PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,225
- 17,801
Labda Kwa Africa.
Hapo Diamond kajitahidi.
Ila Ulaya na Marekani, Hakuna mtanzania amewahi kufanya show yenye hadhi.
Mostly ni shows za kwenda kufurahisha Diaspora.
Anyway unayo video yake ya show ya Korea ?
Relax bro, mimi nilimuona Diamond Live Brussels 2015. Baada ya show ilibidi aondoke na baunsa kama 10 hivi, kwasababu kila mtu alikuwa anataka kupiga nae picha. Boy knows what he's doing