Mwalimu
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,581
- 1,069
Amezungumzia upande mmoja tu wa hela waliowekeza wao (500M) lakini mbona hasemi wao kama label wameingiza revenue kiasi gani kutoka kwa huyo msanii? Manake Konde alivyoondoka ndio akafunguka kwamba alikuwa anachukua 40% huku wasafi wanachukua 60%... Kwa huyu wametengeneza kiasi gani?