri,
Msanii wetu wa Tanzania Diamond Platnumz atakuwepo kwenye moja ya collabo ilipo kwenye album mpya ya Alicia Keys.
Alicia Keys amethibitisha hivyo kwa kuonesha list ya nyimbo zitazokuwepo kwenye album yake hiyo mpya na moja Kati ya nyimbo ipo aliyomshirikisha Diamond.
Tumekuwa tukizoea baadhi ya Wasanii wa Bongo kama AY na Diamond kufanya collabo na American artist lakini Safari hii Diamond ndio kashirikishwa.
Burna boy huyu huyu ambae huwa anamtungia nyimbo Drake au mwingine ?Nchi hii ina kizazi chenye hasara sana, yaani matabaka ya monopoly duniani huwa tunayajenga wenyewe.
Ndio maana mmoja ana trillion 100 mfukoni mwingine hana hata 100.
Yaani wstu wasifanye muziki Kwasababu eti wataonekana wanashindana na mtu mwingine.
Mwisho wa siku kuimba na hawa wamarekani binafsi huwa naona kama tu kutimiza ndogo yako labda ulipenda kufanya kazi na fulani, ila haina manufaa kivile.
Burnaboy muziki wake umetoboa kavukavu. Kafanya interview kwenye shows kubwa sana US kama Daily Show na Jimmy Kimmel
So, binafsi sioni sababu ya wasanii kulazimisha saaana na kuwa frustrated.
Unatumia milioni 30 kugharamika video na audio, then show unabanana humuhumu na kina Msaga sumu
Mkuu, Kuna watu wanampondea mond Ila mioyo yao inawasuta. Kwa Mambo makubwa anayoyafanya kwenye mziki wa Tz, jamaa anastahili pongezi.Umemlinganisha na akina msaga sumu umejibiwa za Afrika ukaona uulize za Korea.
Hiyo inaonesha ni chuki binafsi dhidi ya Diamond. Matabaka yapo na yataendelea kuwepo.hata burnaboy mwenyewe anapitwa na billie elish.
Waandaaji wa tamasha kubwa la afronation litakalofanyika ureno walimuona yeye Tanzania nzima ndio wakamchukua akapige show na kina Chris brown huko ureno. So relax bro Diamond platnumz ni msanii mkubwa hata usipopenda.View attachment 1570559
Na billboard wanamjuaView attachment 1570597
Innos b anamshukuru kila siku kwa kumfanya awe nominated bet awards.
You are right, but jamaa kajitahidi Sana, kwa east Africa Ni ki2 ngumu sana. wanigeria Wana diaspora wengi sana marekani hasa madjs na mapromoter ndio maana wamarekani wengi wanajua mziki wa Africa upo Nigeria pekee, Ila kwa east Africa Ni ki2 kikubwa Sana alichokifanya diamond sometimes naona jamaa Hadi anatumia nguvu nyingi Sana ili awe Kama wanaija but wao wanafavor Sana hawatumii nguvu nyingi me nakubali sana struggling ya mwamba.Labda Kwa Africa.
Hapo Diamond kajitahidi.
Ila Ulaya na Marekani, Hakuna mtanzania amewahi kufanya show yenye hadhi.
Mostly ni shows za kwenda kufurahisha Diaspora.
Anyway unayo video yake ya show ya Korea ?
Kuna mtu aliwahi kusema Kama Diamond angekuwa mnaijeria kwa sasa angekuwa msanii namba moja AfrikaYou are right, but jamaa kajitahidi Sana, kwa east Africa Ni ki2 ngumu sana. wanigeria Wana diaspora wengi sana marekani hasa madjs na mapromoter ndio maana wamarekani wengi wanajua mziki wa Africa upo Nigeria pekee, Ila kwa east Africa Ni ki2 kikubwa Sana alichokifanya diamond sometimes naona jamaa Hadi anatumia nguvu nyingi Sana ili awe Kama wanaija but wao wanafavor Sana hawatumii nguvu nyingi me nakubali sana struggling ya mwamba.
Kabisa...!Kuna mtu aliwahi kusema Kama Diamond angekuwa mnaijeria kwa sasa angekuwa msanii namba moja Afrika